Search This Blog

Tuesday, June 21, 2022

UKIMUAMBIA MAMA YAKO ATAKUUA ANANIAMINI MIMI KULIKO WEWE

  

IMEANDIKWA NA IDDI MAKENGO

ALLY HAMISI; UKIMUAMBIA MAMA YAKO ATAKUUA ANANIAMINI MIMI KULIKO WEWE! —SEHEMU YA KWANZA


“Ingia ukakutane na wanaume wenzako mpumbavu mkubwa wewe!” si unajifanya unajua kufanya mapenzi, sasa ngoja wakakuonyeshe!” Askari mmoja, wakike aliongea huku akifungua mlango. Ally bado alikua kasimama, anashangaa shangaa kama vile alikua hajui kilichokua kinaendelea. Ulikua ni usiku wa kama saa sita hivi, alikua ametoka kazini, alikua kachoka sana kwani alikua na vikao kutwa nzima, kutokana na vikao simu yake kutwa nzima alikua kaizima.


JOIN US ON TELEGRAM

Hakujua kilichokua kinaendelea huko nnje, alirudi nyumbani kwake kama kawaida, ni katika nyumba yake mpya ambayo alikua ndiyo kahamia wiki moja kabla. Kwakua alikua akiishi peke yake na hakua na mlinzi alilazimika kushuka ili kufungua geti. Lakini kabla ya kuingia ndani askari walikua wanamsubiri nnje, alikamatwa usiku huo huo na kupelekwa mahabusu.


“Wanawake kibao wapo maani, kijana mzuri kama wewe unaenda kubaka katoto ka darasa la pili!” Yule askari alifoka zaidi.


“Kabaka!” Askari mwingine mwanamke aiuliza.


“Hivi wanaume mmekumbwa na nini jamani, kijana mzuri namna hiyo! Wanawake wengine tupo hapa hatuolewi yeye anaenda kubaka katoto!” Yule askari aliyekua anafungulia mlango aliongea. Alitukana sana, Ally alikua anasikiliza tu hajui nini chakufanya, mlango ulifunguliwa na kuambiwa kuingia. Hap tayari alishavua viatu, saa na mkanda.


“Unazubaa zubaa nini? Ingia mbwa wewe! Ungekua na mtoto ungejua uchungu wake!” Yule askari alifoka huku akimkanyaga mgongoni, Ally alikua hajajiandaa kwa lile teke kubwa la mgongoni, aliukumwa mbele na kudondokea tumbo, alijaribui kuweka mikono yake chini lakini alikua ameshachelewa, mikono iligusa chini lakini kichwa chake kilienda kugonga kwenye ndoo ya chuma ambayo ilikua imejaa mikojo.


Ile ndoo ilidondoka na mkojo ulimwagika chini, uliloanisha pale chini na kuwaloanisha mahabusu wengine.


“Mshenzi wewa mwaga mkojo!” Mahabusu mmoja alilalamika, alikua kasimama, bado Ally alikua pale chini, alipojaribu kunyanyuka yule mahabusu alimkanyagia chini.


“Utapadeki na mdomo mbwa wewe!” Aliongea huku akiendelea kumkanyangia chini, Ally alijitahidi kunyanyuka lakini alishindwa, mahabusu wengine nao walikuja, walimshikilia chini na kuanza kumpiga.


Alipiga kelele kuomba msaada lakini hakuna aliyemsaidia, skari walikua wakitukana na kumuambia apambane na wanaume wenzake.


“Si unajifanya mwanaume, sasa ndiyo hivyo, pambana na wanaume wenzako!” Askari aliongea, walimpiga sana mpaka akashindwa kunyanyuka. Alilazimika kulala chini, akalalia ile mikojo, walipoona katulia hatikisiki wakamuacha. Alikaa pale chini kwa muda wa kama nusu saa hivi, harufu ilikua kali, akanyanyuka kidogo, chumba kilikua na giza, kali, walionana kwa mwanga kidogo wa taa ya pale mapokezi.


“Umeamka, chukua ndoo ukadeki, huku hakuna ukubwa, hapa ukimwaga unadeki!” Askari mmoja alimuambia huku akimpa ndoo ya maji. Aliichukua lakini kulikua hakuna dekio.


“Dekio Dada?” Alimuuliza, mwili wote ulikua unamuuma kutokana na kipigo cha mahabusu wenzake, lakini alijikaza kwani alijua kudeka kungesababisha madhara zaidi.


“Dekio, hivi unamuuliza nani? Mbona unatoa amri amri! Unafikiri hapa ni huko kazini kwako, kwakua ubosi huko unafikiri na huku utakua bosi!” Askari alimfokea, alinyamaza na kubaki kimya bila kujua chakufanya.


“Vua nguo hizo fanya dekio!” Mdfungwa mmoja alimuambia, Ally, alidhani kama ni mashara, akiwa bado kasimama hajui adeki vipi mwenzake alinyanyuka, alimvua shati kwa nguvu kisha akaliingiza kwenye maji, alimuambia adeki, kweli alitumia shati lake, akadeki pale chini na kukausha. Askari alifungua mlango kuchukua ndoo ya maji.


“M bona umevua shari?” Alimuuliza kama vile alikua hajui kama amevua ili kudekia.


“Nilikua natumia kudeki mkuu…” Alijitetea.


“Mkuu nani hapa? Nani mkuu wako hapa? Huku huruhusiwi kuvua shati, au unataka ukajinyonge nalo? Hembu vaa huko acha kutuletea kesi hapa!” Askari alimfokea, alimsimamia mpaka akalivaa shati lile bichi aliolokua akilitumia kufutia mikojo.


Alijisogeza taratibu mpaka kwenye kona na kukaa, bado kichwa chake kilikua kinazunguka, alikua haamini kama yupo mikononi mwa polisi na yupo katika hali ile, mara kadhaa alikua akijisika na kujifinya mwenyewe ilio kuangalia kama alikua haioti, lakini ukweli nikuwa alikua haoti, aliona maisha yake kama yameishia hapo, aliona kama vile hakuna mwanga.


“Umebaka? Hutafia hapa? Tena wewe umebaka mtoto hata dhamana hupati!” Mahabusu mwenzeke alimuambia.


****


Mvua ilikua inanyesha, giza lilishaanza kuingia Jackline (sio jina lake halisi) alikua ametoka kazini. Aliingia ndani na kuvua nguo zake,  alirudi sebuleni kumuangalia mtoto wake wa pekee Jane (sio jina lake halisi). Walikua wanaishi wawili tu baada ya binti yake wa kazi kuondoka kama wiki mbili kabla. Hakumkuta sebuleni hivyo alihisi kama kalala, alikaa kidogo kwenye kochi lakini usingizi ulianza kumpitia.


“Unajua sijapika?” Alijiongelesha baada ya kushtuka kutoka usingizini.


Alinyanyuka harakaharaka na Khanga yake moja, alienda mpaka jikoni, alishangaa kuona vyombo vyote vichafu.


“huyu mtoto atanitambua, kashaanza kuniona kama mfanyakazi wake!” Aliongea kwa asira huku akitoka na kuelekea kwenye chumba cha mwanae. Walikua wakiishi wawili kwenye ile nyumba ndogo ya vyumba itatu na sebule, hakua na muda tangu kuamia hapo baada ya kujikongoja, akajenga. Alishaachana na Baba wa mtoto wake kwani aliikataa mimba na hakua na mawasiliano naye mpaka wakati huo mtoto ana miaka saba.


“Hivi wewe hujui kama hakuna mfanyakazi? Umatoka shule saa ngapi? Yaani ni kulala tu! Unashindwa hata kuosha vyombo mshenzi mkubwa wewe!” Alianza kufoka hukua akiwasha taa. Jane alikua amela akitandani chali, miguu alikua ameipanua hivyo kuacha sehemu zake za siri zikiwa wazi kabisa, pembeni yake shuka lilikua limevurugwa vurugwa. Alikua amelala kama vile amepoteza fahamu, katika sehemu zake za siri kulikua kama damudamu.


“Umefanya nini mwanangu?” Aliishiwa na pozi, hasira zote zilimuishia, alikimbia mpaka kitandani na kuangalia mapigo ya moto ya mwanae, alimnyanyua na kumpakata mikononi mwake.


“Mwanangu umefanya nini? Nani kakufanyia yote haya?” Aliuliza kwa upole, mikono yake ilikua ikizunguka uso wake, alikua akimfutafuta na kumbembeleza.


“Nisamehe Mama, nimeshindwa kabisa kunyanyuka na kujiosafisha, ananiambiaga nijisafishe lakini nimeshindwa kunyanyuka.” Aliongea kwa sauti ndogo, Jane alikua kachoka sana, mwili ulikua umeloa jasho.


“Nini kimetokea mwanangu, naomba niambie, nini kimetokea?” Alimuuliza huku akimkagua, sehemu zake za siri zilikua zimepanuka, pembeni kwenye shuka aliona mbegu za kiume, zilionekana kumwagikia kwenye mapaja ya Jane na mtu kuzifuta.


“Nani kafanya hivi, nani alikua anakufuta.” Alimuuliza.


“Ni mimi Mama, leo kanifanya muda mrefu, nimeshindwa kujifuta. Nimeshindwa kabisa Mama, naomba usinigombeze Mama, nimechoka, mimi sitaki tena kufanya na Anko!” Jane aliongea huku akilia, nguvu zilikua zinamuishia, anaongea maneno mawili yanakatika anashindwa kumuelezea, pumzi zilikua zinakata mara kwa mara.


Jack aliacha kumuuliza mwanae, alijua kuwa anamchosha, alichukua simu yake na kumpigia Dereva wake wa bajaji, alitoka na mtoto nnje, aienda mpaka hospitalini, alijua kuwa mtoto wake alikua amebakwa. Huko walimuambia kuwa lile ni kosa la jinao hivyo hawezi kutibiwa mpaka awe na PF3, alirudi tena mpaka polisi, baada ya kujielezea alipewa PF3, akapewa na asikari wawili wakike wakaongozana nao mpaka hospitalini ambapo alipatiwa huduma ya kwanza.


Wakati huo hali yake ilikua mbaya zaidi, alikua kapoteza fahamu. Kama nusu aa hivi Daktari alimuita, alimpa habari mabya, alimuambia kuwa mtoto wake alikua kabakwa, hicho alikua akikifahamu kwa kumuangalia tu, lakii habari mbaya zaidi.


“Huyu ni mtoto wako?” Daktari alianza kumuuliza.


“Ndiyo ni mwanangu.”


“Unaishi naye?”


“Ndiyo, kwanini?” Aliuliza maswali megi ambayo yalitia shaka kwamba yeye ndiyo Mama wa Jane na hata kama ni Mama yake basi si muwajibikaji.


“Sijui nikuambieje lakini huyu mtoto amekua akiingiliwa kimwili kwa muda mrefu, viungo vyake vya uzazi vishasoea, hii si mara ya kwanza kuingiliea, sasa kama wewe unasema ni Mama yake ni kitu gani kimekufanya mpaka usugundue mapema?”


“Kuingiliwa kivipi? Mbona mtoto wangu naishi naye, hajawahi kulalamika! Hapana, kungekua na kitu kama hicho mimi ningejua!” Alifoka, alikua kakasirika, alionekana kama anadharaulika kuwa yeye si Mama bora, alianza kumtukana daktari, kwa kumdharau.


“Mimi mtoto wangu namlea vizuri, mtoto wangu hawezi kubakwa nikaacha kujua!” Alifoka, ilibidi askari kuingilia kati kwani alikua kapaniki sana, Daktari alimuelewa na hakufanya chochote, alimtuliza, alipotulia ndipo alianza kumuuliza tena maswali.


“Ally unamfahamu? Nadhani Anko Ally?” Daktari alimuuliza.


“Ndiyo namfahamu, ni mfanyakazi mwenzangu.” Alijibu kwa wasiwasi kiodgo.


“Ameshawhai kuja nyumbani kwako? Mwanao anamfahamu?”


“Ndiyo, kuna wakati nikichelewa huwa ananiletaga nyumbani, alishaingia ndani mara moja kipindi bado naishi nyumba ya kupanga, lakini tangu kuhamia kwangu hajawahi kuja.”


“Anafahamu unapoishi?”


“Ndiyo, anafahamu, ni rafiki yangu, ingawa hatuna mazoea sana lakini yeye anaa gari, wakati wa ujenzi alikua ananipelekaga sana.”


“Mwanao anamtaja sana, anakuomba msamaha, hajaweza kuongea vizuri lakini nahisi kuwa yeye ndiyo kamfanyia hiki kitu, sina uakika mpaka tutakapopima DNA kwani kuna mbegu zake zipo zimebaki na tumeshachukua sample, lakini nahisi unatakiwa kuongea na mwanao.


Ongea naye taratibu, ameamka na anakuita wewe, usimuulize maswali mengi, muache aongee mwenyewe.


“Nilijua tu mshenzi mkubwa yle! Mwanaume gani anaishi pake yake, kumbea anapenda vitoto vidogo, nilishamuambia nampenda akanigomea kumbe Malaya anatembea na mtoto wangu!” Jack alitukana sana, alionekana kuumizwa kwa  mambo mawili, kwanza alikua anampenda sana mwanae na aliumizwa na kilichomtokea na pili alikua anampenda Ally aliumizwa na yeye kumbaka mwanae.


Aliingia katika chumba alichokua amelala mwanae, alikua kafungua macho, alilazimisha tabasamu usaoni kwake, alitembea taratibu mpaka alipokua amelala, akakaa pembeni yake akimuangalia kwa upendo.


“Mama Nisamehe…” Jane alimuambia Mama yake, sauti yake ya kitoto ilikua imetengamaa kidogo baada ya kupata huduma.


“Hujanikosea kitu mwanangu.”


“Aininiambia nikikuambia ataniua, aliniambia nitapata raha, lakini mama nimechoka, muambie Anko Ally asinifanye tena, nimachoka Mama.” Aliongea huku machozi ya kimtoka, Mama yake alimfuta na kumuambia anyamaze kwani hajafanya kitu chochote kibaya.


ALLY HAMISI; UKIMUAMBIA MAMA YAKO ATAKUUA ANANIAMINI MIMI KULIKO WEWE! —SEHEMU YA PILI


Siku ya kwanza Ally kukutana na Jane ilikua ni miaka mitatu nyumba, wakati huo jane alikua na miaka minne, kalikua bado katoto, ilikua ni siku ya ijumaa, Jack hakua na mfanyakazi wakati huo, hivyo mtoito alipotoka shule alienda kumchukua na kuja naye kazini.


“Una katoto kazuri?” Alimuambia. Haikua mara ya kwanza kwa Jack kumleta mtoto wake kazini lakini ilikua ndiyo mara ya kwanza kumuona, Ally alikua ni mgeni pale, ndiyo alikua kahamia hivyo hakua na mazoea naye.


Hiyo pia ndiyo ilikua ni mara ya kwanza kwao kuongea, sanasana walikua wanakutana kwenye kordo wanasalimiana lakini hakuna aliyekua anamjali mwenzake.


“Unaitwa nani mtoto mzuri?” Ally aliuliza huku akichuchumaa, alimsogelea wakawa kama wamelingana, wanaangaliana usoni, Mama yake alikua amekaa kwenye kiti anawaangalia.


“Naitwa Jane.” Jane alijibu huku akichekacheka. Ally alikua akimshika shika vishavu vyake huku jane akicheka kitoto na kuegemeza kichwa chake kwenye mikono ya Ally.


“Mimi naitwa Ally, niite Anko Ally, ni rafiki wa Mama yako.”


Aliongea huku akinyanyua uso na kumuangalia Mama yake, alitoa tabasamu ali ambalo lilimchanganya sana Jack.


“Kumbe huyu Kaka mzuri namna hii? Hii ni mboga kabisa, daaa!” Aliwaza huku macho yake yakiwa hayatoki kwa Ally, alimuangalia na kumvurtia picha, alivutiwa zaidi na namna alivyokua anamuongelesha mwanae.


Atakua Baba bora huyu! Mungu wangu, kuna wanawake wengine wanabahjati! Wakati wengine tunahangaika na watoto, tunazalishwa na kuachwa kuna mwanamke analala kila siku na huyu halafu ukute nayeye eti anachepuka!” Alijiongelesha mwenyewe kichwani.


“Wakwako kweli huyu? Mbona unaonekana bado kama huna mtoto?” Ally alimuuliza huku akisimama.


“Jamanii… naonekanaje?” Jack alijibu kwa aibu huku akishangilia moyoni.


“Mungu wangu kanipenda nini?” Aliwaza.


“Lakini atakua kaoa, yaani huyu atanitia aib, hapa nahisi hata chup* kuloana, daaa!” Aliwaza, Ally hakujibu swali lake kuwa anaonekanaje, alimuangalia na kutabasamu, aliingia mfukoni na kutoa noti ya elfu tano, alimpelekea Jane na kumuambia.


“Anko leo hana zawadi, lakini chukua hii ni yako, mpe Mmama muambie akununulie kitu kizuri unachokupenda, muambie ni zawadi ya Anko.” Alimpa, lakini Jane aliogopa kupokea, alikua akimuagalia Mama yake akijua kuwa atagombezwa.


“Usimuogope Mama chukua, hatakuchapa.” Alimbembeleza, Jack alitabasamu na kumuonyeshea mwanae ishara kuwa achukue. Jane alichukua ile pesa, Ally aliondoka zake lakini huku nyuma alimuachia Jack kimuhemuhe.


Baada ya kuumizwa sana kwenye mahusiano, Jack aliamua kuacha kabisa kujiingiza kwenye mambo ya mapenzi. Lakini baada ya kumuona Ally akili yake ni kama ilichanganyikiwa, alianza kumfatilia kwa kuuliza kama alikua na mwanamke lakini aliambiwa kuwa hajaoa, hana mahusiano hapo, pamoja na kwamba alikua ni mtu wa kujichanganya sana lakini alikua hayupo kwenye mahusiano kitu ambacho kilimpa moyo zaidi.


Alijitahidi kujiweka karibu na Ally lakini Ally hakuonekana hata kujali, alionekana kuwa bize na maisha yake na alimchukukulia kama dada yake. Hicho kitu kilimuumiza sana, alianza kujihisi vibaya na kujiona kama vile ni mbaya. Kuna siku nyingine tena alikuja ofisini na Jane, alishangaa kuwa Ally alimchangamkia, aliongea na Joan kama mtoto wake na muda mwingi alikua anakuja ofisini kwake.


“Mmshakula?” Ally alimuuliza, ulikua ni mchana, kwa kawaida pale ofsini kuna mgahawa kwa chini. Joan alikua amefunga siku hiyo lakini baada ya kusikia lile swa hakutaka kuipotezea hio nafasi, alismea hapana, labda Mungu ndiyo kajibu maombi yangu kwa namna hii. Alisema hapana ndipo Ally alimualika kwaajilia ya chakula cha mchana, walitoka Ally akimchukua Jane na kumbeba, walitembea kutoka nnje.


“Mbona unapita mgahawa?” Jack alimuuliza baada ya kuona kuwa Ally alikua alikua ameacha njia ya kelekea kwenye mgahawa na kwenda kwenye Parking ya magari.


“Hapana, hatendi huko, huko ni kwa wazee, mtoto hawezi kufurahia.” Alimjibu huu akimuongoza kwenye gari, alienda na kufungua mlango wa nyuma, alimkalisha jane na kumfunga mkanda, alirudi na kumfungulia mlango Jack, kisha akaingia kwenye usukani na kwenda mjini.


Mambo yote hayo yalimchanganya sana Jack, ilikua ni kama ndoto yake, mbali na muonekano wake mzuri, uchangamfu lakini alivutiwa namna ambavyo alikua akimjali mtoto wake. Alimuona kama Baba bora, alifurahia kwani hata Jane alikua anafurahia. Katika maisha yake yote Jane alikua akiishia na Mama yake, hakukua na mtu kama baba wa kuishi naye hivyo alipoona namna wanavyofurahiana basi alichanganyikiwa zaidi.


“Nitakua namleta mtoto kila siku kazini, kumbe anapenda watoto sana.” Aliwaza wakati wanarudi, walitumia zaidi ya lisaa kwenye chakula, hawakujali kazi, Ally aliwapeleka sehemu nzuri, wakaagiza chakula na wakati wanarudi alimnunulia Jane vizawadi zawadi. Ile kuotolewa out siku moja Jack ni kama alikua kashatongozwa, alijiweka karibu na Ally lakini Ally alikua hajai, alikua bize na mambo yake, alimchukulia kama rafiki tu wa kawaida.


Cha ajabu nikuwa kila mara alipokua akimleta mtoto Ally alikua akimchangamkia sana lakini si yeye. Mwisho alichoka, aliona aibu na kuanza kumchukulia tu kama rafiki. Katika kipindi chote hicho Ally alikua hajafika nyumbani kwake na hakuwahi kuonyesha dalili za kutaka kufika. Siku moja walichelewa kutoka kazini, wakati wanajiandaa kutoka alilazimika kumuomba Ally ampeleke kwake kwani anaweza kukosa magari.


Ally hakusita, alimpeleka mpaka nyumbani kwake, wakati huo alikua akiishi nyumba ya kupanga, alimfikisha lakini Ally hakushuka, kile kitendo kilizidi kumuumiza. Ingawa alishaapa kwa hatakuja tena kumtumia mtoto wake ili kumtega Ally lakini uzalendo ulimshinda, siku moja alijichelewesha makusudi kwakua anajua Ally ana kazi nyingi na mara nyingi huchelewa kutoka, alijichelewesha mpaka usiku.


Alipomuona anatoka naye ndiyo alioka, walienda mpaka nyumbani kwake, wakati wakushuka alimkaribisha ndani.


“Huendi kumsalimia rafiki yako, ananiulizia sana Anko Ally, Anko Ally?” Alimuuliza, ingawa hakua na mpango wa kushuka lakini aliposikia tu vile alipaki gari vizuri, akalizima na kushuka, hakukaa sana kwani alipofika mtoto alikua kalala lakini Mama yake alilazimishia kumuamsha.


Kama unavyojua mtoto akiamshwa kwa lazima basi aliamka na wenge la usingizi, Ally alimsalimia tu lakini mtoto alionekana kuchoka. Ingawa alikaribishwa chakula lakini hakukaa, kama dakika tano hivi alitoka na mara nyingine akimleta basi aliishia nnje. Alipokua anajenga Jack alimshirikisha Ally, alimfanya kama rafiki, mara nyingi alikua anamuomba kumsindikiza site na kumsaidia kuongea na marafiki lakini hata siku moja hakuwahi kumtongoza. Hicho kitu kilimuumiza sana Jack, alijihisi vinaya lakini kama wanawake wengi walivyo kutokana na aibu alishindwa kumuambia.


***


Hali ya Jane ilikua inazidi kuiarika, baada ya kuambiwa kuhusu Ally, Jack aliwaambia polisi na kuwaelekeza namna ya kumpata, alipata amani aliposikia kuwa kakamatwa. Usiku alilala na mwanae mpaka asubuhi, alimpigia simu bosi wake na kumuambia kilichotokea, ingawa hali ya mtoto wake ilishatengamaa lakini hakutaka kumuacha peke yake.


Asubuhi aliamka na kwenda kumuandalia uji kisha akarudi kumuangalia.


“Mama mbona huendi kazini?” Jane alimuuliza Mama yake baada ya kumuona anaingia kavaa kawaidakawaida.


“Hapana mwanangu, nimeamua kukaa na wewe.” Alimjibu huku akikaa pembeni yake.


“Mama mimi niko sawa, siumwi sana, nisamehe Mama…” Alianza kuomba msamaha kwa kufanya kile kitando lakini Mama yake alimtuliza, alimuambia.


“Mama nenda kazini, mimi nimepona.” Alimsisitiza Mama yake.


“Hapana Mama, leo wewe huendi shule na mimi nabaki siendi kazini, tunabaki wote hapa na tutaenda nyumbani wote daktari akituruhusu.” Mama yake alimuambia, Jane alikaa kimya kwa kama dakika mbili hivi akitafakari kitu kisha akamuuliza.


“Mama au tuende wote kazini kwenu, hujanipeleka kazini kwenu muda mrefu. Nataka unipeleke nikamuone yule anko Ally mzuri, naomba unipeleke.”


“Anko Ally? Anko Ally gani? Sitaki umtaje huyo mtu kabisa!” Mama yake alijikuta anafoka, alipaniki sana akihisi kuwa mtoto alikua amefanyiwa mapenzi kiasi kwamba alishaanza kumpenda.


“Nyaamaza kabisa, ungejua kitu alichokufanyia ungetaka akafie mbali kabisa! Mshenzi mkubwa yule! Anajifanya anakupenda, alikua anakudanganya mwanangu, yule alikua hakupendi, umesikia mwanangu.” Kwa namna alivyokua amekasirika baada ya kulisikia jina la Ally, Jane aliogopa sana. Uso wa Mama yake ulikua umebadilika, ulikua mwekundu ghafla, alimtishia mtoto mpaka akashindwa kujizuia, alijikuta anajikojolea pale[ale.


“Nisamehe Mama…” Jane aliomba msamaha.


“Hapana mwanangu si kosa lako, nisamehe Mama yako kwa kuwa mkali, lakini si kos alako. Wewe ni mtoto, Anko ndiyo mshenzi, usiogope kabisa.” Aliongea huku akimuangalia, alikua kakojolea shuka, alijisikia bibaya kwakuwa mkali, alimuomba msamaha na kumuambia asimuogope.


“Mimi ni Mama yako Mwanangu, mtu yoyote akikugusa unaniambia, usiogope!” Alimuambia.


“Kwei Mama?”


“Ndiyo mwanangu, usiniogope mimi ni Mama yako.”


“Sawa Mama, Anko aliniambia kuwa atakuua nikikuambia, mimi niliogopa, sitaki Mama yangu ufe. Akija tena sasa hivi sitaogopa, nitakuambia.”


“Hatakuja tena mwaagu, ameshakamatwa na polisi na atafia jela mshenzi yule.” Jane kusikia vile alitabasamu kidogo, kuna kauoga flani alikua nako kalipotea kabisa. Jack hakutoka pale hospitalini mpaka mchana, hali ya mwanae ilikua nzuri na aliruhusiwa, lakini wasingeweza kuondoka, polisi walitakiwa kuongea na mtoto kwani pia walihitaji mwana saikolojia, ili aelezee kila kitu kilichotokea, maelezo kuchukuliwa, alitafutwa na mtoto na Mama yake walienda kuonana naye ili maelezo yake kuchuuliwa.


ALLY HAMISI; UKIMUAMBIA MAMA YAKO ATAKUUA ANANIAMINI MIMI KULIKO WEWE! —SEHEMU YA SEHEMU YA TATU


“Kila siku alikua anakuja nyumbani na Mama, usiku alikua analala chuimbani kwenu, wakati wanakuja mimi nilikua nalala, usiku mmoja niliamka, nilimuona Dada akiwa ameshikana na Anko, nilikua nimemka kwenda kukojoa, Dada alikua anapiga kelele, mimi nilijua kuwa labda anko anampiga dada. Wote walikua wamevua nguo, nilimfuata Anko na kuana kumpiga ili aismpige Dada. Nilimpiga mgongoni na kumuambia kwanini unamiga Dada.


Walishtuka, Anko alisimama Ghafla na kunikojolea uji usoni nilianza kulia na kutaka kutoka kumfuata Mama lakini Anko alinishika, aliniwahi na kunirudisha ndano.


“Usiende! Usiende! Mimi simpigi dada yako, hembu njoo umuulize!” Anko aliniambia, Dada naye ambaye alikua uchi alinyanyuka, alinishika na kunirdisha kitandani.


“Usimuambie Mama. Sisi tulikaua tunacheza tu, ni mchezo mtamu, kama unataka na Anko arakufundisha.” Aliniambia, niliwaza ni mchezo gani sikujua.


“Mnacheza mieleka, ile ya kina John Cena?” Nilimuuliza dada akaniambia ndiyo lakini si ya kuumizana, hapa unapata utamu kama unakula icecream.


“Mimi napenda Icecreeam…” nilimuambia Dada. Alinaimbia basi kama unapenda tutakufundisha, lakini kwa sasa hembu acha sisi tumalize, Anko atanipa pesa nyingi, sasa usimuambie Mama mimi nitakugaia. Aliniambia, walipenda kitandani na kuanza kushikanashikana, lakini niliona kama hawachezi, walikua wanafanya tabia mbaya, niliwaambia huo sio ule mchezo wa John Cena bali ni tabia mbaya, Anko alinishika na kunipendisha kitandani, alinivua nguo na akatyoa dudu yake akaniambia niishike niichezee.


Mimi niliogopa lakini Dada yeye aliishika na kuichezea, alikua akicheka, anaifurahia na kuonyonya, alifaya hivyo mara nyingi kishaa kaniambia kuwa na mimi nijaribu. Nilijaribu lakini nilishindwa. Anko alinilazimshia, akaniwekea dudu yake mdomoni, aliingiza mdomoni kwangu, mimi nikaanza kulia kwa nguvu, hapo ndipo alianza kunipiga. Nilianza kulia, nilikua nimebanwa na mkojo sana, nilipiga kelele za kulia.


Mama alikuja na kugonga, anko alipanda kitandani na kujifunika akajifanya kuwa amelala, Dada alienda kufungua, alipofungua alimuuliza Dada kwanini ninalia usiku ndipo akamjibu.


“Hataki kutoka kwenda kukojoa, ndiyo tunavtaa hapa, hembu angalia, nimemuamsha lakini kajikojolea akiwa kasimama!” Dada aliongea kwa hasira, mimi nilikua naogopa, Mama alikuja na kunifinya kidogo. Akaniambia ukiambiwa kitu na dada yako sikia, wewe shakua mkubwa, unajikojolea nini? Siku nyingine nitakuchapa, na utadekihapo, hizo nguo utafua mwenyewe.”


Mama aliniambia na kumuambia dada atafute gunia la deki kisha anipa mimi nifute mikojo yangu.


“Unaona mna mgeni halafu mnaanza kusumbua.” Mama alitoka, dad akaenda kuchukua gunia la deki, alinipa na kufuta pale chini, kisha wao wakapanda kitandani, wakaenda kufanya tabia mbaya, wakati huo nilikua bado chekechea, sijaanza hata darasa la kwanza. Anko alikaa nyumbani kwa wiki moja, yeye na Mama walikua ni marafiki, aliondoka na kunaicha na Dada.


Kila siku alipokua nyumbani walikua wanafanya tabia mabya na Dada, walikua wakiniamasha na mimi kuangalia. Dada alikua anapiga kelele kufurahia hizo tabia mbaya zao na mimi nilikua nawaangalia tu. Baada ya anko kuondoka Dada aliniambia kuwa anataka kunifundisha. Dada alikua na pesa nyingi, alikua anapewa pesa na Anko hivyo alikua na pesa, ainambia kama na mimi nikifanya basio nitapata pesa na nitapata raha. Nilimuuliza kama haiumi akasema hapana.”


Jane alikua anaelezea matukio yaliyomtokea, alikua anaongea kama kitu cha kawaida, alikua anakumbuka kila kitu, alikua kama mtu mzima, wakati anaongea alionekana kuwa sawa. Mara kwa mara alikua akimgeukia Mama yake na kumuuliza.


“Mama niseme kila kitu hutanipiga?” Mama yake ambaye alikua akizuia machozi yasitoke alimuambia aseme.


“Muache aongee, usimkatishe kwani kumbukumbu zake zinaweza kukata, kama ni maswali tutamuuliza baadaye. Mama mmoja mtu mzima ambaye nidyo alikua mwanasaikolojia anamhoji alimuambia. Kila kitu kilikua kinarekodiwa.


“Siku hiyo usiku Dada aliniambia nilala mapema, aliniambia kuwa usiku kuna kitu atanifundisha, mimi nilimuambia sawa.” Nilie4nda kitandani kulala lakini sikupata usingizi, akili yangu yote ilikua inawaza dada, nilikua nawaza ni kitu gani anataka kunifundisha na niraha gani ambazo nitasikia. Usiku alikuja, aliwasha taa na kufunga mlango. Aliniambia niamke, nilikua nah au sana ya kujua, alivua nguo zote na kubaki kama alivyozaliwa, baada ya kuvua nguo alinivua na mimi nguo.


“Anko atafurahi, ameniambia kuwa ukiweza basi atakupa pesa nyingi sana, lakini usije kumuambia Mama yako. Si unaona siku ile Mama alikufinya, basi ukimuambia sasa hivi Mama atakuua. Nakuambia tu kuwa Mama anamuamini sana Snko, ni rafiki yake, ukiamuambia siri zetu basi Mama mwenyewe ndiyo atakuua.” Dada aliniambia, nilimuambia kuwa hamna shida, mimi nishakua mtu mkubwa siwezi kusema.


“Dada mimi si mmbea, mimi najua vitu vingi, siwezi kusema, nitakaa kimya hata Mama akitaka niseme sitasema.” Nilimuambia Dada ambaye alifurahi sana, baada ya kunivua nguo alinipandisha kitandani, alitoa mafuta flani na kunaimbia Anko ndiyo kampa hayo mafuta na anataka niyapake.


Alinishika na kunipanua miguu, alianza kunisugua sugua mapaja, alinichezea huku ndani kwa muda, alikua akinipaka mafuta kwa ndani huku akinichezea, nilianza kuhisi kama mtu ananitekenya lakini nilijikuta Napata raha, alianza kuniuliza kama naona ilvyotamu basi nikamuambia ndiyo, alifurahi na kuendelea.


“Dada hii sio dhambi?” Nilimuuliza, alinijibu hapana, sio dhambi, ni raha, wewe ngoja uone kwani inauma. Nilimuambia hapana, inatekenya lakini haiumi, aliniingizia kidole chake kimoha kwa muda nikawa Napata raha.


Baada ya kuona kama nafurahia alikaa kitandani, alinichukua na kunipakata kisha akaiambia nimuangaie usoni, nilimuangalia.


“Unaona matiti yangu?” aliniuliza, nilimjibu ndiyo ndiyo akaniambia.


“Basi mimi nitalala, nataka nikilala basi uje kwa juu na uanze kuninyonya matiti.”


Dada kwani wewe una mtoto? Nilimuuliza, alinijibu hapana lakini ninyonye kama vile ana mtoto, nitapara raha zaidi ya mtoto. Nilifanya kama alivyoniagiza, nilivyoniambia lakini hayakutoa maziwa, nilimuuliza akaniambia niendelee, nilimnyonya sana akawa anapiga kelele. Nilishtuka na kumuuliza kama ninamng’ata au inauma akasema hapana, haiumi, akaniambia kuwa ni raha, ngoja namimi nikufanyia. Alinilaza chini na kuja juu yangu.


“Lakini mimi daa sina matoto makubwa kama yako?” Nilimuliza, alinijibu nisiwe na wasiwasi kwani hata haaya madogo nitafuahi, alianza kunishika kifuani na kunilambalamba, mimi sikusikia chochote. Akaniambia kuwa mimi ni mdogo sana ndiyo maana sisikii raha, akaniambia basi tunyonyane ulimi, akaipakata tena na kuanza kuninyonya ulimi, basi mimi nilikua najisikia vibaya na kutaka kutapika, aliniambia kuwa sijapata uzoefu hivyo tupumzike tuatafanya siku nyingine.


Baada ya kumaliza aliniapisha na kuniambia nikisema kwa mtu hata kama ni rafiki yangu, hata kama ni Mama yangu basi huyo mtu atakufa fan ami ndiyo nitakua nimemuua. Aliniuliza kama nataka kuwa muuaji ikamjibu hapana, basi aliniambia nisimuambie mtu. Siku hiyo sikuumia shuleni nilitamani kumuambia rafiki yangu lakini iliogopa kuwa atakuafa. Tangu siku hiyo alianza kunifanyia hivyo vitu paka nikazoea, kuna siku Anko Ally alikuja kutoka Singida, alikua amekuja kununua vitu vyake vya saluni.


Baada ya kununua kama kawaida alikuja nyumbani kwetu, kiola akija Mama anamuambia kulala na sisi. Aliingia chumbani kulala, usiku waliamka, wakaniamsha na Mimi, Dada alimuambia kuwa namimi nimejifunza na nimeweza. Alifuirahi na kuniambia kuwa nimnyonye  dudu yake kama ambvavyo nilikua nanyonya matiti ya dada, kutokana na kufanya kila siku nilishaozea, alifurahi sana na nilimuona anapiga kelele, niliacha na kumuuliza mbona yeye anapiga kelele wakati niomkubwa, aliniambia ni raha.


Baada ya kumaliza aliniambia anataka kuniingizia dudu yake huku chini. Alianza kuniingizia, lakini ilikua kubwa kuliko vidole vya dada,ilikua haiingii kabisa, alipoilazimishia nilianza kupata maumibu na kupiga kelele. Aliitoa na kuipaka mafuta kama yale ambayo dada huni[paka, aliiniza tena lakini nhaikuingia, nilipata maumivu sana lakini alilazimishia, niliumi sana, nilianza kulia lakini walinikataza, waliniambia  kama nikipiga kelele basi Mama takufa. Niliumia sana na kupasuka huku chini.


Damu zilianza kutoka, kuona hivyo aliacha kunifanyia, alinisafisha, akachukua taulo lake na kunifuta vizuri. Nilikua naumia sana, alipoona siwezi kuvumilia maumivu alinipa dawa flani, alinilazimisha kuimeza nikalala mpaka asubuhi, asubuhi Mama aliamka na kuja kuniamsha kwaajili ya kwenda shule, nilikua naumwa sana, nimechoka, kichwa kilikua kizito nilishindwa hata kunanyuka.


“Huyu hajalala, nahisi ana homa wewe nenda kazini mimi nitabaki, kuna vitu sijamalizia Kariakoo nitampeleka hospitali kisha nitaenda kununua vitu vyangu, nitakujulisha hali yake itakavyokua.” Mama aliondoka na kuniacha nimelala, lakini Anko hakunipeleka hospitalini, alinipa dawa nyingine na maumivu yalikata.


Anko aliendelea kukaa nyumbani kwa siku tatu, kila akitaka kuondoka Mama alimuambia abaki, mara nyingi alikua akisaidia kazi za nyumbani. Lakini mimi nilikua nampenda, nilikua kila nikitoka shule ananichukua kwenye Tax ananizungusha mjini ananinunulia Icecram na zawadi, alikua akimsaidai Dada kufanya kazi na alikua anampa Dada pesa nyingi, nilimpenda sana Anko.


***


MAHABUSU; 


Usiku ulikua mrefu sana kwa Ally, alikua hajui ni kitu gani kimetokea, alichokua ameambiwa nikuwa kuna mtoto wa darasa la pili kambaka, alikua hajui ni mtoto gani. Akikumbuka siku yake nzima alishangaa kwani tangu kuingia kazini alikua hajatoka. Muda pekee alipotoka ofisini ni apoenda kwenye Parking za ofisi yao kwenda kuongea na Bosi wake ambaye alimuita ili kumkaimisha kuendesha kikao kwakua yeye alikua kaitwa ofisi ya mkuu wa mkoa.


Nguo zilizojaa mkojo ziikaukia mwilini, asubuhi ilikua ni siku ya kazi, baadahi ya mahabusu walichukuliwa kwenda kupelekwa mahakamani lakini yeye hakuchukuliwa. Kule ndani alibaki na Babu mmoja tu ambaye alionekana mchafu sana, alionekana kama chizi.


“Ukifika Jela watakuua, unaonekana mlaini laini, wewe ulivyo watu wanahasira na watu kama nyionyi!” Yule Babu alianzisha mazungumzo, Ally hata hakumsikia, akili yake ilikua mbali sana, kuna mambo mengi ya kazini alikua anahitajika kuyafanya.


“Tena wewe unabaka watoto?” Babu aliendelea, Ally aliona kama anampigia kelele tu, alinyanyuka mpaka mlangoni.


“Afande samahani, naomba kuuliza.” Aliongea kistaarabu, Kaka mmoja askari ambaye alikua kaunta alimsogelea.


“Naomba nisaidie hata nijue kwanini niko hapa, nasikia naambiwa tu nimebaka lakini ukweli sijui hata kesi yangu ni nini?” Aliongea kistaarabu, yule askari alimuangalia kwa dharau kisha akamuuliza.


“Hukuandika maelezo?” Alimuuliza.


“Hapana, nilikamatwa tu na kuuletwa huku, hata sijui kosa gani, mimi nilikua kazini narudi nyumbani nakuta askari wapo kwangu,. Nipo huku hata ndugu yangu mmoja hajui, ofisini hawajui niko wapi? Nina kikao na mkuu wa mkoa saa nane lakini sioni hata dalili za kuachiwa, angalau ningejua kosa langu kwani mimi najua kuwa si mbakaji?”


“Kwahiyo unamtaja mkuu wa mkoa ili tukuogope au?” Askari aliuliza.


“Hapana ndugu yangu, sio hivyo lakini sijui kabisa kinachoendelea, naomba angalau unisaidie kuuliza.”


Askari aliondoka, alienda kuongea na Askari mwingine mwanamke, alikua ni Mama mtu mzima kidogo.


“Unajua kabaka mtoto mdogo?”


“Anasema hajui kitu.”


“Wote wanasema hivyo, unafikiri yeye ni mjinga akuambie kuwa amebaka, mshenzi tu huyu, amembaka mtoto wa rafiki yake, yaani kila siku alikua akimuingilia!”


“Acha?” ndiyo hivyo jana ndiyo kabambwa, na sas ahivi mtoto you hospitali anaweza hata kufa halafu anajifanya hajui kitu!” Ule Mama aliongea kwa hasira, alinnyanyuka na kwenda mpaka kwenye mlango, akafungua kisha akamuambia.


“Si una kikao na mkuu wa mkoa basi toka!” Alimuambia, Ally alisita kidogo, lakini yule Mama alimsisitiza kuwa kama anataka kutoka basi atoke, kweli alianza kutoka lakini kabla hata ya kuvuka kizingiti cha mlango yule Mama alimkanyaga teke la tumboni, alimsukuma na kudondokea ndani.”


Mshenzi mkubwa wewe! Yaani unamfanya mtoto mdogo mke halafu uantaka kuonewa huruma, huendi popote na urafia humo ndani mshenzi wewe!”


ALLY HAMISI; UKIMUAMBIA MAMA YAKO ATAKUUA ANANIAMINI MIMI KULIKO WEWE! —SEHEMU YA NNE


Ally alirudi ndani, hakuruhusiwa hata kutoka wala kufanya chochote, alirudi na kukaa akiwaza mambo mengi. Alishangaa kusikia kabaka wakati jana yake muda wote alikua ofisini. Hakuruhusiwa kupiga simu wala nini, alibaki mahabusu mpaka mchana ndipo alikuja askari mmoja na kumuulizia. Alitolewa katika kile chumba cha mahabusu na kupelekwa kwenye chumba kingine, ilikua ni ofisi na ilikua ni kwaajili ya mahojiano, aliulizwa maswali mengi kuhusiana na siku yake ya jana na kujibu vizuri tu.


Aliongea ukweli, alitulia na kujibu kwa ufasaha, pamoja na kuchoka sana lakini alijitahidi kujizuia hasira. Katika ulizwa ulizwa ya maswali ndipo aligundua kuwa, alikua akishutumiwa kumbaka mtoto wa rafiki yake, mfanyakazi mwenzake Jack, alishangaa sana.


“Kale si katoto kadogo?” Aliuliza, askari aliyekua anamhoji alikua mstaarabu sana, hakumjibu vibaya. Kwa namna alivyokua anaongea ni kama alikua anamuamini amini lakini hakumuonyeshea.


Baada ya kuongea sana alirudishwa mahabusu lakini aliruhusiwa kupiga simu. Alichukua simu na kumpigia mchumba wake, Leyla (si jina lake halisi). Hakuongea sana na hakumuambia sababu, alimuambia tu yup kituoni kakamatwa na Polisi. Ally na Leyla walikua kwenye mahusiano kwa miaka 6, walikua washatambulishana na walikua katika mchakato wa kuoana, walishatambulishana.


Waliokua hawaishi pamoja na kwakua kila mmoja alikua bize na kazi na alikua akifanya mambo yake kimya kimya basi ni watu wachache sana walikua wanajua kuwa ni wapenzi. Leyla baada ya kuambiwa alishtuka, alicha kila kitu na kwenda mpaka kituoni, alikutana na mchumba wake ambaye alimuelezea kila kitu. Pamoja na kosa lenyewe kuwa kubwa lakini Leyla alikua akimfahamu mpenzi wake.


“Hapana bwana, kale katoto nakafahamu, hakuna kitu kama hicho, si yule ambaye siku ile nimekuja ofisini kalikua kamekaa na Mama yake?” Alimuuliza.


“Ndiyo, Mama yake ni rafiki yangu, sasa sijui nini kimetokea?”


“Anakutaka?” Alimuuliza.


“Kivipi? Kimapenzi? Hapana, yule dada tunaheshimiana sana, hawezi kunitaka, mimi nadhani kuna kitu, sijajua bado lakini nahisi kuna kitu.” Ally baada ya kuambiwa kuwa mtoto aliyekua anatuhumiwa kumbaka ni wa rafiki yake hakua na wasiwasi sana, alijua kuwa atatoka. Alijua kuwa Jack hawezi kuamini kuwa anaweza kumbaka mtoto wake.


Waliongea kidogo Ally akarudishwa mahabusu, alimtuma mchumba wake kwenda kuongea na mkurugenzi wake ili ajue kuwa nini kilikua kimetokea, hakutaka waambiwe watu wengi kwani ilikua ni aibu. Leyla pamoja na kuumia lakini alijirahidi sana asipaniki, alijua kabisa kuwa mchumba wake anamhiaji na aliapa kufuatilia mpaka kujua mwisho wake. Alikua anamuamini Ally kwa asilimia miamoja kuwa hawezi kufanya kitu kama kile hivyo hata hakushtuka alijua kuwa atatoka.


Baada ya kutoka pale alienda ofisini kwa mchumba wake, ni watu wachache sana walikua wakimfahamu, lakini pia walimjua kama rafiki na si kama mchumba wa Ally. Ingawa alitaka iwe siri lakini ilishavuja, kila mtu alikua anaongea, alikua anaongea kuwa Ally kakamatwa, wengi wakimshutumu kuwa anajifanya malaika si mtu wa wanawake kumbe anapenda watoto wadogo. Alikaa kama nusu saa tu lakini alishajua kuwa Jack alikua hospitalini na mwanae.


Kwa namna watu walivyokua wanaongea ni kama walikua washakubali kuwa mchumba wake anaweza kufanya kitu kama hicho. Alienda kuonana na Mkurugenzi, yeye alikua anamfahamu kama mchumba wa Ally, kwani alishamtambulisha, alimuambia hali ya Ally lakini ni kama nayeye alishamhukumu kwani alimjibu kwa mkato sana.


“Hayo ni mambo yake binafsi mimi hayanihusu, hakukamatwa kwa sababu za kikazi hivyo siwei kuingilia.” Mkurugenzi alimuambia, alimshukuru kwa muda wake na kumsikiliza kisha akaaga na kuondoka.


“Samahani unaitwa, umeambiwa urudi na mkuu.” Mlinzi alimuambia wakati anatoka getini, akijua kuwa labda kajisikia vibaya nakubadilisha mawazo alirudisha gari yake, akapaki nakutoka kisha akarudi tena kumuona Mkurugenzi. Aliingia ofisini kwake na mkurugenzi akamuambia akae, kama dakika kumi hivi mkurugenzi alianza kumuambia mambo amabyo hayaeleweki, hakuzungumzia kuhusu Ally bali alijikita katika kumsifia tu.


“Samahani mkuu, nilitaka kujua utanisaidiaje katika hili swala, maana naona kama vile mchumba wangu anaonewa.” Aliamua kumuambia baada ya kuona kuwa haongei kitu cha maana.


“Hivi mtoto mzuri kama wewe kwanini unahangaika na mbakaji, kwanini usiachane naye tu?” Alimuuliza swali ambalo lilimsimamisha Leyla kutoka kwenye kiti chake, alimuangalia kwa hasirta kisha akamjibu.


“Nashukuru sana kwa msaada wako mkuu, ngoja mimi niende.” Alinyanyuka na kuondoka bila kugeuka nyuma hata Mkurugenzi alipomuita tena. Alienda mpaka kwa mlinzi, alikua hana namba ya Jack, lakini aliitafuta pale kwa mlinzi akampa na kuondoka kuelekea kwenye hospitali ambayo alijua kuwa atamkuta.


****


Jane aliongea mambo mangi, maelezo yake yalichukuliwa, walitaka kumuuliza maswali lakini alikua kachoka sana. Waliamua apumzike na kama ni kuongea basi wataongea wakati mwingine akishapumzika. Walitoka na kukaa nnje.


“Itabidi mkimaliza hapa na wewe uende kuandikisha maelezo, kuhusu huyo mtu ambaye mwanao anamtaja.” Askari alimuambia, Jack alimkubalia huku akiwa na wasiwasi.


“Una uhakika ni Anko Ally, yule anayekujaga kwangu?” Jack alimuuliza mwanae, Jane alikua kachoka sana,a liitikia tu kwa kichwa huku akimlalia Mama yake mapajani.


“Mungu wangu, inamaana mimi ndiyo nimemleta mbakaji kwangu, Ant Ally si aliniambia kuwa ni shoga hasimamishi kabisa?” Aliwaza kimya kimya.


“Ally aliyekua akizingumziwa alikua ni rafiki yake wa muda mrefu, wakati anasoma chuo cha uhasibu Arusha, Ant Ally alikua na saluni yake maeneo ya Njiro, walikua marafiki sana na walikua karibu sana, alimjua kama shoga na kipindi hicho alikua akimtumia kumuunganisha na wanaume ambao wana pesa. Hata Baba wa mwanae ambaye alikuja kukataa aliunganishwa na Ally.


Alikua anamuona kama mwanamke mwenzake ndiyo maana kipindi chote alipokua akija dar kwa mizunguko na Biashara zake alikua akimruhusu kulala na mtoto wake na binti wa kazi.


“Hapana, Ally hawezi kufanya hivi? Huyu mtoto kakosea, atakua ni mtu mwingine!” Aliwaza, akili yake ilikataa kabisa kuamini kuwa Anty ally aliyekua anamfahamu angeweza kufanya hivyo.


“Hata kama kweli ana nguvu za kiume lakini si kwa mwanangu, Jane ni kama mwanae, yeye ndiyo akamlea. Hapana!” Alikataa katakata akili yake ilikua haitaki kukubaliana na ukweli. Alikumbuka wakati anajifungua, kipindi yupo chuoni mwaka wa mwisho, nyumbani kwao walimkataa katakata wakamfukuza na kugoma kabisa kumlipia ada ya semester ya mwisho.


Ally ndiyo alidanga huko na kule akamlipia, baada ya kujifungua pale Mount Meru alikua hana pakwenda, alirudi kwa Ally akaishi naye kama mdogo wake, alimlea Jane, kipindi cha mitihani kuna kipindi alilazimika kufunga saluni ili tu kumsaidia kumtunza mtoto wake. Yeye ndiyo alikua anaacha kazi zake na kumleta mtoto chuoni kumnyonyesha. Hakutaka kuamini kabisa kuwa anaweza kumfanyia kitu kama hicho.


Hasira alizokua nazo zilizidi mara mbili kuona kuwa mtu aliyekua anamona kama rafiki amemgeuka na kumfanyia mtoto wake ushenzi kama ule.


“Kuna mtu aliyekuambia useme hivyo?” Alitoa swali ambalo baadaye alikuja kujuitia. Jane kwa uoga alimjibu hapana kisha akamalizia.


“Nisamehe Mama, mimi sikutaka kufanya lakini alinilazimisha, nisamehe najua nimekuudhi Mama lakini sitasema tena kwa watu.” Jack alianza kulia, jane akaanza kazi ya kumbembeleza huku akijihisi kuwa labda yeye ndiyo kasababisha.


“Mama sitamuambia tena mtu kitu kuwa Anty kanifanyia hivi, mimi nitakaa kimya, sitasema tena Mama.”


Wakiwa wamekaa pale Dada mmoja mrafu kidogo, mweupe mwenye nyewe laini za kiarabu, alikua mwafrika lakini kama shombesombe flani hivi. Shape yake namba nane, akiwa amevalia suruali ya kitambaa na balauzi flani hivi nyepesi ambayo alikua kaichomekea khuku kinguo cha ndani kikionekana, alikua amependeza sana, alikuja pala walipokaa na kuwasalimia. Jacka liitikia vizuri, aimkaribisha kukaa na yule dada akakaa.


“Samahani naitwa Leyla, sijui kama unanikumbuka lakini nilishakuona ofisini kwenu kama mara mbili hivi.” Alianza kuongea, Jack alimuangalia na kumkumbuka, alishawahi kumuona tu lakini alikua hajui kama ni nani?


“Nakumbuka, nilishawahi kukuona, karibu, kumbe unafanya kazi huku?” Alimuuliza akidhani labda anafanya kazi pale na alikua kamuona ndiyo akaamua kumfuata.


“Hapana, nimekuja kukuangalia wewe. Nilipewa namba yakoofisini kwenu, ilikua nikupigie lakini wakati napita nikakuona nikasema nije kukuangalia.” Alimjibu kwa upole.


“Ohhh! Karibu, samahani, leo siko saw akabisa, nina matatizo, sijui hata nikusaidie nini maana kichwa changu hakiko sawa kabisa.” Aliongea huku akijitahidi machozi yasimtoke.


“Najua na ndiyo sababu ya kuja kukuona, kuna kitu nataka kuongea na wewe lakini nahisi kama ingekua vizuri tukaongea pembeni kidopgo na mtoto, sikutaka asikie.” Alimuambia, Jack aliangalia angalia, pembeni kulikua na askari mpelelezi ambaye walikua wote kwenye mahojiano, alikua kavalia kiraia, alimuomba kumuangalia mtoto wake na wao wakasogea kidogo tu.


“Ulikua unasemaje? Hembu ongea harakaharaka kwakua mwanangu yuko peke yake sitaki kumuacha mwenyewe.” Alimuambia huku akimuangalia binti yake ambaye naye alikua akimuangalia.


“Nadhani nijitambulishe vizuri. Mimi naitwa Leyla, ni mchumba wa Ally, ambaye amekamatwa kutokana na tukio hili. Sasa nilitaka tuongeee…” Leyla alianza kujielezea lakini hakumpa nafasi.


“Hivi una akili kweli wewe? Yaani mchumba wako kambaka mwanangu halafu unakuja kuniambia nyoko nyoko zako hapa! Hivi wewe ni mwanamke au nini? Kwahiyo umekuja hapa unataka kumtetea? Unataka kuniambia kuwa unamfahamu sana kiasi kwamba hawezi kufanya huo ushenzi! Niache wewe Dada, nyie vidada vya mjini mnaringa sana, unajiona mzuri sana!


Huyo mchumba wako mwenyewe anajishaua tu! Anajifanya mlokole kumbe ndiyo michezo yake hii kutoka na watoto wadogo! Kwa taarifa yako sitaki kusikia chochote kutoka kwenu, sitaki kabisa, unajiona mzuri kwa sura gani? Tena wewe si mwanamke hata wakuoa, mchumba wako ana matatizo unapata wapi muda wa kujipara namna hiyo!? Mshenzi mkubwa wewe yaani tena usinichefue!”


Aliongea sana, Leyla alitaka kuongea lakini hakumpa nafasi, wakati wote huo anaongea akili yake ilikua ni kwa mwili wa Leyla, namna alivyokua mzuri, sauti yake, shape, mguu na kila kitu vilimchanganya sana. Alimuoea wivu kiasi kwamba aliacha kuzungumzia mambo ya mwanae na kuanza kumchamba Leyla!


“Kwa taarifa yako huyo mwanaume atakuacha. Wewe muone tu vile, anajifanya tu mstaarabu lakini ni Malaya, mimi mwenyewe alikua ananitaka, alijifanya yuko karibu na mimi nilivyomataa kamgeukia mwanangu, wewe hangaika, sema tatizo vibinti kama wewe mkiwa na sura akili sijui mnapeleka wapi?


Hapo usikute kakuahidi ndoa ndiyo unahangika, sasa ni mbakaji, hii ni maisah Mama kama ni ndoa mtafuingia gerezani!  Huo weupe unakuchanganya lakini nikuambie ntu kuwa mtoto wangu ana thamani, na kama uilidhani atatoka ili kuja kukuoa basi ndugu yangu umekwisha!” Aliongea kwa hasira, Leyla alijaribu kumuomba amsikilize lakini aligoma, aliondoka mpaka kwa yule askari, alimnong’oneza kitu kisha akamchukua mtoto wake.


“Dada ondoka hapa, hutakiwi kuongea na huyu Mama.” Askari alienda kwa Leyla, alijitambulisha na kumuambia aondoke.


“Si kwania mbaya lakini, nilitaka kuogea naye kama mwanamke mwenzangu.” Alijibu kistaarabu lakini askari naye alionekana kumuonea wivu kwani alimuangalia juu chini, akamapanidsha na kumshusha kisha akamjibu kwa dharau.


“Binti unaharibu upelelezi, kama ni danga lako basi jua kuwa huyo mwanaume anaenda kuozea jela, nenda kutafuta mwanaume mwingine!” Alijibu kwa dharau kishaa kamuongoza kutoka nnje, alimsindikiza mpaka kwenye gari, akijua kuwa labda Leyla anaenda kupanda daladala alimuona anaingia kwenye Range Rover Nyeusi kali mpya kabisa.


Alisimama kwa muda mpaka Leyla alipoondoka, alirudi mpaka kwa Jack.


“Hiki kidada kina dharau sana.” Askari alianza kumuambia Jack.


“Kina ganga njaa tu, hamna lolote, kimeona mwanaume wake kafanya ubakaji atafia jela kinatetea kula yake.”


“Amekuja na Range Rover mpya, huyo utakuta kahongwa na mwanaume mwingine anakuja kumtetea mwanaume mwingine. Yaani wanawake tuna mambo!” Aliongea maneno amayo yalizidi kumchoma Jack, alitamani hata kunyanyuka kuenda kumuangalia.


“Ally mshenzi kabisa, yaani siku zote nipo nayeye nahangaika kumbe ana kimwanamke kingine kimalaya halafu eti anakituma kwangu, hizi ni dharaau za hali ya juu, sasa tuone kama watafika mabli, atafia jela mshenzi mkubwa yule, siwezi kumpenda bure na kupoteza muda wangu!”


ALLY HAMISI; UKIMUAMBIA MAMA YAKO ATAKUUA ANANIAMINI MIMI KULIKO WEWE! —SEHEMU YA TANO


Kwa hasira Jack alichukua mtoto wake na kuondoka mpaka nyumbani kwake, hakutaka mtoto wake kuendelea kuongea tena na mtu yeyote. Kichwa kilikua kinamuuma, njiani mawazo yake yote yalikua ni kwa Ally tu na mchumba wake, alifika nyumbani na kuingia ndani. Alikua kachoka sana, kuna binti alikua akiishi naye baada ya binti wa kazi kuondoka, alikua akija na kuondoka na wakati mwingine kulala, ni kama alikua anamuazima yule binti.


“Sitaki uongee na mtu yeyote, kaa ndani utulie, sitaki utoke, kaa hapahapa!” Jack alimuambia mwanae, kwa namna alivyokua na hasira, Jane hakuuliza kitu chochote, alitingisha kichwa kuona kama anakubali, alienda kwa Dada, alikua yuko sawa, kwakua alishazoea kile kitendo kwake aliona sawa tu. Jack aliingia chumbani kwake, akapanda kitandani kwa hasira kutaka kulala, lakini usingizi haukuja kabisa, alichukua simu yake na kuanza kutafuta namba ya Ally.


Alipiga simu, Ally alipokea na kuanza kujishaua kama kawaida yake akiongea kama rafiki, Jack alimsikiliza akajiongelesha mpaka mwisho, kisha akamuambia.


“Najua ulichokifanya kwa mwanangu mshenzi mkubwa wewe! Sasa kwa taarifa yako nitahakikisha kuwa nakufunga, wewe si unajifanya mseng** sasa nitakufunga ili wakakufanye vizuri wanaume wenzako!” Alitukana sana,a katoa hasira zake zote, Ally aliishia tu kukaa kimya, alipoona maneno yamezidi alikata simu na hakupatikana tena.


Jack alijua kabisa kuwa Ally mfanyakazi mwenzake alikua hahusiki katika kibaka mtoto wake, lakini alikua na hasira naye, alikua hataki kabisa kwenda kumtoa kutokana na wivu wake.


“Ngoja tutaona basi kama huyo wmanamke ataolewa! Eti Leyla! Leyla! Leyla kitu gani?” Alijiongelesha mwenyewe, alikua na hasira sana na kikubwa kilichokua kikimuumiza ni muonekano wake.


Siku iliyofauta Jane aliitwa kwajaili ya mahojiano zaidi, Mama Mwanasaikolojia aliyekua akimhoji alitaka kujua zaidi. lakini ghafla mtoto ambaye jana yake alichangamka na kutaka kuongea kila kitu alikaa kimya, aliacha kabisa kuongea na kugoma kabisa. Walimuacha, lakini yule mama hakuridhika, alitaka kuongea na Jack, kulikua na maswali mengi ambayo hayakukaa sawa.


“Huyo Anko Ally ni nani? Ni huyo mfanyakazi mwenzako aliyekamatwa, je mlikua kwenye mahusiano naye? Kwanini alikua anakuja kwako na ilikuaje ukamruhusu kulala na watoto wakike?”


Jack alikua hajajiandaa kwa hayo maswali, alipaniki sana na kujifanya kuwa hayupo tayari kuongea.


“Ilimradi mtu ashakamatwa mimi sijali, nianchojua nikuwa ataozea je,a hawezi kumfanya hivi mwanangu halafu nikamchekea!” Aliongea kwa hasira huku akilazimishia kulia, yule Mama hakumuelewa, alizidisha kumuuliza.


“Ndiyo huyo huyo! Ni rafiki yangu kweli lakini mimi nilikua simruhusu kuja kwangu! Sijui alikua anakuja saa ngapi lakini sijawahi kumruhusu mwanaume kulala kwangu, mimi si Malaya! Nahisi itakua ni njama ya Ally, alimlazimisha mtoto kuongea, atakua kammezesha maneno, lakini ninachojua kuwa ni yeye.”


“Hapana, haiingii akilini, wakati mtoto anaongea alikua anaongea kama mtu mzima, hakuonyesha kabisa kulazimishwa!” Yule Mama alimuambia lakini hakukubali.


“Inawezekana kamtisha mtoto kuongea uongo, Kama Mama anasema kuwa hakuwahi kumuingiza mwanaume nyumbani kwake unafikiri ni nini hapo? Aliweza kumbaka muda wote huo na mtoto hakusema anashindwa kumlazimisha maneno?” Askari ambaye naye alikua na chuki zake na Leyla aliongea. Ni kama walishakuwa kitu kimoja, waliongea maneno mengi kujaribu kumshawishi yule Mama lakini hakuonekana kuelewa, alisisitiza kuwa kuna kitu kinaichika.


“Mimi nadhani kazi yako umeshamaliza, kazi iliyobaki ni ya sisi polisi kufanya uchunguzi, sisi ndiyo ambao tutachunguza na kuamua ni kipi cha ukweli na kipi cha uongo.” Baada ya kuona kama Mama anakomaa hataki kuelewa yale maelezo Askari alimkatisha, alimchukua Jack na kunyanyuka naye, walitoka na kumuacha yule mama peke yake akiwa anashangaa kwani ni kama walikua na ugomvi.


“Usiongee na mtu mwingine yoyote, hii kezi niachie mimi, huyu Jamaa lazima aozee jela, hata kama ni askari mwingine usimambie kitu mpaka mimi niwepo, ukizubaa huyu Mama akiongea basi kila kitu kitakugeukia kwani utaonekana kama na wewe ulifanya uzembe.”


***


Kitu cha kwanza alichokifanya Leyla baada ya kuona kama mambo hayaeleweki ilikua ni kutafuta wakili kwajaili ya kumsiadia mpenzi wake. Tatizo ilikua ni polisi, walikua hawapo tayari kutoa ushirikiano kabisa, alikataliwa dhamana na ishu ya kupelekwa mahakamani ilikua mtihani sana. Wakili wake aliomba kuonana na Mama wa mtoto lakini alikataliwa, aliomba kuongea na daktari alikataliwa, aliambiwa kusubiri mpaka vipimo vya DNA kutoka ndiyo mambo yataendelea.


Ally alihamishwa kutoka mahabusu ya Polisi na kupelekwa Magereza bila hata kupelekwa mahakamani, kila kitu kilifanyika juu juu, hazikufuata taratibu zozote. Wakati wote huo alitaka kufanya mambo yake kimya kimya, hakutaka kumuambia ndugu yake hata mmoja, aliamini kuwa atatoka kwani alijua kuwa hana hatia na alikua akijipa moyo kuwa labda Jane akifunguka atamtaja mtu aliyemfanyia unyama na yeye kuachiwa.


Lakini alikua na imani sana na mchumba wake, alikua akimuamini Leyla kuwa ni jembe, mara kadhaa alijipa myo kuwa yataisha. Wakati wote huo hakukua na mfanyakazi mwenzake hata mmoja ambaye alienda kumusalimia, woe walimkwepa, wopte walijitenga naye na kuamini kuwa ni mbakaji. Marafiki waliokuja kumtembelea walikua ni wale wa mtaani.


Baada ya kuona mambo hayaendi kupitia wakili, Leyla aliamua kurudi kwa Jack, mwanzo hakupata nafasi ya kuongea naye vizuri, aliitaka nafasi hiyo. Alimfuata kazini lakini alipofika getini hakuruhusiwa kuingia, ni kama walijua kuwa ataenda pale hivyo mlinzi alichiwa maelezo kuwa asimkaribishe. Alikua na namba yake hivyo baada ya kuona kuwa haruhusiwai kuingia alipiga simu, lakini alipojitambulisha tu kuwa yeye ni nani simu ilikatwa.


Hakukata tamaa, alibaki anasubiri mlangoni mpaka alipotoka, hakuja na gari yake, alichukua bajaji na kumfuatilia Jack mpaka lipofika nyumbani kwake. Alipofika tu, akijua kuwa kama akiruhusu akaingia ndani hatafunguliwa mlango alishuka na kuanza kumuomba waongee. Jack kwanza alishangaa kumuona, alimuambia hataki kabisa kuongea naye na kama akiendelea kumsumbua basi atamuita mwizi, alimtukana sana lakini hakujali, alichotaka yeye ni kuongea ili kujua hatima ya mpenzi wake.


Hilo halikuwezekana, jack alipiga simu polisi, kuona vile Leyla aliondoka zake. Siku iliyofuata alienda kumuona mpenzi wake, lakini alizuiwa magereza kwa madai kuwa anaharibu uchunguzi. Kitendo chake cha kwanda nyumbani kwa Jack kiliwauzi sana askari, hata mwanasheria wake hakuruhusiwa kumuona. Ilikua ni siku ya nne lakini bado alikua hajapelekwa mahakamani na hakukua na dalili hizo.


Akiwa pale magereza alipigiwa simu kuwa anaitwa kuituo cha polisi, alifika na kukutana na yule dada aliyekua anasimamia kesi ya mchumba wake. Alimsalimia lakini hakumuitikia, yule dada alimgombeza, akamchamba wee mpaka basi, alimtishia kuwa kama akiendeela yeye pia atakaatwa kwa kosa la kutaka kuharibu uchunguzi. Jack alikua kituoni na alikua kashamkatia RB. Aliomba msamaha na kujishusha mpaka basi, alilia kama mtoto akapewa onyo na kuambiwa kuondoka.


Wakati anatoka Jack naye alikua anatoka, alikua kaambatana na mwanae kamshika mkono na wanaenda kuelekea kupanda Bajaji. Siku hiyo yeye alikuja na gari, hakutaka kuwasalimia, hakutaka hata kuwaangalia. Lakini wakati anapita karibu yao Jane alimuona, alianza kupiga kelele.


“Mamaaaa! Mamaaaa! Huyu dada ni yule anakaaga ofisini kwa Anko Ally mzuri!” Alipiga kelele huku akimuachia Mama yake na kumkimbilia Leyla. Wote wakiwa wameduwaa hawajui chochote alimfuata na kumkumbatia kisha akamuuliza.


“Anko mzuri yuko wapi?” Kabla hata hajamjibu Mama yake alikuja, akamshika mtoto wake na kummvuta.


“Nilikuambiaje usiongee na watu usio wajua, kwanini hunisikii, si kila mtu ni wakusalimia!” Jacka liongea kwa hasira.


“Lakini Mama mimi namfahamu, nikijaga ofisini kwako anakaaga kwa Snko Ally mzuri, yule ambaye anatupelekaga kula Icecream!” Jane aliongea huku akijivuta kutaka kujitoa mikononi mwa Mama yake kwenda kwa Leyla. Ni kweli alishawahi kumuona lakini walikua hawajawahi kusalimiana, alishangaa ni kwa namna gani mtoto mdogo kama yule alikua akimkumbuka.


Alifurahio aliposikia “Anko Ally mzuri.” Alihisi kitu, kwani kama kuna Anko Ally mzuri inamaana basi kuna na Anko Ally mbaya. Alitamani kwenda kuongea na jack ili wayamalize lakini alijua kuwa kama akienda basi anaweza kukamatwa. Jack alikua kakasirika, anamtishia kukaa mbali na mwanae,a likua akitukana hovyo hovyo, kuona vile ili kuepusha shari aliingia kwenye gari yake na kuondoka, hakutaka kuendelea kupoteza muda kwani alijua anaweza kukamatwa.


***


Hilda (sio jina lake halisi) askari ambaye alikua akisimamia ile kesi alirudi ofisini kwake, alikutana na askari mwingine mwanaume, Samson (sio jina lake halisi) ambaye pia alikua anahusika na ile kesi.


“Hatuwezi kwenda mahakamani?” Hilda alimuambia Samson wakati wakijadiliana.


“Kwanini? Kwani vipi?” 


“Huyo Kaka hahusiki, hahusiki kabisa, kuna mwanaume mwingine ndiyo anahusika, nimemsikiliza mtoto yaani hii kesi imeisha. Huyu Kaka kabambikiwa kesi, na Mama wa mtoto naona kama ana wivu fani, atakua alikua anamtaka, kwani hataki mtoto wake aongee tena, lakini tukienda mahakamani, mtu yeyote mwenye akili akisikia ushahidi wa mtoto basi tutaonekana wajinga.” Alimuambia Samson.


“Kwahiyo? Tunafanya nini, si kumuachia, tumtafute huyo mhusika?” Samson aliuliza.


“Hapana, huyu yamaa pesa ipo, tupige kwanza pesa ndiyo tumuachie, kuna kimwanamke chake, kimekuja kinaonekana kina pesa, kina dharau lakini inabidi wewe uwe upende wake, ujifanye kama unataka kumsaidia tupige hela. Bila hivyo hii kazi itakua bure kabisa.”


“Kwahiyo hii dili tunaipigaje, maana ni lazima tumpeleke mahakamani?”


“Hapana, tuizime kwanza, tukienda mahakamani waandishi wa habari watakuja, kitanuka, kuna yule Daktari anaonekana ni mtu wa principle, hakuna namna tunaweza kumuingia, hii ngoma tunatakiwa kuimaliza kimya kimya, mimi na wewe na yule dada.


“Hii ishu ni ya  siku mbili, yule dada anatakiwa kutoa pesa leo au kesho, zaidi ya hapo itakula kwetu. Acha huruma zako, tunamsaidia kweli lakini nayeye ajisaidie, wana pesa wale, ile gari anayoendesha yule dada ni zaidi ya milioni 200, akitoa kumi kuna ubaya gani?” Hlada aliuliza kwa kujiamini.


“Kumi? Kirahisi namna hiyo, nitamuingia kwa namna gani mpaka atoe milioni kumi?” Samson alidhani kuwa bosi wake anatania lakini alikua siriasi, alikua anamaanisha kweli anataa milioni kumi ndani ya siku mbili.


“Aatatoa tu, akisikia mambo watakayomfanyia mchumba wake huko magereza atatoa, aanaonekana kumpenda mchumba wake, nina uhakika milioni 10 si kitu kabisa kwake!” Ni kama alishaweka mipango yake sawa alikua anampa tu Samson taarifa, ingawa alikua akikubali lakini Samson alikua na wasiwasi sana.


“Mhhh! Watamfanyia nini?” Alimuuliza.


“Hutakiwi kujua kila kitu, wewe kazi yako ni kumtafuta yule dada na kumuambia kuwa unaweza kumsiadia, nina uhakika kesho akiamka na kwenda kuongea na mchumba wake atapata msukumo wa kutoa chochote ilia toke.”


“Unanitisha unajua?”


“Unatishika nini? Anahitaji push kidogo, kitu cha kumsukuma kuongea na mchumba wake ilia toe pesa. Hatutamdhuru ila nina uhakika atapona, kama mtoto mdogo anaweza kubakwa na akavumilia naamini hata yeye wenzake wakimgusa kidogo hatakufa ila itamsukuma kidogo kumhamashisha mchumba wake kumalizana na sisi.”


ALLY HAMISI; UKIMUAMBIA MAMA YAKO ATAKUUA ANANIAMINI MIMI KULIKO WEWE! —SEHEMU YA SITA


Neno “Anko Ally” mzuri lilikua haliondoki kichwani kwake, alijua kuwa mtoto hadanganyi, kama ameweza kumkumbuka yeye kawakua alimuona siku moja au mbili ofisini kwa mchumba wake basi kuna uwezekano mkubwa anakumbuka mchumba wake kama mtu mzuri na kuna mtu mwingine mbaya. Alishahisi kuna mchezo unachezwa lakini alijua kuwa, si polisi wala Jack anaweza kumsaidia, alihisi kuna njama hivyo ilikua ni lazima kufuatilia.


Pamoja na kukulia katika familia ya kitajiri lakini Leyla alikua ni mtu wa mtaa, alikua anajua ni watu wa aina mbili wanaofahamu kila kitu. Kwanza ni Maderava, Tax na Bajaji na Bodaboda, lakini pili ni mateja. Hawa wanajua kila kitu kinachoendelea kwenye maisha ya watu zaidi ya akina Mama wambea ambao hawapitwi na kitu. Aliahca gari yake nyumbani kwa mchumba wake, alivaa kisela, akachukua Bajaji mpaka karibu na nyumbani kwa Jack, Mita kama mia hivi kulikua na duka la vityu vya kula.


Alienda na kuagiza soda, wakati anakunywa alianza kumuongelesha muuza duka, alimuuliza ni wapi ambapo anaweza kupata Bajaji.


“Kuna mtu ambaye uinamjua unamuamini, mwenyeji wa maeneo ya hapa, nataka mtu wa kuzunguka naye kutwa nzima.” Aaliongea.


“Kwani kuna nini Dada, unataka kuzunguka wapi?”


“Hapa hapa tu, nahitaji mtu ambaye anajua mitaa hii vizuri, mwenyeji wa hapa.” Aliongea, muuza duka hata hakuuliza sana, alichukua simu yake na kupigia namba moja, baada ya kama dakika kumi hivi alikuja kijana mmoja na Bajajei yake, hawakuongea sana, alimpa muuza duka noti ya elfu tano na hakudai chenchi.


Aliingia kwenye Bajaji na kumuambia yule mtu waondoke.


“Tunaelekea wapi Dada?” Alimuuliza.


“Tuanze kuzunguka, nataka kiwanja maeneo haya, kabla ya kutafuta dalali nataka kujua kwanza maeneo, si unajua Madalali wanavyosumbua, akama hujui kitu wanakuzungua, hembu pita hapa.” Alimuambia huku akimuelekeza kupita karibu na nyumba ya kina Jack.


“Kanyumba kazuri sana.” Alisifia wakati wanapita, alidhani dereva ataongea chochote lakini hakuongea, walianza kuzunguka, alikua akisomama kila sehemu kuangalia viwanja, kuulizia kama kuna kiwanja au la. Baada ya mdua walizoeana na yule Derava, alipoona wameshazoeana alimrudisha karibu na Jack. 


Alimuambia washuke na kuanza kuulizia kuhusu kiwanja cha jirani kisha akaanza kuulizia Jack.


“Kanyumba kazuri, kuna mtu anaishi humo.”


“Ndiyo, kuna Mama mmoja yupo Halmashauri, si yule mtoto wake alibakwa!” Alianza kuelezea, Lelyla alikua makini sana kusikiliza, alijifanya kama hataki kusikiliza lakini aliuliza maswali kama vile hataki.


“Alibakwa?”


“”Ndiyo, ana kabinti kake hapo, kana akili sana mimi huwa nawabeba ara kwa mara, wamasema kuna jamaa kamekabaka huko ofisini kwao.”


“Mhhh! Binadamu hawa, mtu mzima anabaka katoto? Kana umri gani?”


“Nikadogo, kako darasa la kwanza au la pili, lakini sishangai, unajua huyu Mama hajielewi. Anaingizaga mashoga humu ndani, kuna shoga mmoja alikua anakuja hapa, mimi nishambeba sana, na kuna binti yake wa kazi aliondoka na mimba ya huyo shoga, alikua anatembea naye.


Sasa wewe fikiria, Mama anafanya kazi, anamlet shoga ambaye anagonga na kugongawa, anakaa humu ndani hata wiki, mchana yote anamuacha na mtoto. Kale kabinti kenyewe ni Malaya tu, sasa unategemea nini?”


“Mhh! Shoga? Shoga anaweza kufanya mapenzi?”


“Dada wewe unabisha nini? Mimi nakuambia kuwa, huyo binti yao wa kazi mimi ndiyo alikua mtu wangu. Alikua anahongwa sana na huyo Shoga, si alikua ananiambia kila kitu, sasa hembu wewe fikiria, huyo Mama alikua anamlaza shoga chumba kimoja na binti wa kazi na mtoto wao. Si unaona hiyo nyumba, ni kubwa lakini ndani haijamalizika vizuri.


Ukiingia kuna sebule na vyumba vitatu, lakini viwili ndiyo vimeisha, yaani kimoja na jiko havijafanyiwa finishing. Mimi nilishaingia hapo sana kupiga mzigo, na nikuambie tu, kale katoto nina uhakika hata akakubakwa, kuna washikaji wanaingia usiku, wanafanya mapenzi na huyo binti mtoto anaangalia. Sasa kama alikua anafanya na huyo shoga, kwanini asiwachanganye wote?”


Yule kijana wa Bajaji alionge mambo mengi, alikua anajua kila kitu kuhusu ile nyumba, sababu ya kuachana na huyo binti wa kazi nikwakua alikua anatembea na washikaji zake wengi na aligoma kumpa pesa tena ndiyoa kaamua amuache.


“Huyo shoga unamfahamu?”


“Anko Ally, anani asiyemjua yule Malaya. Mbona anatongoza wanaume kabisa, yaani akija yeye ni kugawa pes atu na vijana wengi wanagonga, mimi sijawahi ila namebbaga sana na anatongoza watu sana.” Leyla alishapata alichokua akikitaka, hakutaka kumshtua yule Kaka kuwa yeye ni nani? Alishajua kuwa Anko Ally mbaya ni nani hivyo alitaka kujipanga kwanza, kuongea na mpenzi wake kabla ya kwenda polisi kwani alikua hawaamini sana.


“Nipe namba yako, nimeona maeneo mengi, nityakutafuta kesho au kesho kutwa ili kujua nini kitaendelea, nikitaka kununua nitakucheki.” Aliongea huku akitoa noti tano za elfu kumi kumi. Dereva alishangaa kwani walitumia kama masaa mawili tu pamoja.


“Hapo nimekuchukua kutwa nzima, nikikutafuta wewe tu pokea simu zangu kwani ndiyo kama dalali wangu. Mazungumzo yetu yaishie apa, watu wasijue nilitaka nini, si unajua watu wakiona mtu anataka kitu wanapandisha bei na madalali wanaingilia.”


Dereva alikubali na kumuambia kuwa hawezi kuongea chochote, alimrudisha mjini, alipanda Bajaji nyingine na kurudi kwa mchumba wake.


Alichukua gari na kurudi magereza, alitaka kwenda kumuona mchumba wake lakini alipofika alikataliwa. Aliuliza sababu hakuambiwa, alisikia tu polisi wamesema asionane na mtu mwingine basi. Alirudi kwenye gari akitafakari nini cha kufanya, alichukua simu kumpigia wakili wake ili kumuambia yaliyojiri. Lakini kabla ya kufanya hivyo simu yake iliita, ilikua ni namba mpya, aliipokea na mtu wa upande wa pili alijitambulisha.


“Unaongea na Afande Samson, ni mpelelezi kwenye kesi ya mchumba wako, namba yako nimeipata hapa kituoni. Najua hatujaongea kwani mimi ndiyo nimepewa tu hii kesi ila nahitaji kuongea na wewe, kuna mambo ambayo hatuwezi kuongea kwenye simu, kama una muda niambie upo wapi tuonane, nnje ya ofisi lakini.” Alimuambia, Leyla alisira kidogo, alijaribu kumshawishi ili amdokezee hata kidogo lakinia Samsona ligoma kabisa, hakua na namna alikubali kumsikiliza, walipanga na kukutana sehemu.


“Kuna kitu hakiko sawa katika kesi ya mchumba wako?” Alianza kumuambia, Leyla alishajua kuw2a kuna kitu hakiko sawa lakini alijifanya mjinga.


“Kitu gani hakiko sawa, unahisi labda mchumba wangu hajabaka?” Aliuliza.


“Sio kama nahisi, najua kuwa hajabaka, naamini nawewe unajua ndiyo maana uko hapa.”


“Mhhh! Sasa kama unajua kwanini hamumuachii na kumkatmata mhusika?” Aliuliza, ni kama alishajua alichokua anataka yule askari.


“Sio kirahisi Dada yangu, hii kitu naona kama ishaingia siasa, kuna watu wanamtafuta mchumba wako, kwanz ani huko ofisini kwake, kuna mambo hayajakaa sawa, nahisi kuna watu walikua wanamtaka muda mrefu sasa wanataka kutumia nafasi hii kumbambikizia mambo mengi. Kuna mambo siwezi kukuambia lakini nahisi wewe unajua mambo ya ofisi yalivyo. Mimi ni mtu mdogo sana, kuna watu wakubwa wanahangika na hii kesi, si unajua siasa za siku hizi. Ishu kama hii ni dili sana, hivi wewe unafikiri ni kwanini bado hajapelekwa mahakamani?”


“Mimi sijui, labda uniambie wewe?” Leyla alikua kachoka, alitaka kumuamini sana yule askari lakini kuna kitu kilikua kinamuambia hapana.


“Kesi kama hizi sio za Polisi tu, kuna na wanasiasa, ni mtoto kabakwa, sasa inatakiwa kuonekana hatua zinachukuliwa. Ni lazima apatikane mtuhumiwa, akipelekwa polisi wakubwa wasimame kwenye vyombo vya habari, waongee kuokenana kama vile wanafnaya kazi, kuonekana kama jeshil la polisi linafanya kazi kubwa sana, kitakachotokea huko mbeleni hakuna anayejali, mshinde kezi, msishinde lakini watu washapata umaarufu wao na maisha yanaendelea.”


Leyla alijua kuwa ni rushwa inahiotajika, mazungumzo ya yule askari yote yalionyesha kuwa Polisi wanajua kila kitu wanataka tu pesa.


“Sasa utatusaidiaje?” aliuliza.


“iko hivi, siwezi kukuficha, kuna wakubwa wengi wanahusika, na kwakua hakuna mtuhumiwa ni lazima kutafutwa mtu mwingine ambaye atabeba lawama, la sivyo ataoze ajela. Sasa wewe ni mtu mzima, kuna namna ambayo unaweza kusaidia kulainisha watu, si rushwa lakini ndiyo kusaidiana, akiendelea kukaa mahabusu, uchunguzi ukiendelea nina uhakika atafikishwa mahahakamani, na aksihafika huko wewe unajua awe na kosa asiwe na kosa atakua kashadhalilika.”


Waliongea sana mwisho wa siku yule askari hakuzunguka, alimuambia kuwa kama ana milioni ishirini basi atamsaidia, ilikua ni pesa nyingi sana kwake kuitoa kwa wakati ule. Ni kweli alitoka katika familia ya kitajiri na wazazi wake walikua wana hiyo hela, akini mpaka wakati huo walikua hawajajua kama mkwe wao kakamatwa na alijua watajua ila kama akitpa pesa ili kauchiwa basi ni kama kukiri kuwa mchumba wake amekosea hivyo wasingemuamini tena na wasingeruhusu kuolewa naye.


Aliwaza san ampaka akashindwa, aliomba kuonana na Ally ili kuongea naye kama ana kiasi chochote cha pesa. Samson aligoma kupunguza akimuambia kuwa kuna wakubwa wengi wanahitajika kuhongwa hivyo afanye harakaharaka watafute mtuhumiwa mwingine kabla ya kesi haijafika mahakamani.


“Ikishafika mahakamani ishu inakua si yetu tena, ni mambo ya DPP na mahakama.” Alimuambia, aliongea na magereza na Leyla aliruhusiwa kuonana na mchumba wake. Kwanza alimuambia kuhusu ugunduzi wake, pilia kamuambia kuhusiana na Polisi walivyosema.


Ally hakutaka kuwaamini Polisi, alimuambia kuwa anaweza kwenda, akawapa hizo pesa lakini bado wakamgeuka. Lakini Leyla alimsihi na kumuambia kuwa wajaribu kwani ndiyo maisha, kama ni pesa watatafuta nyingine.


“Hawana keso hao watu, waambie wachukue milioni tano, wape na huyo Ally mwingine, wakijua kuwa na wewe unajua na una utetezi watakubali. Lakini ongea na wakili kwanza, yeye anafahamu haya mambo, anajua jinsi ambavyo mambo yanaenda, hembu ongea naye akuope muongozo.”


“Hapana tutaharibu, yule askari alisema kabisa kuwa hahitaji kujulikana, kama unafanya tufanye sisi kama sisi, na si kumshirikisha wakili, alisema tukimgusia wakili basi dili limekufa.” Leyla alimuelezea.


“BVasi fanya hivi, mtafute na muambie kuwa unajua mhusika, muambie kuwa una milioni tano, kisha muangalia atasemaje,  najua hawezi kuikataa kama akijua kuwa hawana kesi.” Waliongea na kukubaliana hivyo, hicho ndiyo kiwango pekee ambacho Leyla alikua nacho, Ally alikua na pesa lakini zilikua benki, asingeweza kutoa kwa wakai huo, wakakubaliana achukue hiyo milioni tano yake kisha kama atakomaa zaidi basi wafanye siku inatofuata.


Baada ya kutoka Leyla alifranya kama alivyoambiwa, Samson alishtuka sana kujua kuwa kumbe anajua kuhusu mtuhumiwa mwingine. Alipoambiwa na kupewa maelezo alikubali kuchukua milioni tano, alkinia limuomba kwanza ampe mua ili akaongee na mkubwa wake, ila alimuambia akajiandae wakati wowote atamtafuta. Leyla alishukuru Mungu, alienda kuifatuta hiyo pesa lakini mpaka usiku samsona likua hajamtafuta na wala hapatikani kwenye simu.


“Kale kadada kana akili sana, kamechunguza kila kitu, nasikia leo kalikua huko. Sasa sijui itakuaje, ameniambia atatoa milioni mbili, kama hataki kesho wanaenda ngazi za juu kulazimishia mtu wake kupelekwa mahakamani kama hakuna uhsahidi basia achiwe.” Samson alimuambia Bosi wake Hilda, pamoja na Lelya kukubali kutoa milioni tano lakini yeye alipunguza tatu nzima. Mwanzo Hiolda alitaka miliooni kumi yeye akaenda na ishirini, alipokubali tano akapunguza na kwenda na mbili.


“Msheni kabisa,a natuona kama vile sisi ni mapoyoyo, angalau absi angetoa hata milioni tano. Hizi ni dharau, mtu ana pesa lakini anakua mbahili, sasa kataa hiyo pesa, lakini nina uhakika kitakachomkuta mchumba wake kesho hata hamsini atatoa!” Hilda aliongea kwa hasira, ilikua ni pesa nyepesi sana kwake, alijua kuwa ataipata lakini alishangaa kwanini kakataa, Samson alimsihi sana kupokea ile pesa lakini aligoma kabisa, hakutaka kuichukua, muda wote alikua akitishia kuwa kitakachomkuta ni lazima atakubali kuitoa tu apende asipende. Alimuambia Samson asifanye chochote, amuambie haaki milioni mbili na hawezi kumsaidia tena.


****


Kule gerezani walikua wamejazana sana, chumba kimoja kidogo walikua wanalala watu hata nane, tangu kuingia Ally alikua analala na wazee wanne watu wazima, kulikua hakuna kulala, ni kujiegesha tu basi. Lakini siku hiyo alishangaa kubadilishiwa watu, aliletewa vijana watatu tu na wale wazee wakatolewa. Kwakua alikua hajui utaraibu wa hapo aliona kama ni kitu cha kawaida tu, hakukua na salamu walikuja na kila mtua kawa na mambo yake.


Kwakua yeye ndiyo alikua mwenyeji alipata kasehemu kakulala, wale wengine nao walijiegesha egesha, lakini usiku kuna kitu kilikua kama kinamsumbua falani alishindwa kabisa kulala, alikua akigeukageuka na wakati mwingine kulazimika kunyanyuka na kukaa. kila alipokua akinanyanyuka aliona na wale watu wanajigeuza, alikua na wasiwasi sana, akasimama kabisa, hakutaka kulala, alihisi labda kuna kitu kibaya.


Hali hiyo iliendelea mpaka kwenye saa nane hivi za usiku, alichoka kusimama na kukaa, alilala chini, lakini ile tu anaweka kichwa chini wale vijana walimvamia, walimshika kwanguvu na kumkandamizia chini, alianza kupiga kelele lakini hakuna mtu aliyekuja. Mmoja wa wale vijana huku wenzae wakiwa wamemshikilia chini alianza kumvua suruasli yake, alijua kilichokua kinaaka kutokea. Alijitahidi kujitoa mikononi mwao, alipigana sana mpaka kafanikiwa, aliwazidi nguvu na kuanza kupigana nao.


 Bado alikua chini, akirusha ngmi kwa juu, wale vijana nao pamoja na kuzidiwa nguvu lakini walijitahidi kumpiga kwa pale chini. Mara mmoja alichomoa kisu, akakirusha na kilimpata Ally Katikati ya jicho. Alikisindilia kile kisu, damu zilianza ktutoka kwa wingio. Ally alipiga kelele sana, aliacha kupigana na kushikilia hicho lake lililokua likivuja damu. Wale vijana kuna kama katulia waliendelea kumvua nguo, alijitahidi kujitoa kwao lakini damu nyingi zilikua zinamtoka, maumivu yalikua makali na nguvu zilikua zinamuishia.


ALLY HAMISI; UKIMUAMBIA MAMA YAKO ATAKUUA ANANIAMINI MIMI KULIKO WEWE! —SEHEMU YA SABA


Ally alijua walichokua wanataka kumfanya, pamoja na maumivu makali lakini hakua tayari kufanyiwa vile. Alitulia tuli kukusanya nguvu, aliwaacha wahisi kama vile wameshinda, alikua katika maumivu makali lakini akili yake ilikua inafanya kazi harakaharaka. Alimuacha yule kijana kumvua nguo zake, alibaki kama vile alivyozaliwa, wakati huo wale wengine wawili waliokua wamemshika waliona kama kazidiwa, walilegeza mikono kidogo kila mmoja akitaka nafasi ya kumfanyia ule unyama.


Akiwa pale chini, alipoona wmetulia alifanya kitu ambacho ilikua ni kuamua kati ya uhai na kifo. Kisu kilikua kwenye jicho bado hakijatoka, alijua kabisa kuwa, kama akikitoa basi zingemtoka damu nyingi na hata kufa. Lakini kisu kile ilikua ndiyo silaha pekee aliyokua nayo, alijua kuwa, kama asipokitoa na kukitumia basi wangemfanyia kitu kibaya na asingeweza kuishi akijua kuwa ameshafanyiwa kitu kama hicho.


Alivuta pumzi zake kwa nguvu, alinyanyua mkoo na kushika kile kisu kwenye jicho lake, hgalfa wakijua kuwa ameshakata moto alinyanyuka, alimchoma mmoja wa wale vijana kisu cha kifuani, hakukiachia hapo, alikitoa na kuanza kukkirusha kwa wengine. Badala ya kumdhibiti walinyanyuka na kukimbilia mlangoni, walikua wakipiga kelele za maumivu. Wakati huo Ally damu zilitoka nyingi kwa wakati mmoja, aliishiwa nguvu akadondoka na kupoteza fahamu.


Kwa bahati askari wa zamu alisikia kelele, ulikua kama mchezo uliochezwa kwani mwanzoni wakati Ally anapiga kelele hakuzisikia, alikaa tu, lakini baada ya kusikia kelele za wale wafungwa wengine alifika pale. Kuona ile hali aliita askari wenzake, Ally na kijana mmoja amay elaijaruhiwa sana walitolewa na kupelekwa hospitalini kwa matibabu. Hali ya Ally ilikua mbaya sana ukilinganisha na wale wengine ambao walikua na majeraha ya kawaida tu.


Leyla alipata taarifa za kuvamiwa kwa mpenzi wake kutoka kwa Samson, ilikua ni asubuhi sana, alipigiwa simu na Samson alijifanya kumuonea huruma. Alimuambia kuwa mpenzi wake kavamiwa na wafungwa wenzake na kajeruhiwa. Alikua katika hali mabya hivyo alimuambia kuwa kama anahitaji masaaada wake basi huu ndiyo wakati kwani hajui ni baya gani linaweza kutokea. Tofauti na alivyodhani kuwa labda Leyla atapaniki, atachanganyikiwa hali ilikua tofauti.


“Yuko hospitali gani?” Alimuuliza, Samson alimjibu na kumuambia pamoja na kuvamiwa lakini bado hajapata dhamana, alianza kujielezea kuwa kile ni kitu cha kawaida mahabusu hivyo akipata nafuu atarudishwa kulekule kwani hana dhamana na kutokana na kesi ilivyokaa basi anaweza kudhurika zaidi. Leyla hakupaniki kabisa, alimsikiliza mpaka alipopata maelezo yake na kumkatia simu hata kabla ya kumaliza kuongea.


Samson alimpigi simu nyingi sana lakini hakupokea na wala hakujali, alienda mpaka hospitalini lakini hakuruhusiwa kuingi kwani alikua akifanyiwa upasuaji na kulikua na ulinzi, aiijitambulisha kama mpenzi wake na kukaa kusubiri. Wakati wakiwa pale Samson na Hilda walikuja pale, alikua na hasira sana lakini alijizuia, walimsalimia na kumpa pole. Aliitikia tu vizuri, alisubiri kama masaa mawili hivi ndipo aliruhusiwa kwenda kumuona.


Ally alikua ameumia sehemu ya juu ya jicho, kisu kilikua kimepiga kwenye jicho lakini hakikutoboa jicho, kiliteleza kwa pembeni hivyo kuna mishipa kasha ndiyo ambayo iliguswa lakini sehemu kubwa ya jicho iliku sawa. Lakini hali yake bado ilikua mbaya, alimuangalia kwa uchungu na kutoka nnje, akina Samson bado walikua pale. Alitoka na kuomba kuongea nao, alitaka kwenda kuongelea nnje kwani kulikua na watu wengi.


Wakati wanatoka Samson alimuambia kuwa anahitaji kuongea na yeye peke yake, lakini Leyla alikataa, Samson alisisitiza lakini bado alikataa.


“Jana tulielewana, ulikuja kwangu ukaniambia kuwa unahitaji milioni 20, niakuambia sina, tukakubaliana milioni tano, leo nilikua tayari kukupa kwakua sikua nikihitaji maulumbano na polisi, lakini narudi mmenifanyia hivi, aisee, ombeni mpenzi wangu apone, ombeni sana aweze kuona tena, kwa maana hamnijui na hamjui kitu ambacho nitawafanyia!”


Aliongea kwa utaratibu kabisa lakini kwa kumaanisha, Samson alikua anatetemeka kwa uoga, baada ya kutajwa milioni 20 na milioni tano alimuona namna Hilda alivyokua akimuangalia kwa hasira.


“Unamaanisha nini? Hayo mambo ya pesa yanatoka wapi tena?”  hilda alijifanya kushangaa, alijifanya kutokujua kitu chochote kile.  Alikana kabisa kujua mpango wao, Samson naye alijitetea kuwa hajui chochote na hawajawahi kuongea kitu.


“Uliponipigia simu tu nilijua kuwa unataka rushwa, lakini kuna siku rafiki yangu mmoja aliwahi kuniambia, hata kama polisi ni rafiki yako namna gani basi usimuamini. Kwa maana hiyo nilipokuja kwako nilikua nimeshika simu zangu mbili mkononi, nilijua kabisa kuwa lazima utazikagua na uataka kuzizima ili nisikurekodi, kweli ulifanya hivyo, uligakua, ukazizima, ukaangalia kwenye pochi sikua na kitu.


Lakini ulisahau kukagua matoto yangu, nilikua na kasimu kengine kadogo tu ambako kalikua kametulia kanarekodi kila kitu. Naomba sikiliza, kuna watu umewataja kuwa wanahusika na hili swala, wanasiaasa, wakubwa huko polisi na watu kibao, nina uhakika kesho nikiongea na waandishi wa habari basi utawataja vizuri. Najua huu ushahidi unaweza usifae mahakamani ila sidhani kama mabosi wako wataupenda.”


Aliongea huku akitoa simu ndogo aliyokua kabeba na kuiwasha, alianza kuwasikilizisha kila kitu alichokua anaongea Samson. Walishangaa, Samson alitaka kumnyang’anya lakini alimpa na kumuambia.


“Hivi kumbe umpumbavu kuliko nilivyokua nikidhani, yaani unafikiri mimi ni mjinga kiasi hicho nije na oriigional. Najua mnajua cha kufanya, nawaachia hiyo mkasikilize, kama mpaka jioni mchumba wangu atakua ajaachiwa basi mtaisikilizia kwenye vyombo vya habari. Sikua na mpango wa kuitumia lakini kwa mlichofanya basi sina namna.”


Aliwakabidhi kale kasimu na kuondoka zake, hakurudi hospitalini, aliingia kwenye gari yake  na kuondoka. Huku nyuma Samson na hilda walianza kugombana, Hlda alimlaumu kuwa kumdanganya.


“Ungeniambia katoa milioni tano tusingefika huku!” Alianza kulalamika, Samson naye hakukubali, alimlaumu kwa kumuambia kuwa anajua kuwa yeye ndiyo alifanya mpango mpaka Ally akavamiwa hivyo wanapaswa kurekebisha hiyo ishu ili wasijekuharibu kazi yao.


Walijadiliana nini cha kufanya na kukubaliana kumkamata Jack kwa kosa la kudananya polisi na kumlazimisha kumtaja mhusika mwenyewe ambbaye ndiyo alimbaka mtoto wake. Walimpiia simu ambaye aliwaambia yuko kazini, palepale walitafuta gari, walienda kumkamata, wakampiga pingu akawekwa mahabusu. Ally aliachiwa huru ingawa aliendelea kubaki hospitalini. Jack alilala pale siku moja, baada ya kubanwa sana alieleza ukweli.


“Mhusika ni Ally, Ally Hamisi, yeye alikua ni rafiki yangu, mimi nilijua kuwa ni shoga lakini kumbe ni mwanaume kamili.” Alielezea kila kitu, alipolizwa ni kwanini hakusema mwanzoni aliwaambia.


“Mimi nilitaka kusema na kuwaambia kuwa Kaka wa watu hahusiki lakini wewe ndiyo uliniambia kuwa nisiseme chochote utashughulikia, wewe ndiyo ulikua unapeleleza hii kesi na nilikua nakusikiliza wewe!” Walitaka kumbambikizia kesi lakini alikua anajua haki zake, aliongea kwa kujiamini.


Kwakua mambo yalishaharibika walimuachia, walianza kumfuatilia Ally Hamisi lakini baada tu ya kuongea na Jack na kusikia kuwa kagundulika aliondoka kusiko julikana. Kwakua askari walikua wanahusika kwenye mambo mengi hawakufuatilia ile kesi, baada ya kama miezi miwili hivi Ally alipona jicho lake na kuendelea kuona vizuri. Alirudi ofisini kwake kama vile hakuna kitu kilichotokea, walijifanya kumpokea kwa Bashsaha lakini wala hakujali, yeye alifanya tu kazi zake kama vile hawaoni.


Kipindi ana matatizo hakuna rafiki yake hata mmoja ofisini alienda kumuona, hakujali, aliwaongelesha vizuri tu kama vile hawakumkosea kitu. Jack alishindwa kufanya kazi pale na kuomba uhamisho, mkurugenzi alimitishia harakaharaka na kuondoka na mwanae. Ally na Leyla waliendelea na mipango yao ya ndoa, hawakufuatilia tena ishu ya Polisi, baada ya Ally kutoka waliachana kabisa kujishuhulisha na ile kesi.


***MWISHO

0 comments:

Post a Comment

BLOG