Search This Blog

Wednesday, June 22, 2022

PUMZIKA KWA AMANI MUME WANGU

  


IMEANDIKWA NA IDDI MAKENGO



    

SHADIA; PUMZIKA KWA AMANI MUME WANGU----SEHEMU YA KWANZA

Alinipigia simu kwa mara ya pili, niliiangalia na kuigeuza chini huku nikibonyeza kitufe cha kuzima sauti. Iliita mpaka ikakata lakini hakukoma, alipiga tena kwa mara ya tatu, sikupokea, akapiga tena na tena.

Anza kwa kupitia kwanza huu ukurasa @aziraniHow

“Hicho ki mwanaume chako kwanini hakitulii! Kwanini usikiblock wakati tunakula raha!” Salama (sio jina lake halisi) aliniambia hukua kisonya, wengine walicheka, nikazima kabisa sauti na simu yangu kuweka kwenye pochi.

Tuliendelea kunywa na kuongea, mambo yalikua moto, sikuiangalia tena simu mpaka saa nane usiku, nilikua nishalewa sana hivyo sikuhangaika na miss call zaidi ya 50 pamoja na meseji zaidi ya 15 za mume wangu, kwanza nilishazizoea, nilijua kazi yake ni kulalamika tu hivyo nikirudi nyumbani ningependa kitandani kulala huku yeye akiendelea kupiga kelele zake!

“Huwezi kuondoka mwenyewe, kuna yule Kaka inabidi akupeleke!” Prisca (sio jina lake halisi) aliniambia. Kila mtu alikua amekuja na Gari lake lakini wao walikua wazoefu na pombe mimi ndiyo nililewa sana.

“Kelvin (Sio jina lake halisi) mmoja wa wakaka ambao tulikuja nao ila yeye akaenda kuongea na wanawake zake alikuja kunipeleka nyumbani. Alinisaidia kutembea mpaka kwenye gari, niliingia na kulala siti ya nyuma kwani nilikua nimelewa sana.

Nilifika naye mpaka nyumbani, sikutaka kumuamsha mume wangu hivyo nilimpa funguo ili kufungua mlango mdogo na kisha kufungua na geti.

Alifanya hivyo, akaingiza gari, wakati anatoka kurudi siti ya nyuma ili kuninyanyua na kunishusha nilimvutia kwangu.

“Hivi unajua kuwa wewe na kupendaga sana, halafu sijawahi kushikwa na mwamnaume kama wewe!” Nilimvuta kwa ndani akawa amaenilalia, sijui nilipata wapi nguvu lakini nilianza kumvua nguo. Mwili ulikua unawaka moto, mara nyingi nikilewa pombe zangu zinaendaga huko nakuat natamani kufanya mapenzi na mwanaume yoyote yule aliyembele yangu!

Basi kwakua naye alikua kalewa hata hakujali, alinivamia tukaanza kufanya mapenzi palepale kwenye gari, kama dakika kumi hivi nilikua kwenye ulimwengu mwingine kabisa, kweli nilikua namfahamu Kelvin kama rafiki lakini sikujua kama an maudambwiudambwi namna ile, sio kama nilikua nimelewa kwakua mimi nikishaanza kufanya mpenzi kila kitu kinabadilika, pombe yote inaondoka kichwani na akili zinanirudia kabisa.

Wakati tumeshikana pale chini hata hatujamaliza nilisikia mlango wa mbele ukifunguliwa. Kelvin alishtuka kidogo na kutaka kuacha alichokua akikifanya, nilijua kabisa ni mume wangu lakini sikujali, kwa raha nilizokua nikizipata sikujali kama nitafumaniwa au la?

Mimi ndiyo niliku nakaribia kumaliza, sikujali hata kama mume wangu anakuja, nilimbembeleza sana kumalizia lakini hata hakutaka. Alivaa harahaharaka na kutoka kwenye gari, pombe ilimuisha, alinisukuma kwa ndani ya gari ili nipate nafasi ya kuvaa, kisha akasimama kwa pemeni, mume wangu alishafika pale, kule nnje nilisikia sauti kama wanakoromeana, kama wanataka kupigana lakini Kelvin aliondoka harakaharaka.

Nilivaa harakaharaka kwakua nilikua nimevaa kimini cha kigauni nilikua kama nimekishusha tu, sikuhangaika na nguo ya ndani ambayo hata sikujua ilikua wapi. Nilikishusha kigauni changu huku nikilala chini kama nimelewa sijitambui. Mume wangu alikua kasimama tu, hakuongea kitu chochote, alikua ananiangalia kwa hasira machozi yanamtoka.

“Umefanya nini?” Aliniuliza huku akinishika nakunisukuma sukuma kama vile ananiamsha!” Aliniuliza kwa suati ya nguvu, nilijifanya nimelewa sana hata sijasikia kitu chochote, alinishika kama ananivuta kwa nguvu kunitoa nnje lakini mimi nilikua kama vile nimezimia, kama mzoga flani, sikutaka ajue kuwa nina fahamu.

“Umefanya nini, hivi unajua alikua anataka kukufanya nini yule mtu! Kwanini unakunywa na kulewa namna hii!?” Aliuliza lakini mimi sikujibu, nilijua kama nikiongea angejua kuwa nilipanga kumsaliti, ingawa nilijua hana uwezo wa kuniacha hata akinifumania nafanya mapenzi na mwanaume lakini sikutaka kumuumiza, alikua mume wangu, Baba wa watoto wangu.

Wakati ananivuta kunitoa nnje ndipo nilijua kuwa mule kwanye gari kulikua kumechafuka, nilisikia unyevuunyevu wa shahawa za Kelvin zimeloanisha mgongoni, kumbe mwenzangu alifika bwana, inawezekana wakati anahangaika kujitoa kwangu kumkimbia mume wangu alikojoa kabisa.
“Mshenzi huyu anafika mwenyewe!” nilijisemea kwa hasira!
“Unasema nini?” Kumbe niliongea kwa sauti mpaka kumshtua mume wangu. Nilijifanya hata sijamsikia, alinikokota mpaka ndani, akanipandisha kitandani, alinivua nguo zote huku nikijifanya kama sijitambui.

Kuna shahawa kidogo zilinidondokea mapajani, mume wangu aliziona, nilimuona kaganda kama dakika tano akiniangalia mapajani na sehemu zangu za siri, wakati huo niko uchi wa mnyama mbele yake, namuangalia kama namchungulia, najifanya sijijui chochote lakini nilikua naelewa kila kitu.

Machozi yalianza kumtoka kama mtoto, nilisjisikia vibaya kwani pamoja na kufanya umalaya wangu katika maisha yetu yote ya ndoa lakini mume wangu alikua hajawahi kunifumania au kuniona katika hali ile. Nilijua kaumia sana, alinyanyuka na kwenda kuchukua taulo ambalo mara nyingi tunajifutia tukishamaliza kuanya mapenzi, akaja na kunifuta!

Mwili ulikua unanitetemeka kwa hasira, nilitamani kumuambia aache, nilitamani kumsukuma, nilitamani kulia, nilijisikia vibaya sana kwa mambo aliyokua ananifanyia mume wangu. Machozi yalitaka kunitoka lakini nilikumbuka maneno ya Mama yangu akiniambia “Mwanaume usimuonyeshe udhaifu, hata kama ni wewe umekosa lakini usionyeshe kuwa unajutia au unaumia, usionyeshe kujali atakusumbua sana!”

Maneno yake yaliishi kichwani kwangu, nilijikaza na machozi hayakutoka.
“Hizi pombe, hivi unajua kuwa yule mbwa amekubaka!” Mume wangu aliomngea kwa uchungu sana.
“Tena kakubakia nyumbani kwangu, yaani kila siku nakuambia kuwa usinywe pombe hutaki, hao unaowaita marafiki zako kwanini hata hawakukuleta nyumbani, unafanyiwa kitu kama hiki, ningejua huyu mshenzi kakugusa nisingeruhusu aondoke pale!”

Alinishika ili kwenda kuniogesha lakini sikua tayari, nilimvutia kitandani na kumuomba tuendelee kufanya mapenzi.

“Mbona unakua hivi, kama vipi njoo tufanye mapenzi!” Nilimuambia huku nikimvuta lakini hakutaka, alikataa katakata. Hali hiyo ilinipa hasira na kuona kama vile kanikosea kanikatishia utamu. Pamoja na yote lakini bado nilikua na hamu ya kufanya tendo la ndoa, mwili ulikua unaniwasha, jinsi mume wangu alivyokua ananishika mapaja kunikausha mbegu za Kelvin niliona kama anataka kufanya mapenzi na mimi, aliniamsha hisia zangu kiasi cha kushindwa kuvumilia.

“Mwanaume wa aina gani mjinga wewe! Yaani unanishika ya nini kama hutaki kunitumia, mbwa wewe!” Niliongea kwa hasira huku nikijigeuza ili kulala, sikutaka kuoga, nilijifunika na shuka huku nikilia kwa hasira!

Mume wangu hakusema kitu chochote, alipanda kitandani na kulala, mimi ndiyo nilikua naweweseka, kila dakika nageuka kumshika kuona kama atahamasikia ili kufanya mapenzi na mimi. Nilikua na hamu sana ya kufanya mapenzi lakini mume wangu hakua na mood kabisa.

“Hivi ni mwanaume gani huyu jamani, mbona nateseka hivi wakati nina mwanaume ndani!” niliongea kwa suati, mume wangu alisikia lakini hakuongea kitu chochote.

Nilijifunika ili kulala lakini sikupata usingizi kabisa, nilikua na hamu ya kufanya tendo la ndoa, siku zote nikishalewa huo ndiyo ulikua ugonjwa wangu, na kwakua nilishaonjeshwa ilikua ngumu sana kwangu kulala.

Baada ya kuona mume wangu hataki, nilinyanyuka na kwenda jikoni, sikujali hata kama nilikua uchi wa mnyama, sikujali chochote kile. Nilienda kuchukua chupa ya soda ili kujihudumia mimi mwenyewe lakini kumbe mume wangu alikua nyuma, alinishika kwa nguvu kunirudisha chumbani, nilianza kupiga kelele mpaka watoto wakaamka na kutoka, walinikuta niko uchi wa mnyama ila sikujali.

“Wewe si hutaki kunito$$$ mjinga wewe, nimekuambia kama hutaki kunigusa mimi nitajishughulikia mwenyewe!” Nilifoka sana lakini mume wangu alijitahidi mpaka akanirudisha chumbani, alifunga mlango na kuchukua funguo, alipanda kitandani, nilipiga kelele mpaka nikachoka lakini hakufungua mwisho nilipitiwa na usingizi.

*****

Asubuhi ilikua ni siku nyingine, niliamka pombe zikiwa zimetoka kichwani, mume wangu aliamka kwa hasira sana, ilikua ni siku ya kazi hivyo mimi nilikua naenda kazini.

“Unakumbuka ulichokifanya jana?” Mume wangu aliniuliza, nilimuangalia kwa dharau kisha nikacheka.
“Si angalau mimi kuna kitu nilifanya, wewe ulifanya nini jana? Mwanaume huoni aibu nakulisha mimi halafu unataka kunipangia maisha? Hivi kwanza nakupa chakula cha nini wakati hata kunigusa huwezi, mwanamke mzuri namna hii nagomania penzi kama changudoa wakati nina mume!” nilionga kwa hasira.
“Kwa mambo anayoyafanya hujioni kama ni changudoa?” Mume wangu aliongea kama vile anauliza, mimi hapo hapo nilipata kitu cha kumkasirikia.

“Kwahiyo unaniona mimi Malaya, unaniita changudoa, hivi unajua ni mambo mangapi napitia halafu unaanza kunitukana!” Nilichukua simu na kumpigia Mama yake, nilianza kulalamika kuwa mtoto wake ananitukana na kuniita changudoa, nilimuomba sana kuwa mimi nataka kuondoka kwani nimechoka, wakati huo mume wangu alikua anasikiliza, alitaka kuninyang’anya simu lakini ndiyo kama alikua anaharibu mambo, nilimgeuzia kibao kuwa anataka kunipiga.

Mama yake alisikia namna tulivyokua tunanyang’anyana simu huku mimi napiga kelele kuwa anataka kuniua.
“Nipige, niue! Si unaona sina faida kwako! Wewe si una nguvu niue, tena Mama yako akisikia, mimi kila siku nikiongea naonekana mbaya lakini sasa hivi nakuambia nataka Mama yako asikie namna unavyotaka kuniua!”

Nililalamika sana, wakati wote nilimsikia Mama yake namna anavyotugombelezea na kumgombeza mtoto wake. Simu nilishikilia mimi sikutaka kuikata, mume wangu alipoona mambo yanataka kuwa mabaya aliondoka na kuniacha ndani hivyo nikapata wasaa mzuri wa kumpanga Mama mkwe wangu.

“Mama jana nilichelewa kidogo kutoka kazini, kulikua na wakaguzi, nilimpigia simu mume wangu kumuambia kuwa kazini kuna wakaguzi akaniambia niondoke kwani yeye ndiyo mwanaume hawezi kuwa wakwanza kufika ndani. Sasa Mama yeye hana kazi, muda wote yuko nyumbani, hata nikija saa nane mchana nitamkuta lakini anataka mimi niwahi kabla hajaingia nyumbani, ni haki kweli hiyo Mama? Nilimuuliza Mama mkwe wangu ambaye alikua kama kachanganyikiwa.

Mambo yetu yalishamchosha, kila siku mimi nilikua mtu wa kulalamika tu kwake na mume wangu hakua akitaka kuongea. Siku zote alikua akimjibu kuwa mambo ya ndoa yake hataki kuingiliwa kitu ambacho kilinipa uhuru wa kuongea uongo wangu vyovyote vile ninavyojisikia.

“Basi Mama akaniambia kama ikifika saa 2 sijarudi nyumbani basi nisirudi, kwa uoga mimi nililazimika kuja na Bosi wangu hapa nyumbani ili anisaidie kujielezea kuwa nilikua na kazi, lakini ikawa shida, akaanza kutukana kuwa ni mwanaume wangu, akaniingiza ndani na kuanza kunipiga, alinipiga sana mwisho nikapata upenyo kutoka kukimbia sebuleni ile natoka alinifuata akanipiga sana mpaka kunivua nguo mbele za watoto.

Mama mwanao kanivua nguo mbele za wanangu, wanangu jana wameona uchi wangu. Kama huniamini Mama watafute wajukuu zako, mtafute binti wa kazi, si uliniletea wewe, hembu muulize kama jana si nilivuliwa nguo uchi wa mnyama sebuleni, Mama mimi nimechoka, najua mume wangu ana hasira za kufukuzwa kazi lakini kama na mimi nikifukuzwa unafikiri tutaishije!”

Nililia sana, Mama mkwe alinibembeleza sana, aliniambia anataka hata kuja lakini nilimkatalia, nilimuambia haitasadia ila ukweli nikuwa sikua nikitaka chawa nyumbani kwangu.!

Mimi ni muongeaji na mume wangu ni mkimya, siku zote mimi ndiyo nilikua mtu wa kwanza kuongea hata kama nimekosea mimi, kwakua najua mume wangu hawezi kujitetea basi kila mtu alikua ananiamini.

Kama una rafiki yako muambie mambo yashaanza, hii simulizi ni moto!


SHADIA; PUMZIKA KWA AMANI MUME WANGU----SEHEMU YA PILI

(ILIPOISHIA SEHEMU YA KWANZA; shadia anafanya mapenzi kwenye gari na Kelvin, mume wake anawakuta na kukuta mbegu za kiume kwenye gari.

Anaingia ndani na kujifanya hajui chochote, ausbuhi anamgeuzia mume wake kibao kwa kumpigia sumu Mama mkwe wake kulalamika, Mama mkwe anamuamini, unafikiri ni nini kitatokea?

Je, Mume wake ataendelea kumvumilia au ndiyo mwisho? Basi endelea, pia hakikisha unafuatilia ukurasa wetu wa @aziraniHow? Kuna mengi sana yankuja. ENDELEA…)

TANGU Mume wangu, tangu kusimamishwa kazi kipindi cha vyeti feki na mimi ndiyo kuwa nahudumia familia hakua na kauli tena juu yangu.

Nilikua najifanyia kila ninachokitaka nikijua kabisa hana uwezo wa kuniacha, hana kazi, hana vyeti haajiriki ni kitu gani ningemfanyia mpaka akaondoka. Maisha yangu yalikua yamebaidlika, nilikua nimepanda cheo kazini, nilikua Bosi mkubwa katika Benki moja kubwa tu hivyo pesa ilikuepo, nilikua na marafiki wale wenye pesa zao hivyo mume wangu alikua kama kakinyago tu.

“Unavyofanya sio sawa, hivi unajua huyo ni Mama yangu, hivi mimi nikiamua kumuambia Mama yako mambo unayonifanyia unafikiri atapata picha gani?” Mume wangu aliniuliza baada ya kurudi na kunikuta bado naongea na Mama yake, nilimkatia Mama mkwe simu baada ya kuona nimetosheka na uongo niliompa. Baada ya kama dakika mbili simu ya mume wangu iliita, alikua ni Mama yake, hakupokea kwani alijua anaenda kuchambwa tu.

“Mama gani, mimi jana nakuambia tufanye mapenzi hutaki, sasa ulitaka nifanye nini, unajua kabisa nililewa, lakini hata hukujali hisia zangu!” Mume wangu aliniangalia kwa hasira bila kusema chochote, alianza kuguna, “Mhhhh! Mhhhh!” huku aking’atang’ata midomo, nilimuona kabisa sura inabadilika, alianza kuzunguka zunguka pale chumbani mpaka nilianza kuogopa, haikua kawaida, alikua mwekundu sana.

“Hivi unajua ulichonifanyia! Unafanya mapenzi na mwanaume mwingine ndani ya nyumba yangu!....” Aliongea huku akishindwa kumalizia, nilitamani kumjibu kama kawaida yangu ila kwa hasira alizokua nazo nilijua anaweza kuniua hivyo nilibaki kimya kidogo.
“Nilishakukanya sana kuongeana na huyo mjinga, mnazunguka naye kama shoga lakini hunisikii, na hao marafiki zako, waambie kitu nitawafanya, wanakuharibu sana, hivi unajua jana ulibakwa!”

Aliongea tena, alisogea na kukaa karibu yangu, niliogopa na kunyanyuka, nilimuambia mimi nataka kwenda kazini hivyo sitaki kusumbuliwa.
“Nitakupeleka!” Aliniambia, nilimuangalia kwa hasira, pamoja na kujua kuwa kapaniki lakini hata sikujali tena, sikutaka kupangiwa maisha, nilimuambia huwezi kuniepleka kazini.
“Halafu sitaki tena mambo ya kupelekwa kazini, sio kwasababu nakufuga ndiyo ujione mwanaume, unataka rafiki zangu wanieleweje kukuona mtu kama wewe, mimi ni Meneja, kila mtu ananiheshimu, sasa unataka wanichukulieje kama nafuga mwanaume ndani!”

Kwakawaida huwa nafuatwa na gari nyumbani, lakini kiupendo mume wangu alikua akinipeleka kazini, ila nilikua najisikia vibaya baada ya kila mtu kujua kuwa mume wangu hana kazi tena alifukuzwa kwa vyeti feki, hivyo nilikua natafuta sababu za kumkatalia nakosa lakini siku hiyo niliamua kumuambia hapana.

“Unatakiwa kubadilika mke wangu, nakuambia kwakua tuna watoto, isingekua watoto ningekiwsha ondoka lakini hapana, nimebaki kwasababu ya watoto!” Aliniambia, nilimuangalia kwa dharau kisha nikacheka.
“Watoto gani hao ambao hata hujui wanakula nini, wanasoma wapi, hembu nipumzishe…” Nilimuambia huku nikitoka, Gari ya kazini ilishakuja kunichukua kwani nilimpigia dereva hata kabla ya kumuambia mume wnagu hanibebi nilipanda bila kumuaga nikaondoka zangu.

Kwakua yeye hakua na kazi basi kazi zote za nyumbani ilikua afanye yeye, kuanzia kuwaandaa watoto kwaajilia ya shule, kuwapeleka shuleni, nilimfukuza binti yangu wa kazi kwa ushauri wa marafiki zangu hivyo hivyo kazi zote za nyumbani kuanzia usafi mpaka kupika alikua anafanya yeye.

Nilifika kazini nikiwa nimechoka sana, kichwa kilikua hakifanya kazi vizuri, matukio ya jana yake yalinijia kichwani, kwa namna flani nilijisikia vibaya jinsi nilivyokua namjibu mume wangu.

“Atajua mwenyewe, mwanaume mwenyewe kakaa kama dubwasha tu hafanyi kazi yoyote.” Nijipa moyo kwakua mimi ndiyo nahudumia familia kwa kila kitu basi nilikua na haki ya kumfanyia mume wangu chochote kile.

Mchana hivi mume wangu alipiga simu, nilipokea vizuri na kuanza kumtania, aliongea kama hakuna kitu chochote kilitokea jana yake.
“Ulikua una shida gani? Unataka shilingi ngapi?” Nilimuuliza baada ya kuona anajichekesha chekesha, nilikua na mihasira zangu sikutaka mtu wa kunichekea.
“Nilikua nakusalimia tu mke wangu….” Aliongea ila nilikua kabisa anahitaji pesa, suti yake ya kuomba niliisikia kabisa.
“Acha ujinga basi, au kwakua huna kazi ya kufanya huko unafikiri na sisi huku hatuna kazi ya kufanya, ongea una shida gani, mambo ya kudekezana yanapendeza mwanaume ukiwa na pesa! Kama huna pesa unamdekeza nani?” Nilimaumbia, mume wangu alikaa kimya kama dakika mbili hivi bila kuongea kitu chochote.

“Nashukuru!” Aliongea kisha akakata simu.
“Atapiga tu, mimi ndiyo mwenye pesa, hana uwezo wa kunichunia. Niliwaza lakini ilipita nusu saa, masaa mawili na hata ikaingia jioni mume wangu hakupiga simu wala kutuma meseji, nilishtuka kidogo kwani haikua kawaida yake. Tangu kupoteza kazi alikua ni mtu wa kujalijali, anapiga simu zaidi ya mara mbili na kunitumia meseji kiniambia kuwa ananipenda.

Jioni ilifika bila mume wangu kunipigia simu, mwisho niliamua kumpigia simu lakini simu yake ilikua haipatikani. Nilijua kakasirika na kuamua kunizimnia simu, niliamua kurudi nyumbani ili kuonana naye na baada ya hapo nitoke.

Lakini wakati nataka kutoka, kuna rafiki yangu mmoja alinipigia simu, nilikua na muda sana sijaonana naye, yeye anafanya kazi Kahama, kwenye mgodi mmoja hivyo pesa ipo, aliniambia kuwa ndiyo kashuka uwanja wa ndege, anahitaji mwenye na anaona kuwa mimi ni mtu sahihi.

Nilimuomba kukutana naye usiku lakini alisisitiza sana, nilimuambia natakiwa kurudi nyumbani.
“Nawe unahangaika nini, kila siku si ndiyo unalalamika kuwa unahudumia familia peke yako kimwanaume chako hakina pesa, sasa njoo ukutane na wanaume achana na hivyo vinuka mkojo!” Kwa namna flani nilijisikia vibaya yeye kumuita mume wangu vile, ingawa muda ulipita bila kuonana naye ila mara nyingi tulikua tunaongea kwenye simu na kila siku nilikua namuambia.

“Natamani sana maisha yako, natamani kutoka kwenye hiki ki-ndoa lakini sijui natokaje, huyu mwanaume nishamchoka, hafanyi kazi yaani nimechoka!” Nilikua nalalamika sana na ili anione mimi mjanja simshobokei mume wangu kila siku nilikua namzungumzia mume wangu mabaya.

Alinisihi sana kuonana na mimi na sikua na namna, nilimtumia meseji mume wangu kuwa natoka nitachelewa kurudi, haikua kawaida yangu kufanya hivyo ila kwakua mchana kutwa alininunia niliona atajisikia vizuri kama nikimtumia meseji. Nilikutana na rafiki yangu kwenye Hoteli moja kubwa kabisa.

Wakakti anaongea mimi nilijua kama kuna mwanaume anakuja naye kwaajili yangu, lakini nilipokutana naye nilikuta yuko na mwanaume mmoja tu, tulisalimiana na mwanaume alinichangamkia kama vile ananijua. Alionekana ni mtu mwenye pesa zake, haku mzungu ila kiingereza kilikua kingi sana, Kiswahili chake kilikua ni cha kikenya.

Katika kuongea ndipo niligundua kuwa ni mfanyabiashara mkubwa wa madini na alikua ni danga lake. Tuliongea na kunywa sana, ila wakati tumekaa niliona kama yule mwanaume amakua karibu sana na mimi kuliko hata rafiki yangu. Niliwakuta wamekaa kama wameangaliana ingawa ilikua si uso kwa uso, hivyo mimi nikakaa kwa katikati, nikawa naangalia kitu kilichokua wazi, mwanzo nilihisi kuna mtu wanamsubiria kumbe haikua hivyo.

Yule Baba alikaa kulia kwangu, hivyo mkono wake wa kushoto ndiyo ulikua unaweza kunigusa, nilimuona akisogea mpaka vitu vikawa kama vimegongana na kila akiongea alihakikisha ananigusa mapaja.

Mwanzo nilikua nashtuka huku nikimuangalia rafiki yangu, lakini kadri bia zilivyokua zikiongezeka nilizoea na kuacha kushtuka, ila kila dakika nilikua namuangalia rafiki yangu naye anacheka kama ananikonyeza. Mwisho niliamua kumtumia meseji.
“Si ulisema huyu ni mwanaume wako, mbona naona kama ananitaka!” Nilijifanya kushangaa na viemoji, mizuka ilishaanza kunipanda, bia zilishaingia kichwani na ukizingatia niliguswa jana yake bila kufikishwa niliona kabisa uzalendo unahishinda.

“Chako changu, changu chako, wewe shoga yangu kwani kuna shida gani kushare! Ana pesa fanya chochote anachotaka hawa ndiyo wanaume!” Alinitumia meseji, baadaya kama dakika mbili hivi rafiki yangu alinisogeleea, akaanza kunishika mapaja kama vile ananishawishi, nilikua nalegea na nikiangalia pembeni namuona Baba wa watu naye analegea.

Baada ya kuona mambo yanakua moto rafiki yangu aliniomba twende chumbani kwake, nilikua sina namna, niliondoka naye tukapanda lift kama kila mtu anaenda kivyake ila tukaingia kwenye chumba kimoja kikubwa, si chumba, ni kama nyumba kabisa, alinikaribisha vizui, nikaa.

“Yule Baba anakutaka!” Alianza kuniambia, nilikua nimkekaa kwenye kochi, kanisogelea na kuniambia nivue nguo zangu.”Vua tuko wa wiwili, haya manguo manguo yenu ya ofisini kama mayunifomu nyanaboa, vua uwe huru!” aliniambia hukua kinipapasa papasa, ni mwanamke mwenzangu hivyo sikusikia kitu chochote.

Alifanya hivyo hukua kinisaidia kuvua nguo, sikujua kwanini navua lakini nilishachoka hivyo nilitaka kupumzika.
“Baba anakutaka mimi nimekuja na wewe huku ili kukuandaa, yeye anakuja muda simrefu, naomba sana usiniangushe!!” Alinikumbushia tena, wakati huo nilikua nimebaki na nguo za ndani tu.
“Unamaanisha nini mbona sikuelewi kwani huyu si mwanaume wako?”

“Mwanaume gani bwana mimi nina Mchumba wangu na tunapendana sijawahi kukuambia ila naolewa karibuni, hili ni danga tu na anataka tujumuike wote aliniambia nitafute mtu nikakuona wewe ndiyo mwenye akili sasa uansemaje!” Mpaka hapo nilikua sijamuelewa, ila kumbe mwenzangu alikua akimaanisha mimi nayeye tufanye mapenzi na yule bwana ‘three some’ nilimgomea lakini nikiwa katika kujaribu kuvaa nguo yule Baba aliingia, walinishawishi sana nikakataa, niliona kama kujidhalilisha, pombe ilikata kabisa.

Nililazimisha mpaka nikavaa nguo huku nikimlaumu sana rafiki yangu, lakini ile namaliza kuvaa nataka kutoka nikashangaa yule Baba anatoa Bastola, hakunitiishia nayo ila aliiweka mezani kisha alinifuata na kuniambia.
“Hakuna mtu anayekula pesa zangu halafu nimuache, utazilipa wakati unaomba pesa ulikua unawaza nini?” Nilimuuliza pesa gani ila shoga yangu aliingilia na kunisihi nikubali ili isije kua tatizo.

Bado nilikua nakataa ila nilikua naogopa, natetemeka, yule Baba kabadilika, mwili umemsisimka anaonekana yuko tayari kufanya chochote. Walinivamia wote wawili, wakanivua nguo tena, yule Baba alifanya mapenzi kwa kunibaka, tena kulazimishia, alikua na nguvu sana, alinifanyia vitu vya ajabu ambavyo hata siwezi kusimuulia, yote hayo shoga yangu yeye alikua pembeni.

Hakufanya chochote zaidi ya kunishikashika na kunipa moyo kuwa nivumilie nitazoea. Nilikua napenda ngono sana ila si kivile, nilijiona kama takataka, nilijiona mjinga, nilijiona sina akili. “Kwanini nimekua hivi, mbona mwanzo nilikua vizuri, nadoa yangu ilikua na amani, sasa hivi nina pesa ndiyo nakua namna hii!”

Niliwaza wakati wote huyo Baba akiwa kifuani kwangu. Baada ya kama dakika 45 hivi alikua hajiwezi, kalala fofofo, nguvu zimemusihia.
“Nilikuambia, hana kitu chochote, huyu ana pesa ila hawezi kazi!” Shoga yangu aliniambia, nilishangaa hawezi kazi kivipi dakika 45 akiniingilia tena kwa kunilazimishia, nilikua na maumivu makali sana kwani hakuniaanda kawa chochote, nilitaka kuondoka ila shoga yangu alinibembelezea sana.

Mwisho niliona hapana, kwenye saa saba hivi za usiku nilifanikiwa kutoka. Nilichukua Tax mpaka nyumbani njiani nilijisikia vibaya, kichwa kilikua kinawaka moto, mwili unaniuma kweli nilishaharibikiwa lakini si kiasi kile, nilitamani kuongea na mtu hivyo nilimpigia simu Mama yangu, yeye ndiyo shoga yangu ndiyo kila kitu kwangu, nilijua lazima atanisikiliza.
“Vipi huyo Mjinga kafariki maana nilisikia hali yake mbaya mbona unanipigia usiku huu unalia?”

Aliniuliza badala ya kumjibu niliendelea kulia.
“Mwanangu sio makosa yako, ni ajali tu kama ajali nyingine, kwanza mimi mwenywe nilikua simpendi, atakupunguzia mzigo wa kulea familia!” Mama aliongea, mimi nilizidi kulia nikimuuliza msiba gani anauongea mambo ambayo hayaeleweki! Mwisho nikaamua kukata simu, alijaribu kunipigia sana lakini sikupokea, nilikua na hasira zangu hivyo niliona kama vile ananichanganya.

Nilifikanyumbani, nilitoa fungua zangu ili kufungua geti lakini kabla ya kufanya hivyo Dereva alinipigia honi, niligeuka kuangalia nyuma sikuona kitu chochote, niliingia ndani lakini alizidi kunipigia honi hapo ndipo nilishtuka. Nilirudi kumuangalia kumuulizia alikua anataka nini kwani mimi nilitaka kuingia ndani nilale zangu.

“Kuna vitu kama viko pale, wale si watoto kweli?” Aliniuliza, niliangalia kweli pembeni kidogo ya nyumba kulikua kama na miguu ya watoto, niliangalia vizuri walikua ni wanangu wamelala fofofo huku wamekumbatiana wote watatu. Niliwasogelea na kuwaamsha, waliamka, mimi ndiyo nilikua mbele yao lakini hawakuniona mimi, walimuona Baba yao.

Baba umerudi?” Mwanangu mkubwa aliuliza hukua kifikicha fikicha macho yake kuangalia, alishtuka baada ya kuniona mimi.
“Mnafanya nini hapa? Kwanini mnamuulizia Baba yenu, huyo mjinga yuko wapi?” Nilijikuta napaniki, badala ya kuangalia hali za wanangu na kwanini usiku ule mida hiyo kama saa nane hivi wamelala nnje mimi nilikua nawaza ni kwanini wanamuwaza Baba yao kuliko mimi.

Nilianza kuwasukuma ndani kwani sikutaka majirani kusikia, dereva alikua anamulika, nilimuonyeshea ishara kuondoka lakini hakuondoka, ni kama alikua anaangalia kama haamini amini kwamba ni wanangu.
“Ingieni ndani mbwa nyie, mmekaa tu humu, huyo mjinga mwenzanu yuko wapi?” nilijikuta napandwa na hasira, mwanangu mdogo wa miaka minne, alikua anajivutavuta, yeye ndiyo alikua analilia Baba zaidi.

Nilimshika na madaftari yake, nikamnyanyua juujuu na kumsukumia ndani, nilikua kama nimetupa, alipiga kelele na kuanza kulia. Pale dereva alishuka na kuanza kuniuliza kama wale ni wanangu.
“Dada hata kama ni watoto wa mitaani lakini si wa kuwafanyia hivyo, kama huwezi kukaa nao nipe mimi nitakaa nao mpaka asubuhi tuatatafuta wazazi wao.”

Aliniambia baada ya kuona nilivyokua nikiwagombeza. Nilikua kama nimechanganyikiwa sio mimi kabisa, sio yule mwanamke ambaye niliolewa nikiwa na kazi ya kawaida, mimi na mume wangu tunasiadiana, sio mimi niliyejifungua watoto watatu nikiwa na upendo sana, raha na mume wangu ila baada ya pesa na mume wangu kupata matatizo hata wanangu wlaikua wananiogopa, mbona kupanda cheo kumekua kama mkosi kwangu?

“Hembu fuata yako kabla sijakuitia mwizi, niache kabisa hawa wawe ni wa mtaani au ni wanangu hawkaukusu!” nilimuambia huku nikimchukua mwanangu mdogo na kumvuta kama namburuza kuingia ndani, huku akilia namtaka Baba namtaka Baba, gahfla wote wakatoka nnje, hata wale wawili walioingia wakatoka na kuanza kumlilia Baba.

“Dada kuwa na adabu, ni wanao kweli hawa mona wamekaa kama watoto wamepotea njia na kuja kulala hapa, kama vipi twende nao Polisi!” nilikuta napandwa na hasira na kumtandika kofi.

“Wewe mbwa ondoka nyumbani Kwangu, masikini mkubwa wewe, umenileta nishakupa hela yako, sitaki tena kusumbuana na wewe!” Hilo lilikua ni kosa kubwa sana, alinipiga kichwa kimoja cha utosini, nilidondoka ka akiroba, sikupoteza fahamu ila ilikua ni maruearue, giza lilikua kali kwani taa hazikuwashwa, nit aa za gari yake tu zilikua zinamulika.

Aliwaambia wanangu kuingia kwneye gari kwenda kumtafuta Baba yao, nikiwaona nikiwa nimelala chini sijui chochote waliingia kwenye gari naye akandoka. Nilijitahidi kunyanyuka kupiga kelele lakini haikusaidia, wanangu walishaenda tena wao ndiyo walikua wanakimbilia kupanda gari kama hawanitaki Mama yao!

Niliumia sana kwani mwaka mmoja nyuma mimi ndiyo nilikua kipenzi cha wanangu ila kupanda cheo kulibadilisha kila kitu. Nilinyanyuka na kuingia ndani kuona kwanini watoto wapo nnje, niliingia na kukuta milango imefungwa taa hazijawashwa, nikafungua milango mume wangu hakua ndani.

Nilimpigia simu yake ilikua haiiiti, nilipiga sana ila haikuita. Mwisho nilikumbuka Mama aliongea mambo ya hospitalini, sijui nini kilikua kimetokea, nilimpigia tena simu Mama lakini hakupokea, kichwa kilizidi kuniuma, watoto wameondoka na mtu ambaye hata simjui, mume wangu sijui yuko wapi na Mama ambaye aliongea mambo ya kufa na hospitalini sijui yuko wapi?



(ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI; Shadia anadanganywa na rafiki yake, anaacha kwenda nyumbani na kwenda hotelini, nakutana na mwanaume ambaye anambaka, anatoka akiwa na hasira, anampigia simu Mama yake anaambiwa mambo ya ajali. Wakati anarudi ntumbani anakuta watoto wake wako nnje, anagombana na dereva Tax ambaye anachukua watoto na kuondoka nao.

Anampigia simu mume wake hapatikani, anajua kapata ajali anahisi labda kafa! Unafikiri nini kimetokea, basi endelea… ila usisite kuingia kwenye ukurasa wa @aziraniHow? Hapo si simulizi bali kama unataka kujifunza namna unavyoweza kutengenesa kupitia kuuza ujuzi wako mtandaoni, inakuja karibuni @aziraniHow?

Kusema kweli nilikua nimechoka, sijui kwakuanzia wapi, kichwa bado kilikua kinauma, nilitaka kutoka kufuatilia wanangu lakini kuna kama kitu kiliniambia achana nao, lala tu acha ujinga! Kweli niliiingia ndani na kupanda kitandani, ile nakaribia kupata usingizi tu simu yangu iliita. Haikua ni namba ngeni, ilikua ni namba ya Mkuu wa Kituo cha Polisi cha jirani.

Nilikua naijua kwakua kama mambo ya Polisi jamii sisi kama benki tulikua nawafadhili sana na kufanya nao kazi pamoja. Nilipokea kwa sauti ya usingizi, alianza kwa kuniomba samahani kwa kunipigia ismu usiku ila baadaye akaniambia kuhusu wanangu. Anawajua, ni kwakua mara nyingi nilishawahi kukutana naye na familia yake kwake na kwangu.

Aliniambia kuwa wameokotwa na mtu ambaye anajifanya kuwa ni Dereva ila wamemuweka ndani kwakua wanahisi kuwa amewateka.
“Mimi niko safari ya kikazi, sijui kawakuta wapi kwani niliwaacha na Baba yao na tangu jana hapokei simu, kulikua na kaugomvi kidogo ka familia nikahisi kanizimia simu ila nashangaa kuona unanipigia na kuniambia sijui wanangu.niko Mwanza, nimechanganyikiwa kwakweli, nisaidie, sijui nafanya nini, nina kikao kesho saubuhi ila itabidi kesho nipande ndege ya asubuhi kuja kuwaona wanangu!”

Niliongea kwa kupaniki ili kujifanya kulia, nilimuomba sana asimuachie huyo mtu kwani kuna uwezekano kawateka watoto au kuna kitu kibaya. Nilikua na usingizi sana sikutaka kwenda kituoni, na nilivyokua nilijua nikifika wanangu watanigeuka, nilitaka kupumzika na mambo mengine yatajulikana asubuhi.

Mkuu wa kituo aliniahidi kuwachukua mpaka nyumbani kwake na dereva alibaki lokapu, hapo nilikua na amani kabisa, nililala huku nikizima simu kwani sikutaka usumbufu wowote.
“Kama mume wangu kafa tutajua ausubuhi, siwezi kumrudisha!” Nilimtumia meseji dereva wangu asije kunichukua asubuhi, nililala fofofo bila kujali kitu chochote, ulikua ni usingizi mtamu sana hata sikuota kitu.

“Najua nimelala nnje bila sababu ila usikasirike mke wangu, nilipanga kukuambia ila jana nilichanganyikiwa!” Ilikua ni meseji ya kwanza ambayo nilikuatana nayo asubuhi baada ya kuwasha simu. Nilishtuka kidogo ila nilikua na amani kuwa mume wangu hajafa labda alikua kwa malaya wake.

Kabla sijaanza kupaniki na kumtukana ikaingia meseji nyingine.
“Ndiyo naona simu yangu, jana kutwa nzima tulikua tunahangaikia damu, Mama bado hali yake ni mbaya, sijui itakuaje ila wanasema wanataka kumkata mguu. Lakini pia kaumia uti wa mgongo, wanasema anaweza asitembee tena!” nilishtuka kidogo, nikawaza ni Mama gani? Mwisho nikaamua kumpigai simu mume wangu.

Alipokea ka heshima na kaunza kuomba msamaha.
“Jana nilikupigia kukuambia kuwa naenda Chalinze kwani Mama kapata ajali ya gari, baada ya wewe kumuambia kuhusu mimi aliamua kuja kutusuluhisha, basi njiani alipata ajali. Nilijua ni ajali ya kawaida, walinaimbia hajaumia sana ndiyo maana nilikupigia ili tu kukuambia, ila tukashindwa kuelewana.

Nilifika nikakuta hali ya Mama ni mbaya, kahamishiwa Muhimbili, ameumia sana kapoteza damu nyingi….”
“Kwahiyo ukaona kuwa huyo Mama yako ni wamuhimu kuliko wanao, uliwaacha wanao wakalala nnje, mpaka wanakuja kuokotwa na Polisi!” Nilimjibu kwa hasira, niliona anaanza kutiatia huruma, sikua tayari kabisa kusikiliza ujinga wake!
“Unamaanisha nini?” Aliniuliniuliza, nilimfokea sana nikamuambia nimerudi nyumbani usiku watoto hawapo naishia kupigiwa simu na Mkuu wa kituo kuwa wameokotwa na Dereva Tax!

“Mimi siendi huko, utaenda wewe ili uwaambie ulikua wapi, una kazi moja tu ya kuhudumia watoto unahangaika na Mama yako, kwani akifa ndiyo atakua wa kwanza!” nilimakatia simu kisha kumtumia meseji ya kwenda polisi, nikamtumia na elfu kumi kwenye M-pesa.
“Kama huna nauli hiyo, kuhusu Mama yako sitaki kujua, ninachoataka kawachukue wanangu na usinitaje, kituoni wanajua niko Mwanza, nitabaki huko kajitetee ujinga wako ila mimi usinitaje!”

Nilimkatia simu na hata alliponipigia sikupokea, mwisho alituma meseji.
“Nimekuelewa, nitaenda kituoni na sitakutaja, ila nilikua na shida kidogo, hali ya Mama mbaya, kuna pesa zinahitajika afanyiwe upasuaji la sivyo atakatwa mguu, si unajua alikua anatumia BIMA yangu ila sasa hivi hana Bima!” niliisoma ile meseji kisha nikacheka “Pesa tu pesa kila saa!” niliwaza, kisha nikamtujibu.
“Ni Mama yako, wewe ni mtoto wa kiume pambana, siwezi kukulea wewe nikalea na Mama yako, huo uchizi sina!” nilimjibu vibaya kisha nikamblock baada ya kuona ananitafuta tafuta sana. Sikutaka kwanda ofisini wala sikutaka kubaki nyumbani, niliondoka zangu na kwenda kutafuta hoteli, nikachukua chumba kupumzika.

*****
Nilikaa hotalini kwa siku tatu bila kuwasiliana na mume wangu kutaka kujua nini kinaendelea, kazini nilikua naenda kama kawaida, siku ya tatu nilirudi nyumbani. Nilimkuta mume wangu kakaa katulia, alikua na mawazo mengi sana, nilimsalimia na alinijibu vizuri, kwa niliyomfanyia nilihisi labda atakua na hasira lakini haikua hivyo.

Alikua vizuri, nikamuuliza kuhusu Mama akaniambia anaendelea vizuri, sikutaka kuongea sana, nilimpa elfu ishirini na kumuambia itamsaidia matibabu.
“Nashukuru sana mke wangu….” Alijibu huku machozi ya kimtoka, sikutaka kumuuliza kwanini alikua analia, niliingia ndani watoto walishatoka shule.

Niliwafuata chumbani kwao, kuwasalimia walinijibu lakini hwakunichangamkia, ni kama walikua wameninunia, siriasi walinitibua!
“Hawa wananichezea, wananiona mimi shoga yao, yaani mjitu nailisha halafu hata heshima haina ngoja niwaonyeshe. Niliingia chumbani na kuchukua mkanda wa suruali ya mume wangu, nilirudi chumbani na kufunga mlango kwa komeo. Niliona kama wanashtuka, nikawasogelea.
“Si mnajifanya mmekua, mnajifanya mko karibu na Baba yenu kiasi cha kunifanya nionekane sio Mama bora, yaani mimi ndiyo Baba ndiyo Mama, nawahudumia kwa kila kitu leo mnajifanya mna mapenzi sana na Baba yenu, basi kwa taarifa yenu mimi ndiyo mwanaume humu ndani na nitawaonyesha.

Nilianza kuwatandika kama sina akili nzuri, sikujali mdogo wala mkubwa, niliwapiga sana, walipiga kelele sana, mume wangu aligonga sana mlango lakini sikufungua, niliapiga mpaka nilipoona mume wangu anataka kuvunja mlango ndipo niliacha, kisha nikafungua mlango nakutoka.
“Wamekukosea nini mbona kuwapiga namna hii?” mume wangu aliniuliza.
“Ondoka hapa, au kwakua hiki kinyumba ulijenga wewe ndiyo unataka kuniapngia acha kufanya, mimi ndiyo mwanaume humu ndani, hawawezi kunidharau halafu nikawachekea!”

Niliongea kwa hasira na kurudi chumbani kulala, nilimuacha mume wangu akibembelezana na watoto, sikujali nililala mpaka muda wa chakula nilirudi sebuleni na kukuta chakula kiko mezani. Mume wangu alinipa maji nikanawa, niliwaangalia watoto wangu kwa hasira, walikua bado wanahofu na mimi ingawa walishanyamaza, walikua wanacheka ila waliponiona wakakunja sura tena mpaka baba yao alipowaonyeshea ishara kwa kuwaokonyeza ndiyo walilazimisha kutabasamu!

“Nyie wajinga mimi ndiyo nawalisha, hili dubwasha mnaloliona halina kitu kabisa. Hivi mnajua Baba yenu ni mijinga tu, hana akili, mnajifanya kumpenda lakini yeye aliiba vyeti vya watu, kafukuzwa kazi anakuja kunisumbua humu halafu mnamuita Baba. Mnapaswa kunipenda mimi Mama yenu sio huyu mjinga kunuka! Baba byenu hana kazi yoyote zaidi ya kula na kunya, mimi ndiyo mwanaume lakini mnamuona yeye wamaana sas anitawakomesha!”

Niliongea huku nikicheka, kama natania ila mwanangu mkubwa aliniangalia kwa hasira nusura kunipiga na sahani. Mume wangu yeye alikua kimya, alitamani kuongea ila alijua kuwa kama akiongea itakua shida zaidi.

“Haya niambie Mama yako anaaendeleaje?” Nilimuuliza huku nikinyoosha mikono anipe bakuli la nyama. Kabla ya kunijibu nilipaniki baada ya kuona nyama nyingi kwenye bakuli.
“Hivi unajua kuwa pesa ni ya shida, nyama zote hizi ni za nini, kwa mitoto hii ambayo haisikii, yaani mimi niende kuhangaisha akili huko nileteauje kula.
Hivi wewe mwanaume una akili kweli, yaani unalishwa na mke wako ila unatumia pesa vibaya, hivi kama nawakatikia wanaume wenzako viuno ndiyo napewa pesa ila huoni aibu unakuja kula tu!” Nilimuambia, mume wangu hakujibu kitu, iliniumiza zaidi kwani niliona kama ananidharau, kama kaungana na watoto ili kunidhalilisha ndiyo maana hajibu kitu.

Nilinyanyuka na kuchukua nyama zote kweneye sahani zao, nikazitupa chini. Sikula tena chakula niliondoka zangu na kurudi chumbani kwa hasira nikijifanya kama vile nimekasirishwa. Ingawa nilikua na njaa tena sana lakini nilikua tu na kisirani, sikukosewa chochote ila niliona kwa mume wangu kukaa kimya ni dharaau.

Baada ya kama nusu saa hivi mume wangu aliingia chumbani, alikaa pembeni yangu na kuanza kulalamika.
“Hivi lakini tutaishi hivi mpaka lini, yaani inakua kama vile watoto wadogo, kugombana, kunitukana na kunidhalilisha, hivi kungekua na shida gani ukaniambia kwa ustaarabu kama nimekukosea!” aliongea lakini sikujibu chochote, nilijifanya nimelala ili tu aache kuongea, kwa namana livyokua analalamika mume wangu nilianza kujisikia vibaya.

“Masikini si watu wa kuwasikiliza, una huruma sana Mwanangu, huyo mwanaume wako hakuna kitu hapo, anaombaomba sana akianza kulegeza sauti kaa naye mbali nakuambia!” Sauti ya Mama yangu ilinijia kichwani hivyo kaumua kukaa kimya.
“Mke wangu unanisikia! Amka basi tuongee!” Aliongea huku akinishuka begani kama ananivuta kuniamsha. Hapo lilikua kosa, nilikua namtafutia kitu.
“Unanipiga, kwahiyo unataka kunipiga, haya niue, niue basi!”
“Nakupiga wapi, mimi si nilikua nakuamsha, sasa haya ya kupigana yemetokea wapi?” Aliniuliza, baada tu ya kunigusa nilinyanyuka na kuanza kupiga kelele, anilisukama Sukuma sana mpaka akapepesuka nusu kudondoka, alinyanyuka nikitegemea atanpigia lakini hakunigusa. Hasira zilinipanda, nikaanza kupiga makelele kua anataka kunia.

Nilikimbia na kutoka nnje, alinifuata kunikimbiza akiniomba nisitoke nnje lakini mimi sikutaka, tulianza kuvutana, kwa bahati mbaya niliteleza nikadonbdokea kwenye meza ya kioo nikapasuka kichwani mwanzo wa nywele pembeni kidogo ya utosi. Nilipiga kelele sana za maumivu, nikaanza kuomba kupelekwa hospitali, damu nyingi zilikua zinatoka, mume wangu alijaribu kunipa huduma ya kwanza ila niligoma.

“Unataka kuniua, yaani nakulisha na kukuvisha unataka kuniua. Nilichukua simu yangu nakupiga Polisi, sikumpigia hata mkuu wa kituo, moja kwa moja nilimpigia OCD, kwakua tulikua tunajuana, haikuchukua hata nusu saa gari ya doria ilikuja, mume wangu alinyanyuliwa kama kifaranga cha kuku na kutupwa kenye gari, mimi nikapewa PF3 wakanipeleka hospitalini.

Siku hiyo alilala Mahabusu, sikuenda hata kumuona, mimi ndiyo nikabaki na watoto, hata kazini si kwenda kwani nilikua na ID ya siku tatu kutokana na maumivu. Mume wangu alikaa ndani siku tatu ndipo niliamua kumsamehe, si kwakua nilikua nataka bali watoto, nilishindwa kukaa nao, hawali mpaka kwa kupiga, niliwapiga wanangu mpaka nikachoka mimi mwenyewe kupiga ndipo nikaamua kumuachia na kufuta kesi kabisa.

Alitoka akiwa kachoka sana, alipigwa sana tena sana, kibaya zaidi ni Mama yake, yeye pekee ndiyo alikua anamhudumia, ingawa ana ndugu zake lakini uwezo wao mdogo na kwakua hawakusoma kabisa basi hawakuweza hata kumpigania, Mama yake alikatwa mguu wakati yeye yuko mahabusu.

Ilimuuma sana, hakuniambia chochote, hakuonyesha hata kunilaumu mimi ila niliona kaumia, usiku wakati tumelala nilisikia akiwa chooni, alikua analia kama mtoto mdogo, analia ile ya kwikwi huu akilalamika “Nisamehe mama, najua nimekuangusha ila nisamehe, sikukutendea haki Mama nisamehe sana, nakuomba sana Mama unismaehe!” alikua analia sana, nilijifanya sijamsikia kwani namimi nilikua najisikia vibaya.

Asubuhi nilimpigia simu Mama yangu kumuambia, alichoniambia “Umewabeba sana achana nao!” basi nilijipa moyo kua sijafanya kitu kibaya mimi sio niliyesababisha ajali, mume wangu bado alikua ananihitaji hivyo hakua na namna zaidi ya kuninyenyekea.

“Mke wangu naomba uwe unanisaidia hata nauli, nimekwama sana, na kusema ukweli sina mtu wa kunisaidia, najua unanibeba sana na nashukuru kwa hilo kwani bila wewe Mama angekufa, nashukuru sana mke wangu, lakini naomba uwe unanipa hata nauli ya kurudi kuhusu kwenda usijali nitatembea lakini kurudi nakua nimechoka. Kuna mizunguko mingi sana mjini nafanya kwa miguu hivyo jioni nachoka sana na kama unavyojua hatuna binti nikirudi ni lazima nifanye kazi za ndani, nisaidie niwe nawahi mke wangu, samahani lakini kama nimekukwaza.”

Siku hiyo mume wangu aliniambia, ilikua ni saa kumi usiku, alikua anajiandaaa ili kwenda hospitalini, aliamka saa tisa usiku na kuanda akila kitu cha watoto. Mume wangu alilazimika kutembea kilometa karibu 21 kila siku kutoka Goba tulipokua tukiishi mpaka Muhimbili ili kumuona Mama yake, alikua anachoka sana, ingawa kuna wakati anapata vilift lift lakini alikua anachoka sana, hakuwahi kuniambia kwani hata chakula alichokua akimpelekea Mama yake nilikua nampa mimi ila siku hiyo aliniambia.

“Kwahiyo umeamka ili kuniambia ujinga wako? Uwage na shukurani, hivi unajua nakulisha wewe na Mama yako halafu unataka bado nikupe na nauli, kama hutaki kutembea muache afie huko kwani ana faida gani? Kwanza mtu mwenyewe miaka 70, kakatwa mguu hata kupona haponi, unafikiri hata kipona nani wa kumhudumia! Kashakatwa mguu unafikirti ataishi na nani na ukilema wake!”

Nilijiona mjanja sana na kujisikia raha namna mume wangu alivyokua anateseka, namna alivyokua anaomba nilijisikia vizuri.
“Nisamehe mke wangu, nisamehe sana nimekosea, sikupaswa kukuomba nilipaswa kushukuru kwani unansaidia sana.” Alinijibu huku akinyanyuka, alikua anaondoka harakaharaka kwani hakutaka niyaone machozi yaliyokua yanamtoka, kwa namna flani nilijisikia vibaya, nilimuita na kumpa Buku.
“Itakusaidia nauli mimi sasa hivi sina pesa…” alinishukuru sana kama vile nimempa mbingu, mimi hata sikujali, nilirudi zangu kulala wala sikutaka kujua kitu chochote kuhusu Mama yake.

******
Mama yake alikaa hospitalini kwa miezi miwili, katika kipindi chote hicho sikuwahi hata kwenda kumembelea wala kuuliza anaendeleaje, niliendelea na mambo yangu nikirudi nyumani muda ninajisikia kwani rafiki zangu wengi walikua bado hawajaolewa, kila siku walikua wanapondea ndoa hivyo nilitaka kula bata naoi li kuwaonyesha kuwa unaweza kuolewa na bado ukala bata!

Siku moja nikiwa kazini mume wangu alinipigia simu.
“Kuna kitu naomba kuongea na wewe, kama unavyojua mke wangu sina ndugu Dar, ndugu zangu wako mikoani na hawa waliopo Dar ni wakufikia, Mama karuhusiwa….” Alianza kuniambia ila kabla hata ya kumaliza nilimkatiza.

“Sitaki kuishi na Mama yako, hata kama nyumba ni yako ulijenga ila mimi ndiyo nahudumia chakula, simtaki Mama yako kwangu, mrudishe hukohuko kijijini!” Nilimuambia nakumkatia simu, alipiga sana ila sikupokea.
“Nakutumia nauli, mpeleke hukohuko kijijini kwenu, ukimleta kwangu jua nakuacha na nyumba yako naondoka na pia nahitaji Talaka yangu, siwezi kuishi na maiti ndani, miaka 70 hana mguu si umpe sumu ya Panya afe huko, sitaki huo ujinga kabisa, ukimleta Mama yako njoo na Talaka yangu na jua hii nyumba ulijenga tuko wote inauzwa tunagawana na wanangu nachukua kwakua huna uwezo wa kuwalea!” Nilimtumia meseji kisha nikazima simu.

Sikuwasha mpaka jioni wakati narudi kazini, nilishanaga kumkuta Mama mkwe wangu yuko kwangu, nilimsalimia vizuri kwa kumchangamkia, naye alinichangamkia.
“Kumbe umerudi mwanangu, mume wako alinmiambia ulikua na safari ya nnje ya nchi…” kwa aibu nilimkubalia na kumuomba samahani kwa kutokwenda kumuona niliingia ndani na kumuita mume wangu.

Moyo ulikua uanchemka, damu inataka kumwagika, niliona kama mume wangu kanidharau, nilishamkataza mambo ya kumleta Mama yake kwangu halafu anamleta kimya kimya niliona kama dharau, kama sijaheshimiwa kabisa! “Unamfukuza au nimfukuze mimi, angalia mtu mwenyewe kashakua kama maiti unamleta kwangu, sitaki aondoke!”

Nilimuambia huku nikitoka nnje kutaka kumfukuza Mama yake lakini alinishika hukua akinisihi sana nisimfukuze, alipiga mpaka na magoti huku akilia.
“Nipe muda, muache akae kwa leo kwakua sina pakumpeleka, kesho nitatafuta namna ya kumuondoa humu, nakuahidi mke wangu nitamuondoa kesho, kama ulishawahi kunipenda naomba sana unisitiri kwa leo. Mama ataondoka ila naomba muache leo apumzike!” Alinaimbia huku akilia.




(ILIPOISHIA SEHEMU YA TATU; Mama mkwe wake anatoka hospitalini, Shadia anamuambia mume wake hataki kumuona nyumbani kwake, lakinia narudi nyumbani na kukuta mume wake kamleta, basi anaamua kutaka kumfukuza! Je atamfgukuza, basi ENDELEA…”

“Mama yangu alihangaika sana ili nisome, Mama yangu alijitoa sana ili mimi niwe na maisha mazuri. Mama yangu hajui mambo ya vyeti feki, sio kama nilifeli, hapana, nilifaulu masomo ya Arts na mimi nilitaka kuwa mhandisi, hapo ndipo nilikosea kwani nilitumia cheti cha mtu. Mama yangu hajui kitu chochote. Hajui mambo ya vyeti feki, hajui kama sinakazi, anajua tu nilipata changamoto kazini ila sasa hivi niko vizuri!

Kama ulishawahi kunipenda, naomba usimuambie mama chochote, naomba usimfukuze. Kama ulivyosema Mama yangu ni mfu, anakufa karibuni, kwanini umsababishie maumivu, nitafanya chochote unachotaka ili tu usimuambie Mama yangu chochote, naomba sana….” mume angu alikua kapiga magoti mbeye yangu, alikua kashika miguu yangu hukua nainama na kuilamba akiomba nisiongee na Mama yake.

Ingawa hakikua kitu kizuri lakini kulikua na raha ya ajabiuu nilikua nikiisikia, nilijiona kama Mungu, nilijiona kama mwanaume, yaani niliona kama vile namiliki amisha ya mume wangu “Anafanya chochote nianchotakla!” niliw2aza huku nikicheka, akiwa pale chini nilimpiga teke na kumsukuma.
“Usinichafue, nafanya hivi kwaajili ya wanagu, Mama yako atakaa leo tu, kesho tafuta sehemu ya kumpeleka, nikirudi nyumbani na kumkuata hapa nitamtimua kama hanaakili zote, nakuambia umuondoe!” nilimuambia kwa hasira, aniliitikia hukua kinishukuru sana, alishukuru mpaka ikawa kero.

“Muambie Mama mimi nalala, nimechoka, sitaki kuja sebuelni kumuona kwani nahisi nitamtukana tu, anatia kichefuchefu kwakweli, kwanza mwenyewe tu ananuka lakini sas andiyo hivyo kakatwa na mguu, hapana muambie nalala!” nilimuambia mume wangu huku nikirudi chumbani, nilivua nguo na kuingia bafuni kuoga, baada ya hapo nilipanda kitandani kupumzika, nilijua mume wangu ni lazima atapika na kwakua sitaki kutoka kuonana na Mama yake basi ataniletea chumbani.

Asubuhi mume wangu aliamka kwaajili ya kuwaandaa watoto, mimi nilikua bado nimelala, aliniamsha ili kwenda kazini.
“Nahsukuru kwa kuruhusu Mama kukaa hapa kwa leo, nashunkuru sana kwa kunisitiri, kama ulivyosema jana ni lazima Mama ondoke, siwezi kukupa mzigo mwingine, mimi hapa sina kazi na nikisema nibaki na Mama hapa itakua ngumu.

Kuna rafiki yangu yuko singida, kuna kazi niliongea naye huko nyuma akaniambia lakini nikawa nasikilizia, ni kazi ya sokoni, jana niliongea naye akaniambia kuwa anaweza kunipa chumba nikakaa kwani kuna nyumba ya marehemu Mama yake bado haijapata mtu. Naomba kama hutajali unipe siku ya nleo ili nipambanie nauli ya kuondoka mimi na Mama.

Najua nilikuambia naondoka leo, najua pia kuwa utaona kama nakuzugisha ila niamini kuwa mpaka jioni nitakua nsiahapambania nauli ya mimi na Mama. Kuna rafiki yangu mwingine nilimuambia kuhusu nauli akaniambia nimcheki leo….” Alianza kuonegaujinga ujinga wake, nilimkatisha na kumuambia, nianchotaka mimi ni jioni nikirudi nisimkute Mama yake.
“Hakuna shdia tutaondoka nakuahidi hutamkuta Mama hapa!” Aliongea kwa kujikaza, wakati wote huo alikua kapuga magoti akiongea na mimi, nilimuangalia kwa huruma kidogo lakini nilijisikia raha, akili yangu ikawaza kwa X wangu.

Ben, Kaka mmoja wa kikurya ambaye kapanda juu, jitu jeusi, nilimpenda sana huyu Kaka kipindi niko chuo, nilijua ndiyo atakua mume wangu, lakini alinisumbua sana,a kawa ananipiga, kunitukana na kunifanyia kila aina ya vituko,a likua akitembea na rafiki zangu lakini mwisho mimi ndiyo anaishia kuomba msamaha. Niliteseka sana, akaja kuniacha na kumuoa mtoto wa shangazi yangu, pamoja na kuoa bado alikua anakuja kwangu, ananilaghai narudiana naye nikiamini labda kabadilika ila haikua hivyo.

Nilipokutana na mume wnagu ndipo nilianza kuonja raha ya mapenzi, alikua anajali,a nakuhudumia, anakupa kutokana na uwezo wake na kama hana basia anakuambia huna. Kusema kweli nilijisikia rah asana kuwa na mume wangu. Baada ya kuingia kwenye ndoa ndiyo nilipata raha zaidi, nilikua nafanya kazi lakini hata siku moja mume wangu alikua ahjawahia kuniuliza unapata shilingi ngapi.

Kila kitu alikua anahudumia yeye na kama nikitaka ndiyo natoa, tena kwa kutaka si kwa kuambiwa. Nyumba alijenga yeye kuanzia chini mpaka juu, kitu pekee ambacho kilikua changu ni mapazia, tena yenyewe nikwakua nilikua nanunua mimi, yeye akinunua analeta maronyaronya nayagawa nanunua yakwangu.

Nilikua nafuraha mpaka laipofukuzwa kazi, niliednelea kumheshimu lakini rafiki zangu walipojua na kaunza kumuongelea vibaya, kunicheka wkamba nahudumia wmanaume na kunishawishi kuanza kuchepuka hapo ndipo nilianza kumchukia mume wangu. Alipopiga magoti mbeye yangu nilikumbuka jinsi nilivyokua nampigia magoti X wangu nikimuomba kurudiana na mimi baada ya kumfumania, yaani ni kama nilikua nalipa kisasi na nilisikia raha sana.

“Ondoka usincihefue, naondoka sitaki kumuona Mam ayako nikirudi.” Kweli niliondoka bila htaa kuingia chumbani kwa Mama mkwe wangu kuangalia kaamkaje. Kama saa nanhe mchana hivi mume wangua linipigai simu, aliniambia kahapata nauli hivyo ataondoka na Mama.
“Naomba basi uwahi ili watoto wakirudi nyumbani wakukute, mimi naondoka jioni hii!” Aliniambia, hapo ndipo nilishtuka kuwa nafanya ujinga, sina mfanyakazi halafu mume wangu anaondoka tena kufanya kazi huko Singida, ananiachia watoto.

“Ile mijitu nitakaa nayo vipi?” niliwaza kwa hasira huku nikigonga meza, sikutaka kuonekana kama namhitaji, lakini hakuna namna ningeuhusu mume wangu kuondoka na kunaichia watoto na hakuna namna pia ningeruhusu wanangu kukaa mbali na mimi, hapana.
“Kwanini unaondoka sasa hivi, si usubiri kesho?” Niliulizia wakati nikiwaza ni namna gani nitamuondoa Mama yake nyumbani bila yeye kuondoka naye.

“Sio kama nimepata nauli, ila kuna rafiki yangu kaniunganishai lori la mizigo, linaondoka saa kumi, sasa wako tayari kunibeba mimi na Mama hivyo nikichelewa mpaka kesho sitaondoka.” Aliniambia, nilisikiliza kwa muda kisha nikakaata simu, sikutaka kuongea naye, nilimtumia tu meseji.
“Usiondoke, ondoka kesho nitawapa nauli, mimi sio mshenzi kaisi hicho, Mama kwa hali yake hawezi kupanda lori!”

Alinijibu meseji tu “Sawa” alipiga simu ila sikupokea, nikaamua kuendelea na mambo yangu.

****
Sikutaka kuonekana kama namhitaji sana mume wangu, wala sikutaka kuonekana kama vile nimemzuilia kufanya kazi. Nilirudi nyumbani usiku, nikampa nauli yake lakini kweney saa sita hivi nilimfuata na kumuambia.
“Mimi nitaondoka asubuhi, nina safari ya kikazi kwanda mwanza, sasa sijui utafanya nini na hawa watoto?” nilimuambia kana kwamba hawakua wanangu.

“Si nilijua unabaki nao, siwezi kumaucha Mama peke yake!” Aliniambia kama anatetemeka hivi, nilimuangali kuanzia chuni mpaka juu kisha nikamuambia.
“Huna akili wewe, naona kukosa kazi kshakufanya kuwa mjinga kabisa! Baki na wanao, nikirudi ndiyo utaondoka na huy Mama yako kama takaua bado hajafa!” NIlimpa shilingi elfu ishirini na kuondoka zangu, sikua na safari yoyote ya kikazi ila nilihitaji kupumzika mweneywe kuwaza ni namna gani nitamuondoa Mama kwe wangu pale nyumbani bila kumuondoa na mume wangu.

Ingawa alikua hachangiic hochote lakini bado mume wangu alikua na umuhimu sana, kazi zote za ndani alikua anafanya yeye na mara nyintgia likua ananisaidia kazi zangu za ofisioni, mume wangu ni wale watu wanaojuakaribu kila kitu, yaani ana akili kuliko hata mimi, hivyo nilikua namtumia mara nyingi kaundika taarifa, kuedit na kuniandalia mambo mengi ya kazi, sika tayari kumpoteza.

****
“Naona hata aibu kukuambia lakini naomba unsiaidie, Mama ahhahitajika kurudi hospitalini kusafishwa kidonda, sina hata shilingi kumi mke wangu,najua nakusumbua lakini naomba unisaidie….” Ilikua ni meseji ya mume wangu ambayo ilinitibua, kwanza ilikua ni usiku kama saa nne hivi, nilikua Bar na rafiki zangu tunakunywa. Baada ya kumauchia elfu ishirini na kuondoka nilienda kupanga hoteli na kukaa.

Wiaki ilikua imepita,s ijui walikau wanaishijje lakini ndani ya wiki nzima hakuniomba chochote. Nilikunja sura kidog baada ya kusoma ile mseji.
“Vipi?” rafioki zangu waliniuliza.
“Acha tu, si huyu mwanaume yaani nampa kiola kitu lakini bado ananiomba nimsaidie kumhudumia Mama yake, hivi hii ni haki kweli?” Nilijseme huku nikisikitika, bilcihukua glass yangu ya wine na kuanza kunywa tartibu rafiki zangu walicheka sana.
“Hivi mwanaume ambaye hana kazi ni wa nini, kwanini usimfgukuze au kisha nyumba yake, wewe una pesa, una kila kitu, nunua nyumba yako ishi na wanao, tafuta mfanyakazi mzuri tu, kula maisha, mwanaume mtimue, maisha ya sasa ni ya kulea mwanaume?” Rafiki yangu mmoja aliniambia tukacheka.

“Yaani shida ninayopata, hakuna kitu kigumu kama kuishi na mwanaume ambaye analialia!” niliwamabia huku nikichukua simu yangu niliwaambia kunyamaza ili kumpigia simu, hatukukua sehemu yenye Kelele, ilikua ni chumba cha VIP mimi na rafiki zangu wa nne tu.
“Una shdia gani?” nilimuuliza mume wangu baada ya kupokea simu, niliweka loudspeaker ili rafiki zangu wote kusikia.

“Samahani kwa kukusumbua usiku lakini ukioona nimekutafuta jua nimekwama….” Nilimkatisha.
“Ongea wbana sem una shdia gani, mambo ya kujilalamisha ya nini, hivi unavyopiga simku usiku kama niko na mwanaume mwenzako unafikirti itakuaje, au unafikiri pesa naokota!” nilimuambia huku nikicheka, rafiki zangu wlaiziba midomo ili sauti zao za vicheko zisisikike.

“Mama anahitajikka kusafishwa kesho, kuna daktari nilionge aneya akaniamia nimlete tu hakutakau na dharama, lakini mke wangu sina hata nauli, hele uliyoniachia imesiha yote, nimehangaika hangaika ninachopata ndiyo nawapa watoto shuleni, ingekua mimi ningetembea lakini siwezi kutembea na Mama, nina shida ya elfu tano tu, mengine nitashughulikia, hata tupate nauli na maji njiani….” Mume wangua lijilalamisha sana mimi na rafiki zangu tulikua tunasikiliza, katika kusikiliza kuna rafiki yangu mmoja alicheka kwa sauati, mume wangu akasikia akanaymaza kidogo, basi rafiki zangu wengine wakacheka kwa sauti.

“Shoga yetu mpe tu huyo mwanaume, anatia huruma.” Mmoja alisema.
“Huruma gani, yaani mwanaume mtu mzima anajiliza hivyo, hana lolote, unaweza kumpa kumbea naenda kuwapa malaya zake, hapana achana naye!” Waliongea sana huku bado mume wangu akisikia.
“Nashukuru, nitajua cha kufanya, hakuna shida, nitajua chakufanya.” Aliongea na kuakata simu, nilijau kabsia kakasirika, nilijisikia vibaya na kutaka kumpigai simu lakini rafiki zangu walinisihi nisimpigie, halikua kosa langu, yeye kama mwanaume alipaswa kuwa na pesa sio kuniomba.

Tuliendelea kunywa mpaka saa nane usiku, mimi niliondoka kwenda kulala, nilikua nimchoka sana na asubuhi nilihitajika kazini. Siku ile ilipita, sikumtafuta mume wangua wala sikuhanagika kuulizia kuhusu mama yake, kesho yake mchana ndipo nilimtumia kwenye simu elfu sita.
“Nashukuru sana mke wangu, Mungu akuzidishie ulipotoa” aliniambia kitu amabcho kilizidi kunikasirisha kwani niliona kama ananichulia.

Mama yake aliendelea kuishi kwangu kwa zaidi ya miezi miwili, hali yake ilianza kuwa nzuri, aliomba kuondoka, ingawa nilikua sikutani naye mara kwa mara lakini mbele ya Mama yake mimi nilikua kama malaika, namhesnhimu na kumjali, nilijifanya kama namheshimu ili kumlindia heshima yake ila haikua hivyo, nilitaka Mama yake kuniona mwema.

Tulikua tunaishi nyumba moja, nilikua naweza kumaliza wiki mbili bila kuingia chumbani kwake kumjilia hali ila nikiingia nilikua najinyenyekeza na kujifanya nilikua safari ya kikazi.
“Sijui unawezaje mwanangu, yaani akikuacha hata radhi zangu hana, jinsi unavyohanagika huko, unalala njiani ili kufanya kazi, wanawake wa siku hizi hawawezi, mwanangu changamoto za kazi anazoniambia ila umekua mke mwema kwake.” Mara nyingi Mama aliniambia, niliishia kucheka tu kichwani kwani niliweza kumcchota.

“Mama mimi naondoka, mimi nishapiona, mguu huu naweza kuuguza nyumbani, haoti tena, sitakiwi kuishi na mka mwana wangu mud amrefu, sasa niwaache muendelee na dnoa yenu!” siku mopja Mama aliniambia.
“Lakini Mama si ungekaa kaa kidogl wajukuu wahsakuzoea.” NIlijifanya kumsihi kubaki.
“Hapana, mwanangu, nashukuru san akwa msaada wako, Mungu pekee ndiyo atakuja kukulipa! Kama ni wajukuu waje kuniona kwangu, nina mguu mmoja lakini siashindwa kufanya kazi.” Aliniambia, nilijifanya kuumia kuondoka kwake kumbe mimi ndiyo nilimfukuza.

Baada ya kuona kapona nilimuambia Mume wangu kuwa simtaki Mama yake kwangu, nilimuambia atafute namna ya kuongea naye ili aondoke.

Mume wangu alimuambia kuwa kuna kazi kapata hivyo itakua ngumu kwake kuendelea kumhudumia, ndipo mama alikubali kuondoka. Wakati wa kuondioka nilitoa gari, tukamsindiikzia mpaka kijijini, kule nilipeleka zawadi nyingi na kila mmoja alinigurahia, nilionekana kama malikia jinsi nilivyokua nikiwasaidia watu wa huko.

****

Pamoja na kumfanyia mume wangu vituko lakini sikua na furaha, alikua anafanya kila kitu ninachotaka ila bado nilikua na kisirani, kazini nikawa mtu wa hasira, nagombana na kila mtu kiasi kwamba wafanyakazi wa chini walikua wananipgopa, wale wakubwa wenzangu wlaikua wananichukia na kunifanyia fitina ili kufukuzwa kazi lakini nami sikukubali, nilipanmbana ila hasira zote nilishushia kwa mume wangu na watoto.

Mume wangua kawa yuko bize na msihermishe zake, hakua akiniomba pesa kama zamani na ahat kama nisiponunua chakula labda wiki alikua haniammbiil ila nikirudi nyumbani nakuta hali iko sawa.
“Kwahiyo siku hizi una kazi na huniambii, imnamaana unatengeneza pesa ila unaniahca nabeba majukumu mweneywe?” Sikuomoja nilimuuliza, nilikua na hasira sana wkani nilioamini kwa mambo niliyomfanyia kama akipata kazi absia talipa kisasi.

“Hakuna mke wangu, sio kazi, nina sehemu najitolea wananilipa posho, sikutaka kukuambia kwani ni kakazi ka muda ni kama namshikia mtu.” Aliniambia, ni kamahakutaka kuniambia ila nililazimisha mpaka akaniambia.

“Kuna rafiki yangu kafungua kampuni yake, sasa bado ni ndogo, sasa mhasibu wake kajifuingua kwahiyo mimi ndiyo nashikashika kwa muda, ila tunavyoenda naona kama vile kanikubali.” Aliniambia kama ni kitu cha kujivunia. Nilimuangalia kwa dharau kisha niakchake.
“Huna akili kweli, sasa hapo cha kujichekesha ni nini? Hivi huoni aibu wanaume wenzako wanafungua makampuni wewe unaishia kushikia wazazi, aisee nilijua wewe mwanaume labda shida zimekufunza kumbe bado taahira tu una mambo ya kitoto sana!” Nilimuambia, nilinyanyuka kwa hasira na kuingia ndani.

Ilikua ni kama saa mbili usiku, mume wangua likua jikoni akiandaa chakula, nilipanda kitandani kwa hasira kwani kitendo cha kusikia mume wangu kapata kazi nilihisi kuchanganyikiwa.
“Kumbe ndiyo maana nyumba inakua chafu namna hii!” nilimuambia baada ya kushindwa kulala nilitoka tena nnje.
“Chafu kiviipi, mbona kila kitu ni kama mwanzo?” Aliniuliza kwa sauti ya ukali kidogo.
“Unanipandishia sauti, kwahiyo unaniona mimi mjinga kuwa nalalamika lalamika tu kama chizi,unaniandishia sauti, unataka kunipiga! Nipige! Nipige sasa! Wewe si una nguvu! Na safari hii ukinigusa nahakikisha kuwa unaozea jela!” niliongea huku nikimsigina na kidole kichwani, nilifanya hivyo kwa hasira, nikampiga na makofi lakini wala, mume wangu hakufanya chochote, aliishia kutoka nnje bila kuongea kitu.

Nilipiga kelele sana lakini hakunijibu, kwa hasira nilirudi nyumbani, pamoja na njaa zangu ila nililala mpaka aubuhi bila kuweka kitu tumboni. Aubuyuhi nilidamka mapema kuwahi kazini, lakini ukwlei nikuwa hakuna chochote kilifanyika, akili yangu yote ilikua inamuwaza mume wangu, kama amepata kzai, kama wakimuajiri,, kama akiwa na kipato hatanitegemea tena, yaani hatakua mtumwa wantgu tena.

Ayanipendea nini kama hahitaji pesa zangu, nilazima kufanya kitu, yaani siwezi! Nilifikiria sana kitu cha kufanya lakini sikupata jibu. Nilitoka jkna kumpigia rafiki yangu mmoja ambaye namjua kuwa ni mwingi anaweza kunisaidia. Baada ya kumuambia aliniangalia na kucheka.
“Unamfahamu huyo jamaa?” Aliniuliza, nilikua simfahamu kwa kumuona lakini nilijua kama nikimtafuta naweza kumpata.
“Naweza kumpata.”
“Mtafute kisha tafuta na namba yake ya simu kisha kazi nyingine niachia mimi.
“Utafanya nini? Sitaki haya mambo kuja kunirudia, sitaki mume wangu ajue kama mimi ndiyo nimemkoesha kazi!” Nilimuambia, tena alinihakikishai kuwa mume wangu ataniomba msamaha yeye na nitapata sababu ya kumkasirikia.

Jioni nilichukua simu ya mume wangu, nikatafuta namba ya huyo rafiki yake ambaye alimpa kazi na kumtumia shoga yangu. baada ya kama nusu saa hivi rafiki yangua linipigia simu.
“Nishamaliza kazi, sasa subirti kama kesho mume wako atanenda kazini!” Nilimuuliza umefanya nini hakutaka kabisa kuniambia zaidi ya kusema subiri.

Nililala nikiwa na wasiwasi sana, kesho yake nilienda kazini kama kawaida ila sikua na amani, nilikua nasubiria simu ya mume wanu labda kuna kitu kimetokea ila sikuipata. Lakini mchana nilipigiwa simu na namba ngeni, baada ya kuipokea nilisikia sauti ya kiume, alijitambulisha kama yeye ni rafiki wa mume wangu.

“Muambie mume wako aachane na familia yangu, nakuambia aachane na familia yangu!” alikata simu na sikusikia chochote, nilimpigia simu shoga yangu kumuambia. Ndipo aliniambia kuwa alimpigia simu huyo rafiki yake na kumtukana sana, akimuambia kama hawezi kumridhidha mke wake basi atafute vijana wa kumsiadia sio kuchukua mabwana wa wenzake.

“Mwnaaume nilimchukua hana kitu, kachoka katelekezwa na mke wake, nikambalisha na kumheshimisha, umempa kazi mke wako anaanza kummendea basi muambie aachane na mwanaume wangu!” nilimchamba yule Baba na kumuambia kuwa mimi mimi natembea na mume wako na ni mtu wan gu, nilimchukua baada ya wewe kumuacha ila sasa naona kama yuko bize sana na mke wake.

Nilirudi nyumbani nikiwa na amani kidogo, nilimkuta mume wangu nyumbani akiwa na mawazo mengi sana.
“Vipi kazi?” nilimuuliza.
“Poa tu!” Alinijibu kwa mkato, nilimuangalia kwa hasira, alikua amekaa sebulani anaangalia TV, ili kuonyesha kuwa nimekasirikanilichukua stuli na kumpiga nayo begani.
“Unajifanya unatafuta kazi kumbe aumeenda kudanga wake za watu!” nimpiga begani, haikutosha nikampiga na kichwani, alidondoka na damu zikawa zinamtoka, sikujali niliendelea kumpiga tu huku nikijifanya kama nina hasira!
“Unaniua mke wangu!” mume wangu aliongea kwa sauti kisha akakaa kimya, hata nilipozidi kumpiga hakushtuka tena!”

NB: Wanawake wengi wanaotesa wanaume zao hata hawana furaha, wengi wanafanya hivyo kwakua walishapitiamaumivu na wamekutana na wanaume wapole. Wanadhani kwa kutesa labda watapona, ila hawaponi.



Nilimuangalia mume wangu kwa hasira, nikaanza kumtukana kwa kunidhalilisha.
“Yaani nilijua umeshapata kazi utakuja kunisaidia wewe unaenda kujifanya mwanaume huko kwa watu. Mwanaume gani sasa kama ungekua mwanaume wa kweli si ungekuja hata kunigusa mimi, nimechoka na haya maisha, nakulea wewe na wanao lakini huna shukurani!” Nilimtukana sana, muda wote yeye alikua kimya akinisikiliza.

“Umemaliza!?” aliniuliza kwa hasira, kwa mara ya kwanza tangu kuingia kwenye ndoa na mume wangu alinijibu kwa hasira, siku zote yeye huwa ni mtu wa kushuka wakati mimi nikipanda.
“Unamaanisha nini, kwahiyo ulikua unaona kama mimi nacheza, ujinga ufanye wewe lakini uje kunikasirikia mimi!?” Niliuliza lakini kwa mashaka, mume wangu aliniangalia kuanzia juu mpaka chini, akaanza kutembea kuzunguka zunguka.

“Ungejua nilivyohangaika kutafuta kwaajili ya hii familia ungenyamaza tu!” Aliniambia kwa hasira, nilimuona kabisa kabadilika. Lakini kwakua sikutaka kushindwa nilizidi kumsongasonga, nilimsonga songa huku nikimsukuma Sukuma.
“Unahangaika nini, yaani kuzungusha makend* bila kurudi na chochote ndiyo unajifanya kuhangaika!” nilimuambia huku nikishika sehemu zake za siri na kuzibinya kwa nguvu.

“Angalau yapo, ungekua unafanya huo umalaya na mimi hata ningekuelewa, lakini unaenda kutembea na wake za watu mimi unaniacha hapa! hivi nitajuaje kama wewe ni mwanaume kama kila siku hunigusi!” niliongea huku nikiendelea kumbinya, niliona kapata maumivu, alinisukuma nikapepesuka nusu kudondoka.

ndiyo kitu nilichokua nakitaka.
“Nadhani hujajifunza, nakuambia nadhani hujajifunza, hivi hukumbuki nilikuweka ndani siku ngapi, sasa unataka kunipiga? Nipige sasa kama wewe ni mwanaume, nakuambia nipige kama sijakufunga!” Nilinyanyuka na kumfuata huku nikimsukuma sukuma, nilimsukuma sana lakini hakufanya chochote, nilichukua simu yangu na kutaka kupiga polisi.

“Sasa hivi unalala ndani mbwa wewe, si unanipiga!” Nilimuambia, lakini kabla ya kupiga simu alianza kucheka, alicheka sana kwa dharau, kisha akanifuata, alinishika mkono wangu wa kulia ambao ndiyo ulikua umeshika simu.

Aliubinya kwa nguvu, mume wangu alikua na nguvu sana, aliubinya mkono wangu mpaka nikajikojolea, nilipiga kelele lakini hakuna mtu aliyeingia na mume wangu hakujali.
“Siku nikikupiga basi jua kuwa hutakua hata na nguvu wa kupiga simu polisi, hata hao polisi wakija hawatahangaika kunitafuta kwani utashindwa kusema nani kakupiga. Nimechoka manyanyaso yako, nimechoka!” aliongea huku akinisukuma kwa nguvu, nilipepesuka na kwenda kujigonga kwenye kiti cha mbao kilichokua pembeni yangu nilijigonga kiunoni kisha nikadondoka chini “PUUU!” kama furushi la nguo!

Mume wangu hakuhangaika na mimi, alitoka na kuondoka bila kusema chochote. Maumivu niliyokua nayo mkononi nilishindwa hata kuchukua simu kumpigia mtu yooyote. Kwa namna mume wangu alivyofanya nilijikuta naogopa hata kumuambia Mama yangu, niliona kabadilika. Nilijinyanyua mwenyewe na kupanda kitandani, niliugulia maumivu kiasi kwamba hata simu zikipigwa nilikua sizipokei.

“Atakua ameshapata mwanamke mwingine, huyu mjinga si wa kunionesha dharau namna hii! Hapana, kashapata mwanamke mwingine ambaye anampa kiburi!” Sijui kwanini lakini nilianza kuumia, nilianza kujisikia vibaya, niliona kama vile naachwa, mpaka saa nne usiku mume wangu alikua hajarudi nyumbani wala kupiga simu kusema yuko wapi. muda wote nilikua chumbani, hata kutoka kuwapikia watoto nilishindwa.

Nilikuja kutoka kwenye saa tano za usiku, nilikuta watoto wamelala kwenye kochi, kulikua na kiporo cha wali jikoni mtoto wangu mkubwa kakipasha na kuwapa wadogo zake. ile mimi kutoka walishtuka kutoka usingizini, walihisi ni baba yao, waliponiona ni mimi walinyamaza kama vile wamemwagiwa maji ya baridi, nilijaribu sana kuwachangamkia lakini haikusaidia, hawakutaka kabisa kusikia chochote kuhusu mimi.

Nilijiongelesha ongelesha lakini hawakujali, waliondoka na kuingia chumbani kwao mimi nikabaki sebuleni nikimsubiri mume wangu. Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ya ndoa mimi na si mume wangu ndiyo nilikua nasubiria mume wangu kurudi. Nilitamani kulala lakini hakukua na usingizi, nilikua na waiswasi sana nikiamini labda kuna mwanamke kampata ndiyo maana kabadilika.

Kwenye saa nane usiku hivi mume wangu alirudi, alinikuta sebulani nimekaa namsubiria, hakunisemesha chochote, alinipita akaingia chumbani akaoga na kupanda kitandani, mimi nilimfuata kitandani kutaka kuongea naye lakini hata hakutaka, aliniambia hahitaji kuongea na mimi, nilijisikia vibaya kwani niliona kama vile ananipuuza, kama ananiona mjinga, nilijsemesha sana lakini hata hakujali.

Asubuhi kama kawaida yake mume wangu aliwahi kaumka, aliwaandalia watoto kila kitu na kuniandalia na mimi.
“Naomba unipeleke kazini.” Nilimuambia baada ya kumuona yuko kimya, aliniangalia kutoka chini mpaka juu kisha akanijibu.
“Nenda mwenyewe!” Hakuongea neno jingine hata nilipojiongelesha sana, dereva alishakuja, nilipanda gari na kwenda kazini ila kichwani nilikua sijiwezi kabisa, nilikua na mawazo mengi sana, mchana ulikua mrefu hata kufanya kazi nilishindwa kwani nilihisi labda kuna kitu mume wangu kapanga kunifanyia.

Kwenye saa saba hivi nilikua nimechoka, nilitoka na kurudi zangu nyumbani, nikaahirisha miadi zote nilizokua nazo siku hiyo ili kurudi nyumbani. Nilimkuta mume wangu yuko nyumbani anafanya kazi za nyumbani, alishamaliza usafi alikua anakatia katia fensi kwa nje, nilimsalimia aliniitikia vizuri. Niliingia ndani nikiamini labda atanifuata na kutaka kuongea na mimi ila haikua hivyo.

Baada ya kama nusu saa hivi uzalendo ulinishinda, basi nilitoka nje na kumfuata alipo, nikakaa kimya kwa kama dakika kumi nikiamini ataanza kunisemesha ila hakufanya hivyo, uzalendo ulinishinda nikaamua kuongea mimi.
“Hivi unajua jana uliniumiza sana, mpaka sasa hivi mkono wangu unauma!” Nilimuambia, aliacha kukata majani na kunisogelea.
“Umeshawahi kuumia kweli!” Aliushika mkono wangu na kuuangalia, aliniangalia kwa hasira mpaka nikajua labda anataka kuniua.
“Unataka kufanya nini, mimi sitaki kupigwa tena!” nilianza kujitetea hata kabla ya kufanya chochote.

“Hivi kwanini uko hivi, mwanamke niliyemuoa yuko wapi?” Aliniuliza, nilikua sina jibu kabisa, nilibaki kimya huku nikitetemeka kwa uoga. Aliniangalia kwa muda, macho yanabadilika rangi kila dakika na kuwa meusi, kusema kweli niliogopa, nikiwa sina hili wala lile mume wangu alinivamia, akaninyanyua juu juu mpaka chumbani, huku alinitupa kitandani.

Alinivamia na kunipa shughuli ambayo sikuwahi kuipata katika maisha yangu yote ya ndoa na kuchepuka kwangu, siku hiyo mume wangu alikua kama mbogo, yaani ni balaa kitandani, nilifurahi nusu kuchanganyikiwa. Baada ya kumaliza mimi niliishia kumsifia tu na kumshukuru lakini yeye aliniambia.

“Nataka tu tuachane, nahisi mimi si mtu sahihi kwako! Wewe utabaki na hii nyumba, sitaki kuchukua kitu chochote, kwasasa sina kazi hivyo utabaki na watoto, utatafuta mfanyakazi ila nataka tuishi mbali kwani siwezi kuendelea kuishi tena na wewe!” Aliniambia huku machozi yakimlenga lenga.

Kila siku mimi ndiyo nilikua mtu wa kumuambia tuachane, lakini yeye kutamka neno kuachana nilihisi kama mtu kanichoma kisu katikati ya moyo wangu.
“Anaongea nini huyu?” nilikua simtaki mume wangu, kila siku namuongelea mabaya ila sikuwahi kuhisi kama ipo siku anaweza kuniambia tuachane,. Niliumia sana, nilitamani kumuomba msamaha kwa yote niliyomfanyia, kwa kamuda kidogo nilijikuta nammiss mume wangu.

“Sasa kama anataka kuachana kwanini kufanya mapenzi na mimi, au ndiyo alitaka kuniaga!” niliwaza huku nikimuangalia kwa butwaa, sikusema kitu chochote, nilishindwa kuongea kwa muda. Yeye alikua anaongea akijilaumu kwa kushindwa kunihudumia akilaumu kwa kunitesa, kunipotezea muda, mwisho akaishia kuomba tuachane.

“Kama umemua hivyo poa. Ila hii nyumba ni yako, umejenga kwa pesa yako, siwezi kuishi hapa bila wewe, kama tunaachana basi wewe baki na nyumba, ukiamua kuiuza ni wewe, ukiamua chochote kile ni wewe!” Nilimuambia huku nikilia kindani ndani, nilikua natamaani abaki lakini kuna kitu kiliniambia, wewe una pesa kwanini kunyenyekea masikini.

“Nyumba ni ya watoto, hakuna namna naweza kuishi hapa bila wanangu, naomba ubaki tu, hata kama utajenga yako lakini kila kitu ni cha watoto!” Aliniambia na kunisihi sana kuwa nibaki pale kwani itakua ngumu sana kwake, nilimuambia sawa, nikanyanyuka haraka haraka na kumuambia nilikuja kuchukau tu kitu nyumbani narudi kazini.

Hakunibishia, aliniacha nikaondoka, niliondoka kama naenda kazini lakini sikufika, safari ikaishia kwa Mama, nililazimika kumuambia kila kitu kwani nilikua kama nimechanganyikiwa.
Unaweza kuwa ni mtego, anajaribu kukuambia hivyo ili uamini kabadilika, hapana, huyo mtu wa wakuamini!” hata Mama ambaye ndiyo kila siku alikua ananiambia kuhusu kuachana na mume wangu ni kama alishtuka kidogo, alihisi kuna kitu hakiko sawa hivyo akawa na wasiwasi.

“Hataki nyumba, hataki chochote, au anataka kukuharibia kazini, maana wewe ni mtu mkubwa sasa, ukishaanza na haya mambo ya talaka unajua itakuharibia, utapewaje madaraka kama huna mume, hembu fikiria unaweza kuwa ni mtego huu!” mama aliniambia kitu ambacho kilizidi kunichanganya kabisa, ingawa mume wangu alikua hanisaidii chochote ila kuonekana kama nina mume ilikua inanipa heshima flani, mimi ni mzuri sasa kuonekana sina mume ni kama kuonekana malaya, na katika hizi kazi ni ngumu mwanamke kuaminika kama huna mume.

Niliondoka kwa Mama nikiwa sijapata kitu chochote, pamoja na yote aliniambia kuwa nikubali kuachana naye, ila si kwa talaka labda kutengana mpaka nitakapomsoma ana nia gani?

****
Nilikua namtegea mume wangu kuona kama atafanya nini, wiki moja baada ya kuniambia kuwa anataka kuondoka na kuniacha alikua bado hajaondoka wala kufanya chochote. Nikajua kama haendi popote hivyo nikarudia tabia zangu za zamani, nikaanza kama na beep kuona kama yupo siriasi au la. Siku moja nilirudi saa nane usiku, sio kama nilikua na chamaana cha kufanya huko bali nilitoka tu makusudi na rafiki zangu ili kumkera mume wangu.

Alinifungulia na kama kawaida yake hakusema kitu chochote, mpaka napanda kitandai na kulala hakusema kitu, lakini asubuhi wakati naenda kazini aliniambia kuwa kuna binti wa kazi atakuja, atamfundisha kazi halafu yeye ataondoka.
“Sawa hakuna shida!” nilimuambia huku nikitetemeka kwa uoga, nilijisikia kama nimekatwa na panga katikati ya moyo, mume wangu anaondoka wakati bado namuhitaji. Kazini sikua na amani, hivyo nilimpigia Kelvin, rafiki yangu na bwana wangu ambaye nilikua namuambia kila kitu.

Tulitoka tukaenda kuchukua chumba sehemu ili kukutana kimwili, nilitaka tu anitulize labda nitasahau kuhusu mume wangu. Lakini katika kufanya mapenzi hata sikusikia chochote, nilikua siko kabisa.
“Mume wangu anaondoka!” nilimuambia, aliniangalia kwa mshangao kisha akaanza kucheka.
“Mbona unacheka, mimi nakuambia mambo ya maana halafu wewe unacheka!” Nilimuuliza kwa hasira, kweli nilikua nimemaindi kwa namna alivyocheka.
“Wewe ndiyo wa kumlilia yule mjinga mjinga, wewe kabisaaa!?” nilimuelewa mshangao wake lakini nilimuelezea namna ninavyojisikia.
“Sio kama nampenda lakini nilitaka awepo tu, unajua mwanamke ukiwa na kandoa kuna kaheshima flani, hata sitaki aniguse lakini awepo tu na watoto wanampenda, sijui nitaishije nao bila yeye.” Nilimuambia huku nimejilaza kifuani kwake, nilijaribu kumchezea kifua ili kuamsha hisia, alikua anauchezea mwili wangu lakini hakukua na hisia.

“Kwahiyo hutakii aondoke? Si ulishaniambia mara nyingi sana kuwa unataka kumuacha, sasa nini kimebadilika?” Aliniuliza, hata sikua na jibu, niliishia kumuangalia tu sijui cha kusema.
“Kwahiyo na watoto itakuaje?” aliniuliza, nilimuambia huo ndiyo ulikua wasiwasi wangu mkubwa.

“Kaniambia ataleta binti wa kazi ila simuamini mtu na wanangu, nitakua na wakati mgumu sana, halafu mimi nasafiri kikazi mara nyingi unafikiri nitapata usingizi wanangu wakiwa na binti, hata hiyo kazi sidhani kama nitafanya!”

Alikaa kimya kwa muda mrefu huku akiwaza, niliona kabisa kichwa chake hakiko pale, nikalazimika kumgusa ili aongee kitu.
“Hivi kama asipopata mfanyakazi, unafikiri anaweza kuondoka na kuwaacha watoto?” Aliniuliza.
“Tayari ameshapata, anakuja leo na hicho ndiyo kinanichanganya.”
“Najua ushasema lakini kama binti akija leo, kwa mfano, halafu kesho kuna mtu akamchukua, akampa msahara mkubwa kuliko anaopewa na mume wangu, akaondoka unafikiri atakaa kulea watoto au ataondoka nao?”

Nilijikuta nacheka tena sana, ni wazo ambalo hata sikulifikiria, kwa nilivyokua namfahamu mume wangu nilijua kuwa hawezi kuwaacha watoto kama akijua hawana uangalizi mzuri. Nilimrukia Kelvin na kumkumbatia kwa nguvu, nilimuonyesha mahaba yote na yale ambayo yalijificha, nikamkumbatia na kumkumbatia zaidi na kisha nikamtunuku mpaka akachanganyikiwa.

Nilikua na amani kwani nilijua kuwa mume wangu hawezi kuondoka kama hatapata mfanyakazi. Nilirudi nyumbani jioni nikiwa na amani sana, nilikuta kweli mume wangu kapata binti tena mkubwa tu anajielewa, alitambulishwa kwangu na nilimpokea vizuri tu, tena sana, nikamchangamkia kama vile nimefurahia, mume wangu aliniambia atakaa naye kwa wiki mmoja kuona kama anafaa kabla ya kuondoka.

“Huna haja ya kukaa wiki nzima, mimi naona uondoke hata kesho, huyu binti anaonekana kujielewa sana isitoshe hata mimi nishakuchoka, ulichonifanyia juzi nahisi unaweza kuniua. Hata kulala chumba kimoja na wewe sitaki, nataka uondoke hata sasa hivi, sitaki tena kubeba mzigo!” nilikua najiamini tena sana, nilijua hawezi kuondoka siku ile ila nilitaka kumuoneysha kuwa simuhitaji yeye ni takataka tu.

“Au ulidhani kama ukinitishia kuondoka ndiyo nitakuheshimu, wewe ni takataka tu, kaa mbali na wanangu, sitaki hata waisikie pumzi yako kwani unaweza kuwaambukiza maujinga ujinga yako!” Nilimuambia tena kwa sauti, binti wakazi alisikia na kunyamaza kimya, mume wangu hakujibu chochote.

“Tena kumbuka, siku nyingine ukijaribu kunigusa nitahakikisha kuwa hutakuja kutoka ndani tena, nitakusingizia hata kesi ya mauaji ila hutakuja kunifanyia ujinga tena kama ule, yaani nikulee unipiige halafu utishie kuondoka, ondoka mjinga wewe!” nilimtukana sana mume wangu tena mbele ya binti wa kazi. Baada ya hapo nilitoka zangu nnje na kuondoka, niliondoka makusudi kwani nilijua tu kuwa hawezi kumuacha binti wa kazi na watoto kama mimi sipo.

Shadia alitaka kunywea lakini kapata nguvu tena. Mume wake kaleta binti wa kazi lakini yeye anataka kumuondoa, je atafanikiwa, vipi kuhusu mume wake ataondoka au ndiyo atarudi kuteseka. basi nisikuchoshe endelea kufuatilia.



(ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO. Mume wa Shadia anaonesha jeuri kidogo, anamtishia mke wake na kutaka kuondoka. Anatafuta mpaka binti wa kazi akamuambia kuwa waachane, lakini Shadia anakutana na Kelvin ambaye anampa wazo la kumuondoa binti wa kazi ili mume wake asiondoke. sasa unafikiri atafanikiwa basi endelea….)

Siku nilipompiga mume wangu mpaka kuumia nilichanganyikiwa kabisa, alikua kalala chini nikimuangalia ni kama hapumui. Nilitoka nyumbani haraka haraka bila kuwaza chochote, ilikua ni lazim,a kujilinda, nilijua kama kafa, kutokana na wanangu kunichukia wangeongea kila kitu. Ilikua ni lazima kufanya kitu cha kuweza kuniokoa.

Nilikua najuana na watu wengi ila nilikua siamini mtu yoyote, niliondoka na kwenda Bar, nikakaa mwenyewe mwenyewe, nikiwa katika lindi la mawazo kuna Kaka alikuja na kukaa karibu yangu. kwa kumuangalia alionekana kama kijana mdogo wa miaka kama 22 mpaka 25. Alikuja na kunisalimia kama vile ni mtu tunafahamiana.

Sikua na mpango wa kumjibu ila kwa namna alivyoomngea na jinsi nilivyokua nikiwaza nilikua sina namna, nilimuitikia kwa kunyanyua kichwa kidogo kisha nikarudisha kichwa kwenye simu nikijifanya kama vile nasoma kitu lakini haikua hivyo.
“Hiyo mbinu huwa haiwasaidii, baada ya muda tu utajikuta unaboreka, huna kitu unachokifanya kwenye simu, unawaza si bora ningeongea na huyo Kaka mzuri tu labda angeniomba hata namba ya simu na kunitongoza.”

Aliongea kwa kujiamini, nilimuangalia kama katoto flani nikasema “hivi haka si kanatakiwa kawe kamekaa nyumbani kwao kananyonya!” nilishia kucheka kutabasamu nikama namdhihaki flani ila yeye hakuona dhihaka yangu, alizidi kunitania mwisho nikajikuta naingia laini, nikaanza kumsikiliza tukaanza kuongea.

Alikua anakunywa sana, jmimi nilikua nakunyw aila yeye alikua anakunywa zaidi ya ngu.
“Nimemkimbia mume wangu, alikua ananpigia ka bahati mabya nikamsukuma nikakimbia, sijui huko nyumbani itakuaje!” nilijikuta nafunguka, ingawa nilikua nimelewa sana lakini nilijua kuwa kama nisipomgeukza mume wangu kibao basi nitaishia kufungwa.

Aliniangalia kuanzia chini mpaka juu, akanisogelea, akaniinamia na kuanza kushika uso wangu, aliniangalia kifuani, bila kujali kama kuna watu au nini, alipitisha mikono yake mgongoni kwangu ndani kabisa ya top yangu mpaka akgusa sidiria,a kawa kama anapapasa papasa. Alifanya hivuyyo kwa kama dakika moja hivi hukua kishusha mikono yake mpaka kiunoni, kusema kweli mimi ni kama alikua ananipapasa, nikahisi kama anataka kufanya mapenzi na mimi.

Ingawa nilisikia raha na pombe zilsihaanza kuchanganya kushika chini lakini ile ilikua ni sehemu ya watu nayeye alionekana kama mtoto mdogo kwangu.
“Acha usivunjie heshima!” nilimuambia, lakini yeye hakujali, nilikua nimevaa sketi glani hivi ya kubana, alishusha mikono yake na kuingiza katikati ya mapaja yangu, mimi nilijua anaingiza kunako lakini alishuka mapaja yangu kama vile anayakagua, nilipata msisimko wa ajabu nusu kupiga kelele.

“Mume wako hajawahi kukupiga!” aliongea baada ya kumalzia, wakati huo mimi nilikua hoi bin taabani, natamani hata kutafuta chumba ili niende akanitulieze kidogo lakini mwenzangu yeye hata hakua hivuo.
“Unamaanisha nini, ni kawaid ayake kunipiuga, hata polisi nilishawahi kwenda, yaani nilishamlaza ndani, sasa hivi nimemsukuma ili kujilinda, sijui kama kafa au bado yuko hai!?” niliongea huku nililazimisha machozi ambayo yalikua hayatoki kabisa.

Aliniangalia usoni kwa kama dakika mbili hivi vila kupepesa macho, niliona aibu kila dakika naangalia chini, mwisho nilicheka.
“Nilikuambia mume wako hajaahi kukupiga, nikiona mwanamek aliyepigwa namjua tu. Amngalia kwa namna unavyoonekana una kazi nzuri, hivyo mume wako kama ni kukupiga asingekua anakupiga usoni, antgekupuga mgongoni na kwenye mapaja, au kifuani kungakua na alama za siku nyingi lakini hakuna kiutu, hii ikimaanisha kuwa mume wako si mpigaji!”

Aliniambia, kwa kumuangalia ni kama alikua anajua kila kitu, yaani nilijihisi kama nikizidi kudanganya atanigundua, lakini kama kawaida yangu kuongea ukweli huwa ni ngumu sana. hivyo ilinilazimu kuongezea kilemba cha uomngo tena.
“Lakini sijasema kila siku ananipiga, ni leo tu kanipiga na siku nyingine ni zamani kidogo alinipiga mp-aka kunipeleka hospitalini.

“Angekupiga leo ingeonekana usoni, na kama alivyosema umemsukuma wakati unajiokoa kwake mikono yake lazima ingekua na nguvu kwakua mwanaume mdogo mdogo kama mimi ahwezi kukumudu wewe labda awe mwanajeshi au kapitia mafundo, nikiangalia mikono yako haijaguswa, hivyo kama umemuua mume wako sema nikusaidie lakini si kudanganya!”

Alikua anajua kila kitu hivyo sikua na haja ya kumdanganya, nililazimika kumuambia kila kitu kuhusu mume wangu kuwa amepata kazi na naogopa taniacha, nikamuambia nilichomfanyia mume wangu mpaka kufukuzwa kazi pamoja na kumpiga.

Alicheka kidogo kisha akaniambia. “Kwa muda ulioondoka wanao unavyosema washaita majirani, sasa kabla ya kufanya chochote ni lazima kupima upepo ili kujua kama mume wako kafa au la.

Tutaondoka na gari yangu mpaka karibu na nyumba yako, tutaangalia hali ya nnje, kama kuna kitu absi kutakua na watu au kuna namna geti linaweza kuwa wazi, hapo utajua kuwa umeharibu, lakini kama hakutakua na kitu absi nitashuka kusoma hali ya hewa.”

Alikua kalewa sana ila alikua anaongea Point, ingawa nilikua sijui hata jina lake lakini nilishaanza kumpenda, alionekana anajua kila kitu na kusema ukweli kwa wakati huo nilikua nahitaji mtu kama yeye ili kunisaidia. Kweli nilinyanyuka tukaingia kwenye gari yake, tukaenda mpaka nyumbani kwangu. Hakukua na mtu nnje na wala hakukua na hekaheka zozote, aliniambia hakuna kitu anaweza kuingia ndani lakini mimi niliogopa sana, nilikua na wasiwasi kuhusiana na mume wangu.

Alipoona sitoki akashuka tena kwenye gari, sikujua alikua anafanya nini ila ghafla alikua getini kwangu akigonga mlango. Nilitamani kumzuia lakini niliogopa hata kushuka, ila dakika mbili nilimuona mume wangu akitoka kufungua mlango, alikua vizuri ingawa alionekana kama vile kashika kichwa huku kashikilia taulo kichwani, waliongea maneno mawili matatu nikaona anarudi.

“Twende, yuko sawa ila anaonekana ana hasira, mume wako ni bwege lakini ukimfuata wakati huu basi anawez akukuua, kashakuchoka!” aliniambia,s ijui hata waliongea nini ila baada ya kumuona mume wangu yuko hai nilipata kanafuu kidogo. Nilikubali nikaondoka naye, nilishaanza kumuamini ingawa nilikua simjui wala sijui anafanya kazi gani. Niliondoka naye mpaka kwake, ni nyumba alikua kajenga ila nikama chumba na sebule tu, kazungushai ukuta ambao unaonekana kama ukuta wa zamani ila ndani hakukua na hata cha maana.

Niliingia kwakua nilitaka kumjua ila tuliishia kufanya mapenzi mpaka subuhi ndipo aliponiaga kuwa anaondoka.
“Mimi ni dalali, ukitaka kitu chochote mjini nicheki, ukitaka kusafirisha mzigo, unataka kununua nyumba, mafgari au chochote nishtue. Najua kila kit, hata hii gati inauzwa hivyo unakaribishwa kwa chochote!” Aliniambia wakati tunaagana.

“Najua hunujui ila nilishakuja kwenu kipindi flani, mlikua na mnda wa vitu vyenu vya ofisini ila pia nahusika sana na nyie kwenye kuuza nyumba za wateja wenu!” Aliniambia, niliona aibu kwani nilijua kuwa ni mtu ananifahamu, nilijisikia vibaya kujiurahisisha kwake.
“Mbona jana hukuniambi?:” Nilimuuliza kwa hasira.
“Unamaanisha kwamba ungejua ninakujua ungenikataa? Hapana, usijilaumu, hata mimi sikua na mpango na wewe jana, wakati naanza kukutongoza sikua nakukumbuka ila nilipokaa kidogo ndiyo nikakumbuka nilikuona wapi, usijali mimi ilikua ni lazima kuikutongoza na wala kuhusu kunikataa usingeweza. Mimi mtamu na najua kuongea hivyo sio makosa yako hata siku ukitaka kurudi basi rudi.

Alikua anaongea kwa dharau, nilikasirika na kuondoka zangu nikiamini kuwa siwezi kukutana naye tena. Nilirudi nyumbani asubuhi, nilijifanya nimenuna, yaani pamoja na kumfanyia yote mume wangu lakini nilijifanya nimenuna nikisingizia kusalitiwa. Mpaka jioni mume wangu alikua haongei chochote, naye alikua na hasira, nilitamani aongee kwani kwa kipigo nilichompa nilijua kuwa anaweza kuniua kama akibaki na hasira za ndnai kwa ndani.

Mpaka jioni ilikua kimya, wakati wa chakula cha usiku ambacho alipika mume wangu pamoja na kuonekana kama ana alama nyingi usoni, kichwani damu kama imevimbia ila alipika na mimi nilikaa kula. Mtoto wangu dmogo alidondosha kijiko wakati anaklula, hapohapo nilipata nafasi ya kutukana.

“Huna akili mjinga kama Baba yako, na utakua Malaya kama Baba yako, ahivi kawaambia kuwa kafukuzwa kazi kwasababu ya umalaya?”

Nilionge aili kumuudhi mume wangu, aliondoka kwa hasira na kwenda chumbani ni kama hakutaka kunijibu mbele za watoto. Huko nilimfuata na kuendelea kumtukana ndipo alikasirika mpaka kunishika mkono na kutishia kuondoka hukua kitafuyta mfanyakazi akiamini hawezi kuishi tena na mimi.

*****

Hata namba yake ya simu sikuchukua. Lakini sasa baada ya mume wangu kwenda kuleta mfanyakazi na Kelvin kunishauri nimuondoe nilikua sina sehemu ya kumueweka, nilikua nahitaji mtu wa kumuondoa pale nyumbani na kumbambikizia mume wangu kesi.

Iko hivi, wakati naongea na Kelvin nilimuambia kuwa ninachotaka mimi ni kumpa binti wa kazi pesa ili aondoke. Alinaimbia kama binti wa kazi akiondoka basi mume wangubatatafuta mwingine, nitamlipa tena ataondoka ataleta mwingine na hiyo ndiyo itakua ni kazi yangu. ili kumkomesha mume wangu asitafute tena mfanyakazi basi tumpige tukio.

Nilazima ionekane kama huyo mfanyakazi au kadhuriwa ili kama siku nyingine akitaka kuleta mafanya kazi basi afikirie mara mbili na mimi nikatae kuhusu mfanyakazi. Nilipewa wazo lakini sikujua nitafanyaje, hapo ndipo nilikumbuka kuhusu Kaka aliyenisaidia siku ile nilipompiga mume wangu.

Ingawa sikuwa na mawaisliano naye ila nilikua bado nakumbuka kwake. Nilienda na kwa bahati nzuti nilimkuta, nilimuambia kuhusu mpango wangu. Akaniambia hakuna shida, usiku wakati kila mmoja akiwa kala, nilirudi na yule kijana, niliingia chumbani kwa binti alikua kalala, alichukua sijui dawa gani na kumpulizia, basi tukamchukua mzobemzomeb mpaka kwenye gari.

Hapo nnje kwetu kulikua na kama mtaro flani, tukamchania nguo zake ili kuoneakana kama vile kabakwa, akampiga ngumi mbilki tatu ili kuleta mchubuko. Baada ya hapo mimi niliingia ndani yule kijana akapiga simu polisi kuwa kuna mtu kamkuta kalala mtarodni kisha yeye akaondoka. Kama nusu saa hivi tulisikia gari la Polisi, mimi nilikua nasikilizia, walikuja na kumchukua yule binti huku askari wengine wakitugongea kuulizia kama hatuujasikia chochote.

Nilijifanya nimelala nimechoka, usiku sikurudi chumbani kwa mume wangu, nilijifanya bado nina hasira naye na sitaki kulala kitanda kimoja kumbe nilikua nasubiria kujua hatima ya yule binti. Hakunaaliyekua anajua kitu chochote na Polisi walituacha, mume wangu aliingia chumbani kulala na mimi nikaingia chumbani kwangu.

Asubuhi niliamka na kwenda zangu kazini, lakini kama mchana hivi nilipigiwa simu, mume wangu alikua kakamatwa na Polisi. Binti alikua amezinduka, na kuuliziwa ni kitu gani kilikua kimetokwa akasema kuwa yeye alikua kalala ndani na hajui kafikafikaje nnje. Alimtaja mume wangu kuwa ndiyo alimleta ili kufanya kazi za ndani ila hajui nini kimetokea.

Nilipumua kwa nguvu kumshukuru Mungu kuwa mume wangu angalau hawezi kuondoka, nilijua ni kesi ndogo mpaka pale nilipofika Polisi na kuambiwa kuwa binti alikua ikaingiliwa hivyo mume wangu alikamatwa kwa kosa la ubakaji kwani yeye ndiyo alikua kamleta yule binti na ndiyo mtu wa mwisho kuonana naye.

Kwakua nilikua najuana na wakubwa wengi nilianza kuwapigia lakini hakuna aliyekua tayari kunisaidia.

“Kesi ya ubakaji si ndogo!” Kila mmoja aliniambia na kutaka kukaa mbali kabisa na hiyo ishu. Ilikua ngumu kiasi kwamba hata mimi kumuona mume wangu ilikua ngumu. Hapo ndipo kichwa kilianza kufanya kazi, nilijua kuwa kama ishu ikiwafikia waandishi wa habari basi si mume wangu tu, hata mimi nitaharibikiwa, kwani ninajulikana, itakua ngumu kupanda cheo kama mume wangu akifungwa kwa ubakaji.

Nilihisi kuna kitu, wakati tunamuweka kwenyemtaro hakuwa ameguswa na mtu yoyote sasa kwanini ionekane kuwa kabakwa. Niliamua kumpigia simu yule Kaka, cha kwanza aliniliza “Vipi ahsakamatwa….” Nikamuambia ndiyo ila binti anaonekana kama kapigwa na kubakwa, sasa kesi ya kubaka ni ngumu.
“Wewe jana ulimfanya nini?” nilimuuliza, alicheka sana kisha akaniambia.
“Dada, ulitaka kumkomoa mume wako, mimi nikaamua ummalize kabisa, hiyo kesi ya kubaka hawezi kutoka, na kama asipotoka basi mimi na wewe tutakua tunakula maisha!”

Alimaliza kisha akakata simu, sikumuelewa kabisa, nilijaribu kumpigia tena lakini namba yake ilikua haipatikani. Nilijihisi kuchanganyikiwa kwani nilijua kama ishu ikiwafikia waandishi wa habari stori haitakua kuhusu mume wangu bali kuhusu mume wa meneja wa benki flania akamatwa kwa ubakaji! Kila mtu atanikimbia na ninavyojua mambo yaloivyo huku juu nitaondolewa kwa makosa ya mume wangu!

NB: Mabinti wengi wapo kwenye mahusiano ambayo hawakupaswa kuwapo, yaani anajua kabisa kuwa huyu mtu si wangu lakini atalazimishia mpaka pale atakapo achwa.


(ILIPOISHIA SEHEMU YA SITA; Shadia anatafuta kijana, wanamchukua mfanyakazi ambaye aliletwa na mume wake na kumtoa nnje, lengo ni ili mume wake asiende kufanya kazi ambayo alikua amepata. Lakini mambo yanakua ndivyo sivyo, binti anabakwa, Polisi wanamkamata mume wake, anahangaika kumtoa ili kulinda sifa yake lakini hatokei inakua ngumu, unadhani nini kitatokea, basi ENDELEA….)

Nilimtafuta OCD ili kuongea naye, kesi ilishakua yakwangu, sikua na jali kitu chochote kuhusu mume wangu ila nilijua kama ikifika mahakamani nimeisha. Aliniambia yeye hana chakufanya kwani ni kesi ya ubakaji, binti alikua kafanyiwa kitu kibaya hivyo ni lazima mtu awajibishwe.

“Lakini mume wangu hahusiki kwa hcochote, jana usiku mzima nilikua naye, kweli alimleta binti wa kazi lakini hakulala naye!” Nilimuambia, lakini hakunisikiliza. Nilitamani kupanda ngazi za juu zaidi ila niliona haitasaidia, nilienda kwanza kumuangalia binti hospitalini, ikua nartuhusiwa kumuuona lakini ilibidi hela kutoka ili niruhusiwe. Ndiyo nilikua namuona kwa mara ya kwanza tangu usiku wa jana yake.

Hali yake haikua mbaya sana ila bado alikua hajitambui kuweza kuongea kitu cha maana, mbali na madawa ambayo tulimuwekea alionekana kweli kuingiliwa kimwili, nakupigwa sana usoni, aliburuzwa sana kwani niliona michubuko mingi kwenye mwili wake.
“Huyu mshenzi atanitambua, yaani kamfanyia hivi binti wa watu!” Niliwaza huku nikitoka hospitalini, nilimtafuta yule Kaka ili kujua kilichotokea ila alikua hapatikani.

Nikalazimika kutafuta mwana sheria ili kumsaidia mume wangu, kila kitu kilikua lazima kumalizika siku ileile, tuliruhusiwa kumuona mume wangu, alikua katika hali mbaya, kwanza alionekana kupigwa sana, alikua kachoka, si kimwili tu bali kiakili.

“Mke wangu mimi sijafanya chochote, niamini kuwa sijafanya kitu!” Alianza kwa kulalamika, nilimuangalia kwa hasira, ilikua ni lazima kujifanya nimekasirika ili asije kuhisi chochote.
“Hayo tutayaongea ukitoka, kwasasa napambania utoke tu! Nimekusudia sana naona umekua mzigo mkubwa kwenye maisha yangu kila siku majanga!” Nilimuambia kwa hasira.
“Hapana mke wangu, nataka uniamini, maisha yangu hayana maana yoyote kama hutaniamini, nina watoto, wewe ndiyo Mama yao, ukiniamini wewe wataniamini wao, sina haja tena ya kuishi, natamani kufa lakini sitaki wanangu wanijue kama mbakaji! Unajua kabisa mke wangu siwezi kufanya kitu kamahicho!”

Mume wangu aliongea huku akilia, alikua anatetemeka, mwili umevimba lakini hata hakujali kuhusu yeye, muda wote alikua anazungumzia kuhusu wanae, hakutaka kufa akiwa kama mbakaji.
“Basi huyu binti unafahamiana na ndugu zake?” Wakili aliuliza baada ya kuona sisi tunabishana, alituelekeza kwa rafiki yake ambaye ndiyo alimsaidia kumpata huyo binti wa kazi.

“Hii kesi hatuwezi kuimaliza mahakamani, itachukau muda sana, kinachotakiwa ni kuongea na ndugu zake ili kuja kumchukua mtoto wao, kama ndugu hawatataka kuhangaika na kesi basi itakua rahisi kwetu, tutamalizana na Polisi na kila kitu kitakua vizuri.” Aliongea, mume wangu ni kama alikua hasikii, akili yake ilikua kwangu.

Hakujali kitu chochote, hakuulizia hata kama atatoka au la.
“Mke wangu naomba unisamehe, najua nimekupitisha katika magumu mengi ila hili sijafanya, nisamehe sana….” Aliongea kama vile amechanganyikiwa, nilipatwa na uchungu kiasi cha kushindwa kumsikiliza. Machozi yalianza kunitoka, alinibembeleza sana hukua kijilaumu.

“Nitaondoka, nitatokomea, sitakua tena sehemu ya maisha yako, nakuuumiza sana kwa ujinga wangu, nisamehe!” Alidhani labda nalia kwakua amekua mzigo kwangu ila ukweli nilikua nalia kwakua nilikua najiona muuaji, msaliti na shetani. Siku zote mume wangu alikua ni mwema kwangu, alikua ndiyo kila kitu kwnagu ila yeye alipozama mimi nilimgeuka kama sina akili nzuri.

Nilitoka huku nikilia, sikuweza kuvumilia, ile kuombaomba msamaha huku nikijua kuwa hajafanya kitu chochote ilinipa maumibvu makali kuliko hata kupigwa.
“Hapahakuna kuremba, ni kutafuta ndugu zake, watasiadia sana, kama una pesa ndiyo wakati wa kuzitoa, Masikini hawana maamuzai, ukitoa pesa tu wanahcanganyikiwa!

Yule binti alikua akiishi kwa Shangazi, yake alitokea kijijini Musoma kwa ahadi ya kuja kusomeshwa ila miaka miwili hakukua na kitu. Tulimsaka rafiki yake na mume wangu ambaye alitupeleka mpaka kule, baada ya kukutana na Shangazi yake alileta shida kidogo, lakini alipomuita mjomba wake na kumuonyesha milioni 2 keshi hakukua na maneno mengi. Tuliongozana nao mpaka hospitalini, walijitambulisha kama ndugu zake, wakati huo, binti alikua ashajitambua, dawa zishaisha kichwani yamebaki maumivu ya mwili.

Walikaa naye kuongea naye kilugha sisi hatukusikia ila baada ya muda binti alikua na stori nzuri tu. Sijui waliipata wapi, kitu ambacho hata sisi hatukukiwaza, binti alidai kuwa hajaguswa na mtu yoyote kutoka nyumbani kwangu alidai kuwa yeye hakutaka kufanya kazi za ndani ila alilazimishwa na Mjomba wake.

Alitaka kuolewa hivyo alipokuja kwangu alivizia usiku sisi tukiwa tumelala, akafungua geti na kutoka, lengo lilikua ni yeye kuenda kuonana na mchumba wake ili kutoroka na kwenda kusihi pamoja, lakini wakati akimsubiri mchumba wake nnje ya nyumba yetu basi kuna Bodaboda wawili walikuja na kumvamia, wakamuwekea kitambaa mdomoni na hakujua kitu chochote kilichoendelea mpaka alipookotwa.

Ilikua ni stori nzuri sana kwa upande wetu kwani ni kweli alikua na mpenzi na simu yake ilipochukuliwa ilionyesha kuwa usiku ule walikua wakiongea naye kwenye simu. Alipotafutwa alisema ni kweli walipanga kuja kumchukua ila alishindwa kuipata nyumba kwani ilikua usiku. Mjomba wake alisaidia sana, siku ileile mume wangu alitoka na kurudi nyumbani, kesiiliishia hapo binti akachukuliwa na ndugu zake.

****
Baada ya kutoka Polisi kila kitu kilibadilika, mume wangu hakua ni yule mwanaume niliyemzoea, alizidisha ukimya akawa ni mtu wa mawazo sana, hata kucheza na watoto nayo ilikua kazi, ni akam alikua anawaogopa watoto muda mwingi akawa mtu wa kujifungia ndani, alikua na uwezo wa kusimama sehemu hata lisaa lizima bila kunyanyua mguu wala kujua kama anafanya nini?

“Una nini mbona umekua hivyo, inamaana humu ndani tutakua hatuongei?” siku moja nilimuuliza, ilikua ni jioni kwenye saa kumi na mbili hivi. Niliwahi kurudi nyumbani kwani nikiwa Baa mwanangu alinipigia simu kuwa baba anaumwa, kutokana na hali yake nilihisi kuna kitu, pamoja na yote lakini bado nilikua nampenda na nilijua kabisa kama kitu chochote kibaya kikimtokea basi wanangu wataumia sana.

Nnje yanyumba yetu kuna kama kakiti falni hivi kazege, mume wangua likua kasimama chini halafu mguu mmoja kakanyaga kwenye kale kakiti, tangu mwanangu anapiga simu mpaka naingia getini mume wangu alikua kasimama tu. Nilimsogelea kwa karibu nikajikuta nasikia harufu kali kutoka kwake.
“Kuna nini mume wangu mbona uko hivi?” Nilimuuliza huku nikimsukuma, hakushtuka alipepesuka kidogo na kusimama chini sasa.

Hapo ndipo niligundua kuwa ile harufu ilikua inatoka mwilini mwake, ni kama alikua hajaoga mwaka mzima.
“Mbona kuna harufu hivi, inamaaana mume wangu huogi!” Aliniangalia tu bila kusema chochote, nikama alikua hanisikii yuko kwenye ulimwengu mwingine kabisa.
“Una nini mume wangu?” Nilimuuliza lakini hakuongea kitu chochote, hakutaka hata kukaa chini, niliwaingiza watoto ndani kwa uoga na kuwaambia wasijali Baba yao atakua sawa. Nilikaa kama nusu saa hivi kisha nikatoka nnje, nilimkuta bado kasimama, nikamshika smkono na kumkalisha chini, kwa bahati nzuri alikaa kwenye kale kakiti.

“Niambie, kwani kuna tatizo gani mume wangu, bona umekua hivi?” Nilimuuliza, ghafala alichangamka na kuanza kucheka lakini haikua kucheka ya furaha, ilikua kamakachanganyikiwa flani.
“Unajua mke wangu wewe ni mzuri sana, siku nikipata pesa nitakupeleka saluni watengeneze nywele zako!” Aliongea, kusema kweli alikua haeleweki, maswali niliyokua namuuliza na majibu yake vilikua vitu viwili tofauti.

Ingawa siku nyingine tangu kutoka mahabusu alikua kabadilika ila siku ile ilikua mbaya zaidi, nilishindwa hata kutoka usiku kumuachia watoto, nikalazimkika kukaa nyumbani, kuingia jikoni na kufanya kila kitu ambacho mwanamke anapaswa kukifanya, nilishasahu na kupika kwani mara nyingi mume wangu ndiyo alikua anafanya.

“Mke wangu unajua walichinifanyia?” Saa nane usiku hivi mume wangu aliniamsha, nilikua nimechoka nina usingizi ila niliamka. Mume wangu alikua kakaa kitandani huku analia kama mtoto, nilimsogelea kutaka kumgusa lakini hakutaka, alishtuka kama mtua liyepigwa na shoti ya umeme.
“Usiniguse! Usinishike! Nasema usinishike!” Alipiga kelele na kunisukuma pembeni. Alikua kama vile anaota ingawa alikua macho makavu ananiangalia.

“Sijambaka yule mtoto, mimi sio mabkaaji, sijampabaka, kwanini mnanifanyia hivi, niacheni, niacheni, Askari kakosea mimi si mbakaji!” mume wangu alipiga kelele. Haikua mara ya kwanza kwa mume wangu kukaa mahabusu ila hii ilikua toafuti kabsia, kwanza alitoka ana maalama alama kibao kuonyesha kuwa alipigwa na pili alionekana kabisa akili yake haiku sawa.

Niliwasha taa harakaharaka, aliponiona ni mimi alinifuata na kunikuambatia kwa nguvu.
“Mke wangu niamini, sijambaka yule binti, niamini sijawahi kumbaka mtu! Niamini wewe, najua hawataniamini lakini niamini wewe! Huyu Askari amemuambia kila mtu kuwa mimi ni mbakaji, wataniua humu ndani, fanya mpango nitoke mke wangu, siwezi kukaa humu ndani wataniua! Nakuambia kuwa huyu askari ana mambo yake, sio mtu mzuri, kashasema kuna watu binti yake alibakwa, najaua nalipa kisasi, mimi sijawahi kufanya hivi, nisikilize!

Ni kama bado alikua anahisi yuko mahabusu, siku moja tu, tena aliingia kwenye saa tisa usiku na kutoka jioni yake ila wiki mbili baadaye mume wangu hakua sawa kabisa.
“Mume wangu mbona uko nyumbani, najua hujabaka na ushatoka!”Nilimuambia, alikua kama meshtuka, alinyanyuka na kuanza kuzunguka zunguka chumbani kama vile anakiangalia chumba kuhakikisha kama yuko nyumbani au namdanganya.

“Wanangu wako wapi? Nataka kuwaona wanangu, niambie wanangu wako wapi?” aliuliza hukua kitoka nnje, nilijua anaenda kuwaamsha watoto, nilijaribu kumzuia lakini haikusaidia, alinyanyuka na kutoka kwenda chumbani kwa watoto. Aliwasha taa lakini hakuwaamsha, alienda na kumnusa mtoto mmoja mmoja kisha akarudi.

“Kweli niko nyumbani, nashukuru sana mke wangu kwa kunitoa, nisamehe sana kwa niliyoyafanya!” Nusu saa nyingine ilikua ni kuombaomba msamaha, mpaka iliboa, lakini sikua na namna, hali yake ilikua inadhoofika hivyo nililazimika kumsikiliza, mwisho alipiitiwa na usingizi na mimi nikalala.

Asubuhi nilikua wa kwanza kuamka, mume wangu badoa alikua kalala, nilitamani kumuamsha lakini niliona itakua shida, kwa mara ya kwanza nilihangaika kuwaandaa watoto na kufanya kila kitu kabla ya kwenda kazini. Kusema kweli hapo ndipo nilimkubali mume wangu, kumbuka hata kipindi mume wangu ana kazi mara nyingi yeye ndiyo alikua wakwanza kuamka na kufanya shughuli za ndani, kwakua kazi yake ilikua ni ya serikali alikua ananiambia yeye hachoki sana hivyo mimi nipumzike.

Nilienda kazini na kumuacha mume wangu bado kalala, mchana nilimpigia simu kutaka kujua hali yake, alipokea tu vizuri ila mimi ndiyo nililikua na wasiwasi kwani siku hiyo nilikua nampigia simu kama binti wa kazi mgeni ambaye umemuacha na mtoto wako mchanga kwa mara ya kwanza, nilikua nateseka sana kwakweli.

****
“Mbona nasikia harufu mbaya namna hii!” nilimuuliza mume wangu, ilikua ishaptia mwezi miwili tangu mume wangu kutoka Mahabusu, bado alikua si yule niliyekua nimemzoea.
“Unamaanisha nini, inaana unasema mimi nanuka?” mume wangu aliniuliza, niliona kapaniki, akanyanyuka na kuanza kuzunguka zunguka chumbani.

“Kwahiyo nanuka! Mimi nanuka kweli! Nanuka!” alitembea anarudiarudia kuongea kuhusu kunuka mpaka nikaona kero, nilimshika kumtuliza huku nikimkumbatia kumuweka sawa. Alishakua kama mtoto, kitu kidogo anakirudiarudia zaidi ya mara kumi, nilimtuliza lakini wakati nimemkumbatia kwa nyuma nilisikia harufu kama ya vitu vimeoza. Nilishtuka ingawa sikusema.

“Unajua mume wangu ni muda mrefu hatujaoga pamoja, hivi unaonaje kama tukienda wote bafuni kuoga?” Nilimuuliza, alionyesha kukataa lakini nilisisitiza, ilikua ni muda mrefu umepita tangu mimi na mume wangu kufanya hivyo, mara nyingi nilikua namkwepa kwa dharau na kumtukana bila sababu.

Tuliingia bafuni ila kuvua nguo ilikua shida, ni kama kuna kitu alikua anaficha, nililazimisha mpaka akazivua, nguo yake ya ndani ilikua haishikiki, ilikua chafu sana kama haijabadilishwa muda mrefu na ilikua inatoka kama uvundo flani hivi wadamu.

Bafu letu limeunganika na choo cha kukalia, hivyo baada ya kumvua nguo mume wangu alikimbilia mpaka kwenye choo cha kukalia, akawa kama anakaa kama vile alikua hataki nimuone, alikua ananionea aibu kana kwamba ndiyo ilikua mara yangu ya kwanza kumuona uchi!

Unahdani ni kwanini mume wake amebadilika, ni kitu gani kilimkuta huko, nisikuchoshe. Lakini wakati tukiwa tunawaza ni kitu gani kimemtokea mume wa SHADIA mpaka kurukwa na akili niwakumbushe tu!



(ILIPOISHIA SHEEMU YA SABA; Mume wake anatoka mahabusu baada ya ndugu wa binti wa kazi kuchukua hela na kubadilisha stori. Lakini si yule wa zamani, anahisi mume wake ana matatizo, kuna harufu kubwa inatoka mwilini, basi anamuingiza bafuni ila mumewe anakaa kwenye sinki la choo hataki kunyanyuka, unafikiri nini kimetokea basi ENDELEA….)

Nilimfuata mume wangu alipokua amekaa na mimi kukaa chini, yeye akawa amekaa kwenye choo kile cha kukalia mimi nimekaa chini sakafuni, kichwa changu nilikiegemeza mapajani kwake, nilikaa mapajani kwake kwa dakika kama 20 hivi bila kuongea chochote, nilishahisi kitu kilichokua kimemtokea mume wangu lakini nilitaka kusikia kutoka kwake.

Akili yake ilikua kama imemruka flani, akawa anaongea vitu ambavyo havieleweki.
“Kwani kuna kitu walikufanyia mume wangu?” Nilimuuliza huku nikinyanyua kichwa changu, nikakiondoa mapajani kwake kisha nikamuinamia, mikono yangu ikashika miguu yake na kuwa kama naimassaji hivi, alisikia raha flani.

“Unajua mume wangu nakupenda, sijui nini kimenikuta ila nakupenda na naumia namna unavyokua, nahitaji kukusaidia lakini sijui ni kwa namna gani nitakusaidia.” Nilimuambia, niliona kabisa hayuko sawa, akili inamtoka na kurudi ila nilitaka kusikia kilichotokea. Wakati nambembeleza nilimsikia kabisa kalegea, akaanza kulia kisha akaanza kunihadithia kila kitu kilichotokea siku ile.

Nilipoingia tu pale walianza kuniita mimi mbakaji, nilijisikia vibaya kwani sikufanya kitu chochote, pale kulikua na mahabusu kama kumi na moja hivi, watatu waliingia siku ile ila wengine wote walionekana ni wa muda mfupi. Kuna mmoja ambaye alikua na mwili mkubwa alionekana kama ni mzoefu pale kwani alikua anaongea kwa kuamrisha na askari walikua wanamuita kwa jina lake la utani, Kizito.

Nilipoingia tu kizito alinishika kama vile ananisukumasukuma, kulikua na giza lakini nilijua ni yeye kwani alikua anaongea sana, wakati mwingine anapiga kelele mpaka askari wanamtukana na kumtishia kumpiga. Nilishawahi kukaa mahabusu hivyo nilijua kuna mawili, kwanza ni uwe mbabe au uwe mpole, niliamua kuwa pole kwani bado kichwa changu hakikua sawa.

Nilitafuta kakona flani na kutulia bila kuongea na mtu nikiamini kesho yake nitatoka kwani sikua nimefanya kitu chochote. Lakini nikiwa nimekaa kama nusu saa hivi askari mmoja alimuita Kizito, nilisikia kama wananong’onezana na kumpa kitu. Kisha baada ya kama dakika mbili hivi kizito alikuja nilipokua nimekaa.

“Unataka kunywa soda?” Aliniuliza, nilinyanyua uso wangu kumuangalia, hakukua na mwanga sehemu niliyokua nimekaa, hivyo sikuona kama ananipa nini, lakini kabla sijafanya kitu chochote nilisikia kitu cha baridi kikinisugua sikioni.
“Unataka soda mbona nakuuliza lakini hunisikii!” Aliongea, mimi sikusema kitu chochote, alikisugua tena kisha kunigongagonga kichwani, hapo nilihisi kama ni chupa ya soda, alikunywa ile soda kama nusu hivi kisha iliyobaki akanimwagia kichwani.
“Umemwaga soda yangu, jamani huyu kamwaga zawadi yangu!” aliongea huku akininyanyua na kunishika, alinivuta kutaka kunipiga, lakini kwa kumuangalia nilikua nammudu, alirusha ngumi kunipiga kichwani ila kihisia niliiona, niliikwepa akapepesuka, chupa ikadondoka chini lakini haikupasuka.

Basi kabla ya kusimama nilimuwahi na teke la tumboni, nikaanza kumpiga mpaka akapiga kelele, kuona hivyo askari aliyempa chupa alifungua mlango na kuanza kutugombeleshea.
“Unabaka halafu unapiga na wenzako, sasa ngoja kwa usalama wa wafungwa wenzako tukufunge pingu. Walinishika askari wawili na kunifunga pingu mikono kwa mbele, wakanikalisha sehemu yenye mwanga ili kuniona.

Kama dakika 20 hivi Kizito alinyanyuka, kwa kipigo nilichompa alikua kapata nafuu, alinifuata nilipokaa huku askari wakimuona, alinichukua mpaka nyuma kwenye giza, nilijitahidi kujitoa lakini nilikua nimefungwa pingu hivyo alinizidi nguvu na kunidondosha chini, hapo ndipo aliwaambia Mahabusu wengine kuanza kunipiga.

Mke wangu, kilichotokea hapo sitaki kukumbuka, walinivua nguo, wakachukua ile chupa na kuanza kuniingizia sehemu za haja kubwa, nilipiga kelele sana ila walinishika kwa chini, mahabusu wote walinikalia mwingine kichwani, mwingine miguuni huku wakinitukana kama mbakaji. Walifanya hivyo mpaka ile chupa ikapasukia kwa ndani, baada ya kukamilisha unyama wao walianza kupige kelele kuwa nawavamia, ndipo askari alikuja na kunitoa pale.

Damu zilikua zinanitoka nasikia maumivu sehemu za siri, alinipeleka chumba kingine, kule alinimwagia maji na kuniambia nijifute mwenyewe, aliondoka mpaka mchana mlipokuja kutaka kunitoa nilikua sijachanganywa na mahabusu wengine. Nilikua katika maumivu makali lakini sikuweza kuongea kitu chochote kwakua nilikua naona aibu, kila nikikuangalia wewe na wakili najiona kama mwanamke, sikuweza kuongea.”

Mume wangu aliongea huku akilia, alikua kakaa kwenye sinki la choo huku akilia, kwa namna flani akili zake ni kama zilikua zimerudi na kuwa sawa.

“Mlipokuja nilikua nimeshakauka, damu zilishaacha kutoka na kwakua hazikua nyingi basi ilikua ngumu kuona. Nilijua nitakua sawa, nisingeweza kwenda hospitalini na daktari kunichunguza sehemu zangu za haja kubwa, nilikua nakukwepa kukaa nawewe karibu kwani sikutaka ujue kitu.

Niliporudi nyumbani niliingia bafuni, nikaanza kujichokonioa ili kutoa vipande vya chupa vilivyokua vimebakia, vilikua vidogo ila vilikua vinaniumiza sana. nimejaribu kuwa sawa lakini kila nikifunga macho bado lile tukio linanirudia, siko sawa na siko salama, siwezi kuendelea kuishi hivi mke wangu, siwezi kukubali hii siri kujulikana hivyo naomba unisaidie kitu kimoja, nataka kuondoka hapa, nitakua chizi kama nikiwaangalia wanangu wakijua kuwa nilishawahi kufanyiwa kitu kama hiki.

Siko sawa, nataka kuondoka nahitaji tu nauli ya kunitoa hapa, sijapona, kila siku najitonesha, kila siku nalia, ila naomba kuondoka, siwezi kuishi tena hapa!” Aliongea huku analia kama mtoto mdogo muda wote alikua akiniomba msamaha na kuniambia anataka niongee na watoto kwani anaogopa hata kuwagusa. Nilimtuliza na kumuambia hakuna kitu kibaya kitatokea, mimi nitazidi kumpenda na wala asiwaze kitu chochote.

Baada ya kuongea naye sana alifanikiwa kunyanyuka, nilimbembeleza sana kwenda hospitalini lakini aliogopa, nilichofanya ni kumnunulia dawa za maumivu na vidonda nikiamini kuwa atakua sawa. Sikumgusa wala kumuangalia alikua kaumiaje ila alikua anaumwa, muda mwingi alitumia ndani kulala mimi sasa ndiyo nikabeba majukumu yote ya kuhudumia watoto.

****
Wiki mbili za kujua kile alichofanyiwa mume wangu ziliniumiza kichwa, ingawa alikua na kaahueni kidogo baada ya kuongea na mimi ila bado alikua na hali mbaya, mwili ulishatengamaa ila akili yake ilikua haikua sawa. Muda mwingi alikua ni mtu wa kuogopa, kujificha hata kuonana na watoto ilikua shida, hali hiyo ilinifanya mimi kuhangaika na kila kitu, baada ya kuona mambo yamenishinda niliona nimuite Mama yangu ili kuishi naye anisaidie watoto.

Hapo ndipo nilifanya kosa ambalo mpaka hii leo nalijutia, Mama yangu alikua hampendi kabisa mume wangu, tangu kupoteza kazi kila siku yeye alikua ni mtu wa maneno. Nilivyomleta niliamua kumaumbia ukweli.
“Kuna vitu alifanyiwa mahabusu, hayuko vizuri hivyo Mama naomba umvumilie kama akiwa kama mtoto, akipona nitamuondoa kwangu!” nilimuambia Mama yangu nikiamini kuwa labda akijua hali ya mume wangu ataacha mdomo, sikumuambia moja kwa moja ni kitu gani ila Mama aligundua.

Siku ya kwanza ilienda vizuri. Lakini siku ya pili niliporudi nyumbani mume wangu hakuepo. Nilimuuliza Mama hakunijuibu, aliniambia hajui, kwa namna flani nilishukuru labda katoka kukutana na watu, nilihisi labda kachangamka na atarudi kwenye hali yake ya kawaida.

Lakini haikua hivyo, mpaka saa nane usiku mume wangu alikua hajarudi nyumbani na hakuchukua kitu chochote kile. Nilipatwa na wasiwasi, nilianza kumuuliza Mama ni kitu gani kilichokua kimetokea, Mama aliniambia hakuna kitu, hajamfanya kitu chochote mume wangu ila sikumuamini, nilihisi kuna kitu kamtamkia ndiyo maana kaondoka.

Siku zilipita, wiki na hatimaye miezi ilipita bila kujua mume wangu yuko wapi, simu zake na kila kitu alikua kaacha, nilimtafuta kwa rafiki zake, ndugu na kila mtu ambaye nilihisi anaweza kujua alipo lakini hakuna mtu hata mmoja aliyekua akijua wala kusikia taarifa zake.

Ingawa nilikua namfanyia vituko na nilijua kuwa simpendi lakini baada ya mume wangu kuondoka kila kitu kilibadilika, kazini nilikua hovyo sana, nikawa na msongo wa mawazo, kila kitu kibaya nilichokua namfanyia kilijirudia kichwani kwangu. Kuna wakati hata kula ilikua shida, kazini nikawa ni mtu wa kuongea peke yangu.

Kazini kwetu mambo mengii yanaenda kwa email, ukitumiwa email halafu hukujibu unaweza kujikuta unaharibu kazi, basi mimi nlikua napitiwa kiasi cha kutokujibu email hata siku mbili, mpaka napigiwa simu kukumbushwa lakini sikujali ni kama nilikua nimekata tamaa na maisha.

Niliondolewa madaraka na kubaki mfanyakazi wa kawaida, walitaka kunihamisha ila niliomba kubaki palepale kwaajili ya watoto. Ukweli nikuwa nilishakata tamaa ya maisha, kila kitu niliona kama kimesimama, ni mara nyingi nilishatamani kuachana na mume wangu nikiamini labda nikimuacha nitakua na furaha ila baada ya kuondoka nilikua na huzuni sana.

Nyumbani nako hali ilizidi kuwa mbaya, sikua na binti wa kazi hivyo nililazimika kuishi na Mama yangu mzazi, watoto walikua hawampendi kwani alikua ni mtu wa kuwapiga, kila siku walimtaka baba yao kitu ambacho sikua na uwezo wa kuwapa, nilijikuta nakua na hasira sana, kila siku kutukana na kuwapiga watoto.

Kila sehemu kukawa hakuna amani, nilikua siwezi kupata usingizi bila kunywa dawa za usingizi.
“Mama ulimfanya nini mume wangu, mbona wakati naondoka alishakua vizuri?” Nilimuuliza Mama yangu, nakumbuka ilikua usiku wa saa nane,. Nilikua nmeshameza vidonge vya usingizi mara mbili lakini wapi, kila baada ya lisaa nashtuka, nilikua najisikia vibaya sana, nilienda chumbani kwa Mama ambaye alikua kalala.

“Unaniamsha kwasababu ya huyo mjinga, mimi hata sikumtukana, nilimuambia tu simtaki kwenye maisha yako, nilimuambia sitaki akawe karibu na wajukuu zangu asije kuwafanya mashoga! Sasa hapo kosa langu nini, kama huko kaharibiwa unafikiri yeye atafanya nini kama si kuharibu watoto!” mama yangu aliongea kama vile kilikua kitu cha kawaida, hakuona hata kama kafanya kosa, kuondoka kwa mume wangu kwake ilikua kama furaha, kwani alihamia kwangu.

Niliongea sana kulalamika sana lakini Mama hakujali.
“hembu niondokee huko, unataka kunilaumu wakati wewe ndiyo ulimpeleka huko ili akafanyiwe huo ushenzi, kwanza najuaje kama siyo wewe uliwalipa watu ili wamlawiti, wewe si unatembea na kila askari, sasa utashindwa kumfanyia hivyo mume wako!” nilikosa hata nguvu ya kulalamika kwani kila kitu ilikua mimi, nilitoka chumbani kwa Mama nikitamani kumfukuza ila nilikua sina namna, sikua na mtu wa kuishi na wanangu hivyo sikua na namna nyingine zaidi ya kubaki naye.

Miezi sita baada ya mume wangu kuondoka nyumbani nilipigiwa simu na watu ambao siwajui, walinisalimia na kuniambia kuwa namba yangu waliichuikua kwenye pochi ya mume wangu. Ni kitu pekee walichokikuta kwenye mwili wa mume wangu, mume wangu alikua kaokotwa huko Same, amefia kwenye mtaro alipokua akilala kila siku, kila mtu alijua kuwa ni kichaa na mara nyingi alikua akipita akiomba chakula.

Siku moja wakati wanafunzi wanapita juu kalavati walisikia harufu kali, kuangalia ulikua ni mwili wa mume wangu. Baada ya polisi kuitwa, mwili ulikua umeshaanza kuoza, katika kumkagua kwenye pochi yake walikuta picha yangu, na wanangu watatu, picha ya Mama yake na namba yangu ya simu. Hizo ni picha ambazo hata akiwa vizuri alikua akizibeba.

Hakuna siku ambayo niliumia kama hiyo, kila kitu katika maisha yangu kilibadilika siku hiyo, nilikua kazini nilishindwa hata kunyanyuka, rafiki yangu mmoja kazini aliniona wakati naongea na simu, mimi nilidondoka na kuzimia, alichukau simu yangu na kuongea na mhusika, sikujua kilichoendelea mpaka baada ya siku mbili, kumbe walienda kuchukua mwili wa mume wangu, ulikua umeharibika sana kiasi kwamba walilazimika kuuweka kwenye mifuko ya nailoni.

Mume wangu alizikwa nikiwa sijitambui, nilishiriki kila kitu lakini akili yangu haikua sawa. Baada ya mazishi kazi kubwa ilikua ni ya wanangu, hawakua sawa, walijua baba yao amekufa na walikua wananilaumu mimi. Ni miezi 5 sasa tangu mume wangu kufariki, kazini nilishapoteza cheo, rafiki zangu wote ambao niliwapata baada ya kupata cheo hakuna hata mmoja ambaye tunaongea naye.

Ni kama kila mtu kanitenga, naitwa majina mengi, mchawi, sina akili, nimemuua mume wangu kwasababu ya nyumba na kila kitu, nimelazimika kuhama nyumba aliyoniachia na kwenda kupangisha. Wanangu nimelazimika kuwapeleka bweni kwakua hawataki kabisa kukaa na mimi.

Hata likizo wanaenda kwa Dada yangu ila si kwangu, maisha ni magumu, bado natumia dawa za usingizi kupata uisingizi kwani nikifumba macho namuona mume wangu. Pesa ilinipa ulimbukeni, marafiki wakanitawala akili yangu, najua nimekosea lakini ilikua ni lazima kuongea, lazima kumuelezea mtu kisa changu ili angalau nipone, sijui kama nitapona, sijui kama mume wangu atanisamehe lakini naamini labda kwa kukuambia kisa changu nitakua na amani, labda nitapata usingizi, Pumzika kwa amani mume wangu.

NB: Hakuna kiwango chochote cha pesa kitakachokufanya kuwa mwanaume katika ndoa yako. Kila mmoja wenu katika ndoa ana majukumu yake, usiwehushwe na pesa na kugandana na marafiki wapya ambao umekutana nao baada ya kupata pesa, hawajui uliyopitia kipindi huna.

MWISHO

0 comments:

Post a Comment

BLOG